Hii kasheshe kubwa

Hii kasheshe kubwa

Ila sio mbaya akatafutiwa darasa la kujifunza kupika sababu sidhani kama huyo mdada anapenda kupika hayo makwasu kwasu.
Mimi mwenyewe toka niko nyumbani nimejifunza kupika naweza kupika,nadhani mwanamke huyo maybe ni wale ambao toka wadogo wao kupikiwa,kufuliwa na mfanyakazi tu.

Kweli still hapo anaweza akajifunza akawa vizuri.
 
Kwani ule ni uchafu Mkuu. Nadhani ni namna alivyokoroga koroga sababu lait ungepata mpishi huo muogo wala usingekuwa na muonekano huo uliouweka hapo.

Hivyo hakuna kitu cha kuliwa halafu kikaitwa uchafu Mkuu.
Ajui kupika ngumu kumeza... Ndio madhara ya kulikimbia jiko.
 
Ushauri wangu;
Mlete dada yako wa karibu akae kwako hata miezi 3 ila lengo lake iwe ni kumuelekeza wifi yake kupika ila mpenzi wako asijue lengo la ujio wa dada yako.
Anaweza kuchukia.

Kumbuka huyo ni mkeo mtarajiwa. Usipomfundisha mapema hata sisi wageni tukija kwako hatutafurahia msosi.
Apambane na hali yake tu mkuu Siwezi kwa kweli na isitoshe madada zangu wote wapo kwa waume zao.
 
Mimi mwenyewe toka niko nyumbani nimejifunza kupika naweza kupika,nadhani mwanamke huyo maybe ni wale ambao toka wadogo wao kupikiwa,kufuliwa na mfanyakazi tu.

Kweli still hapo anaweza akajifunza akawa vizuri.
Na wengi huwa wanaathiriwa na hiyo hali ya kufanyiwa jambo na wasaidizi wa ndani.

Umeonaee. Kama hajamchoka na bado anamuhitaji nadhani sio mbaya akampa nafasi ya kumfundisha au kumtafutia wa kumfundisha namna ya kupika chakula chenye muonekano wa kueleweka na kilichoungwa vyema pia
 
Mie naona kula na aina ya vyakula kama mazoea, umezoea mihogo kupikwa hivyo ila mie naona mapishi ama chakula ni ubunifu sijui nisemaje, na ndio maana ukitoka ukienda nchi nyingine utajionea mashkolo mageni, mchele ni ule ule ila mapishi tofauti na wenzio wanakula bila tabu, na ww ukiwapelekea mapishi yako unayoona ni sahihi watakuona wa ajabu kabisa..

Kuna mtu alinikuta nakunywa zangu uji na mkate akanishangaa kichizi, eti anaona ajabu nikamwambia tatizo umekremisha vitu ulivyovikuta, nikamwambia katika jamii yetu ungekuta watu wanakula hivi nawe ungekuwa unakula mtu akinywa chai na mkate ungemshamgaa "ungekuta nyama inaitwa kisamvu na kisamvu ni nyama pia ungeita hivyo hivyo"..

Utatuzi wa suala lako mkuu, jitahidi uingie jikoni umpikie kama mara 2 mara 3 hiv ataona utofauti ama mueleze ukweli japo hii si njia nzuri saana kibinadamu, we ingia jikoni pika.. Km una nafasi shiriki katika mlo wenu wa siku kuanzia kuchagua mnakula nini mpaka upishi wake.. Mie sijui kwanini wanaume wenzangu wengi hawaprndi kushiriki hili jambo.
Aelekezeki sasa jana tu usiku kapika wali
Bokoboko ngumu kwa kweli
 
Huyo atakua anataka kumrudia mkewe hana lolote
Si unaona masotojo hayo ya mke wangu
Hatari mno. Wacha kuchezea watu na fani zao...nimerudi kwa mama watoto sasa hivi
Mambo safi
IMG_20180504_210225.jpg
IMG_20180503_151205.jpg
IMG_20180430_201727.jpg
 
Back
Top Bottom