Hii inawezekana vip?

Hili jambo jawabu lake lipo wazi.Tatizo ni uvivu wetu wa kusoma na badala yake tunafuata miongozo na mafundisho ya 'wakubwa' wa dunia walioharibu na kupotosha mambo mengi mno kwenye uso wa dunia
 
Hili jambo jawabu lake lipo wazi.Tatizo ni uvivu wetu wa kusoma na badala yake tunafuata miongozo na mafundisho ya 'wakubwa' wa dunia walioharibu na kupotosha mambo mengi mno kwenye uso wa dunia
Jawabù lake ni lipi hilo
 
Mkuu mfano Chui akiingia ndani kwako utamkamata halafu utamrushia chumbani kwa watoto wako ?

Then utawaambia watoto wako ole wao washindwe kupambana nae, Utawatandika fimbo?
 
Mkuu mfano Chui akiingia ndani kwako utamkamata halafu utamrushia chumbani kwa watoto wako ?

Then utawaambia watoto wako ole wao washindwe kupambana nae, Utawatandika fimbo?
Yaaaan ujinga sanaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…