Kila mtu anayekufa mwili huoza nafsi huenda kwa Mungu kama mtu alikuwa mzuri na kama alikuwa mwovu nafsi inakwenda kuchomwa moto.
Maana yake ni hivi nafsi huishi hata baada ya kifo.
Roho zote ni Mali ya Mungu, mtu atende maovu au mema roho yake lazima itakwenda kwa Mungu. Ez 18:4.
Kwahiyo kwakuwa nafsi haifi kuna uwezekano wa kumuona mtu aliyekufa miaka hata elfu 10 iliyopita.
Ila huyo mtume wa kupanda Ibraku alikuwa wa mchongo, muongo mwongo kama baba yake
View attachment 3153997shetani . Yoh 8:44