SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
HPD ila ni ukweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sababu hajafanya kosa lolote ametumia haki yake ya kikatiba na kibinadamu tu kujieleza.KWANINI?
Utani wa kipungaAlikuwa ana tania tu
[emoji7]Ni mjinga pekee ndiye anaweza kulinganisha hela na akili
[emoji7]Huyu hana pesa na ni mjinga na mpumbavu sana! Hata siku moja huwezi mkuta Elon Mask au Bill Gates wanaongea huu upumbafu. Huyu ana vijisenti (in Chenge's voice) vya kubadilishia tu mboga. Period!
Anachosema ni ukweli mtupu.
Mimi nikikutana na mtu ana hela kuliko mimi basi pia atakua na akili kunizidi, maana haiwezekani uwe na akili halafu ukose hela, narudia tena haiwezekani.
Huna hela = Huna akili.
Naomba vocha boss.Kwangu namuona ni mtu ambaye amejaaliwa kipato lkn ana majivuno pia
Ameshasahau aliyemjalia hayo ni Allah,hivyo anajiona ni ujanja wake
KIburi ni kitu kibaya sana hapa duniani
Ukiumwa unaharisha huko mbona unasumbua madaktari si ujitibu mwenyewe bwege wewe kama kusoma hakuna maanaMjumbe hauwawi, wasomi wengi wa bongo(ukimtoa Fernandez wa, Nala, Melo wa JF) hawana akili
Hapo ndo tatizo linapoanzia watu.akili kisoda kabisa. Ivi kwa mfano unafika hospital unaambiwa daktari hayupo kaenda kwenye michongo na hakuna Huduma how will you fill? Hata siku moja elimu/Uvumbuzi haviwezi kuwa replaced na pesa neverTafuta hela mzee