Duniatunapita man
Senior Member
- May 5, 2024
- 181
- 252
Neema zinawapumbaza watu wengi. Japo muda wowote mambo yanabadilika,. Aliyejuu anaweza kushuka na wachini akapanda juu. Kwahyo haistahili kumdharau mtu kwasababu yeyoteKwangu namuona ni mtu ambaye amejaaliwa kipato lkn ana majivuno pia
Ameshasahau aliyemjalia hayo ni Allah,hivyo anajiona ni ujanja wake
KIburi ni kitu kibaya sana hapa duniani