Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Inawezekana wala hajavuka mipaka ya utani,, utani wa jamii huwa unaendana na kuakisi aina ya watu wa jamii husikaDotto kuna muda anavuka mipaka ya utani hadi kutukana, matusi sio utani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana wala hajavuka mipaka ya utani,, utani wa jamii huwa unaendana na kuakisi aina ya watu wa jamii husikaDotto kuna muda anavuka mipaka ya utani hadi kutukana, matusi sio utani.
Hakuna Allah aliyemjalia chochote, hizo ni porojo tu za watu wenye akili ndogo kujifariji.Kwangu namuona ni mtu ambaye amejaaliwa kipato lkn ana majivuno pia
Ameshasahau aliyemjalia hayo ni Allah,hivyo anajiona ni ujanja wake
Unaweza kuwa na akili na usiwe na pesa, sio kila mtu mwenye akili anajali kuhusu utajiri.Sijui kwanini hamuwezi kutofautisha elimu na akili? Hakuna mtu asiye na tatizo la elimu. Hata wewe kuna vitu huna elimu navyo.
Huwezi kuwa na akili usiwe na pesa, akili siku zote itakuonyesha ilipo pesa.
Nadhani unaongelea akili ya ujasiriamali. Kuna watu wana akili za uvumbuzi ama teknolojia ila hawana pesa nyingi sababu hawako oriented kwenye akili ya ujasiriamaliHapana. Kuwa na pesa si kipimo cha akili sababu unaweza lipwa mshahara bila kutumia akili, ila hakuna mwenye akili asiye na pesa sababu akili itakuonyesha pa kuipata pesa.
Ni nani huyu? Kazi yake ni ipi au ni maarufu kwa kitu gani?Neema zinawapumbaza watu wengi. Japo muda wowote mambo yanabadilika,. Aliyejuu anaweza kushuka na wachini akapanda juu. Kwahyo haistahili kumdharau mtu kwasababu yeyote
Ni nani huyu? Kazi yake ni ipi? Umaarufu wake umetokana na nini?Maskini akipata bana....huyo ela kazipatia ukubwani ndomana anakua limbukeni mtu aliyekulia kwenye Hela hawezi kuwa Na ulimbukeni wa hivyo Ila waliozipatia ukubwani ndo Hua washamba sana
SahihiHakuna Allah anayejalia watu vipato.
Huyo Allah hayupo.
Utajiri unapimwaje? Nilicho na uhakika nacho ni huwezi kuwa na akili usiwe na pesa au ukawa ombaomba, ila unaweza kuwa na elimu na usiwe na pesa na ukachakaaa chakari choka mbaya na una degree ya sales and marketing. With exception za magonjwa, ulemavu, uzee n.k ukiwa na akili hutokosa pesa.Unaweza kuwa na akili na usiwe na pesa, sio kila mtu mwenye akili anajali kuhusu utajiri.
Nguvu inayofanya kazi hapa ni suala la elimu ya darasani ikihusishwa na namna ilivyo na msaada kwa vijana. Huyo doto ni kama njiti iliyoshika moto kwenye nyasi kavu. Moto utasambaa sio kwa sababu njiti ina nguvu ila sababu nyasi ni kavu.Kitendo cha kumjadili humu, tayari mshamuongezea nguvu
Ni sahihi na kuna mambo yanayofanyika nchi hii ni ya kusikitisha sana. Huyu naye ni maarufu na role model wa watu.Huyu jamaa huwa mnampa publicity bure tu hana mpango wwte.
Hahahahaha ,watu wa hivyo kaa nao mbali mkuu ,unaeza piga kofi mtu ukaonekana umemaindiNguvu inayofanya kazi hapa ni suala la elimu ya darasani ikihusishwa na namna ilivyo na msaada kwa vijana. Huyo doto ni kama njiti iliyoshika moto kwenye nyasi kavu. Moto utasambaa sio kwa sababu njiti ina nguvu ila sababu nyasi ni kavu.
Kama amerithi mbona wewe hukurithi?Haiwezekani hizo pesa akawa amerithi, ameiba au ameuza dawa za kulevya??
Na ndo hiki kinachomuumiza huyu jamaa, miaka ya nyuma alisota na waliosoma aliwaona malaika, huyu bwana huenda anatamani kua na hiyo elimu leo kesho ila ndo ivo anajiona kachelewa na hajui asome nini.Mna
Mnamkuza tu bure hana m
Miaka ya nyuma ajira zilikuwa tele watu wasiosoma waliitwa wakimbia umande na wazembe
Ni chawaNi nani huyu? Kazi yake ni ipi? Umaarufu wake umetokana na nini?
Sawa kilaza. bila elimu sijui hata kama JF ingekuwepoWewe msomi umesoma hata hujaelimika. Na kasema wazi hili. Ndio maana umeumia kwa maneno ya dotto. content zake ni utani ili auze magari yake. Au una ist nini?