Hii Kauli "Nyuma ya mafanikio ya mwanaume kuna mwanamke" huwa ni ya uongo

Hii Kauli "Nyuma ya mafanikio ya mwanaume kuna mwanamke" huwa ni ya uongo

Mhaya

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2023
Posts
1,831
Reaction score
5,489
Ngoja tuambiane ukweli mchungu. ‘Nyuma ya mafanikio ya mwanaume kuna mwanamke.’ Ondoa jambo hilo kichwani mwako. Tena liondoe kabisa.

Nafuatilia namna matajiri walivyofanikiwa, hakuna aliyefanikiwa kwa ajili ya mwanamke.
Kama yupo nikumbusheni.

Mwanamke hapendi shida, mwanamke ni muoga, kama unataka kutafuta utajiri na una mke, ni lazima uwe mwanaume mwenye maamuzi.

Jeff Bezos alimwambia mkewe, MacKenzie kwamba acha kazi tuwekeze kwenye kampuni hii mpya. Mkewe alishangaa, alikaza ila mwisho akakubaliana naye.

Akina Bill Gates na akina Zuckerberg waliwekeza na washikaji zao.siowake zao.

Hakuna sehemu fulani mwanaume aliwekeza na mkewe, waliwekeza na washikaji zao.

Mwanamke huwa hapendi kuhustle na wewe, anataka akija tu, akute tayari umefanikiwa ili achote pesa na kwenda kununua iPhone 16.

Mwanamke atakuvumilia kwa muda ukiwa hauna pesa, ila hatoweza kukuhamasisha kutafuta pesa.

Unajua kwanini?

Kwa sababu hawajui njia za kupata pesa.

Utakutana na washikaji, watakuchorea ramani, jinsi ya kufanya ili upate pesa, mkeo hawezi kukupa ramani, labda wewe umpe ramani.

Narudia tena, hakuna mwanamke aliyekuwa source ya kufanikiwa ya mkewe, kawaulize matajiri wakupe majibu.
Matajiri wakiwasifia wake zao, wanawasifia kwa uvumilivu wao tu.

Hakuna tajiri anayesema bila mke wangu nisingefanikiwa.

Bali watakwambia mke wangu alinivumilia.

Wanawake wanaweza kukuvumilia lakini mpaka pale watakapoona kuna dalili za wewe kupata pesa mbeleni.

So unapoanza kutafuta utajiri, focus kwa washikaji na wewe mwenyewe, usifocus kwa mwanamke.

Washikaji wengi wameangushwa na wanawake.

Tena wale wake wa kanisani kabisa. Kamuulize Bill Gates. Nenda kamuuliza Jeff Bezos.

Haya watu hawataki kuyazungumza kisa wanawake.
Hakimi chupuchupu limkute, sema alikuwa mjanja tu.
Kamuulize Eboue ama mchezaji wa Man United yule Wes Brown.
Nyuma ya mafanikio kuna washikaji na hakuna mwanamke.
Na hii ndiyo maana vijana wengi siku hizi hawataki kuoa.
Unajua kwanini?

Kwa sababu hakuna aliyefanikiwa kisa mwanamke.
Ukianzisha kitu, anzisha na washikaji.
Usianzishe na mkeo.
Mwambie mkeo jinsi pesa zinavyoingia, ila usimwambie inaingia kiasi gani.
Ndiyo!

Usilete mapenzi kwenye pesa.
Linapokuja sualala pesa, mwanamke huwa haangalii mapenzi tena.
Sasa wewe kwa nini uangalie mapenzi kwenye pesa?
Huoni wake za watu wanaliwa kisa pesa?
Kwenye pesa, hawaangalii mapenzi tena.
Wekeza kwa washikaji, usiwekeze kwa mwanamke.
Nakupa akili tu.
Hata kama ni mkeo, umeishi naye miaka kibao.
Usiwekeze kwake, wekeza kwa washikaji ama sehemu nyingine.

Wanawake wanakuja, wanatengeneza familia ila wakitaka kuondoka kisa pesa, hawaangalii nyuma.

Kama mwanamke hataki aolewe na wewe kisa pesa, kwanini na wewe usiseme sitaki kumuoa mwanamke asiye na pesa?
Unaogopa?
Bro!
Wekeza kwa washikaji.

Na hakikisha mkeo haji kusababisha kukosana na wana kisa yeye.

Wana hawagombani kisa mwanamke.

Wana wanatakiwa kugombana kisa pesa.
 
😀😀😀😀
Upambane mwenyewe ufanikiwe mje kusema Mwanamke

Mwanamke kwa kizazi hiki analeta stress sio mafanikio
 
Mimi ninavyojua maana ya usemi huo ni kuwa haijalishi awe mke au partner, dada, hata mama yako mzazi
Hapo anakuwa upande wa kukushauri, kusimama na wewe na hata kukusaidia kwa maendeleo yako kibiashara mpaka ufanikiwe
Ndio hili neno Every successful man is a woman
Linakuwa na maana na sio vingine
 
Mimi ninavyojua maana ya usemi huo ni kuwa haijalishi awe mke au partner, dada, hata mama yako mzazi
Hapo anakuwa upande wa kukushauri, kusimama na wewe na hata kukusaidia kwa maendeleo yako kibiashara mpaka ufanikiwe
Ndio hili neno Every successful man is a woman
Linakuwa na maana na sio vingine
Mwanamke anaemaanishwa katika huo msemo ni mke/mpenzi.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 yaani nnavyojitahidi kuelezea na kupambanua kwa maelezo mareeeeefu kuonyesha mwanamke si lolote wala si chochote saaaaaasa, nabaki kucheka tu!!!

Sawa sawa tupo paleeee.
 
Sema huu msemo umewekwa tu kumfariji mwanamke. Ila ni kama wamedandia kwa mbele. Suala la uoga wa mwanamke ni kweli nimewahi kufanya maamuzi magumu sana, mke akapinga nusu ndoa ivunjike lakini alipoona mafanikio akaungana na Mimi kwa mbele akawa anasema sisi noma tumetisha sana 😂😂😂
 
Haya masuala huwa nayasema kila siku, nafarijika sana nikiona vijana mnaanza kuzitoa akili nje ya matrix

Hili suala la mwanamke kuwa entitled kwenye mafanikio ya mwanaume ni utapeli mtupu. Kidogo wanawake wa zamani ilikua inakuja kuja, ila hawa wadangaji na mafeminist wa kizazi hiki hapana kwa kweli.

Ni jambo ambalo linatakiwa kupigiwa kilele ikiwezekana hata sheria ya kugawana mali 50/50 iondolewe.

Unaambiwa mke anakuja na bahati, anakupa ushauri n.k sasa swali ni je kwanini huo ushauri na bahati asitumie kupata mali zake mwenyewe?
 
Ngoja tuambiane ukweli mchungu. ‘Nyuma ya mafanikio ya mwanaume kuna mwanamke.’ Ondoa jambo hilo kichwani mwako. Tena liondoe kabisa.

Nafuatilia namna matajiri walivyofanikiwa, hakuna aliyefanikiwa kwa ajili ya mwanamke.
Kama yupo nikumbusheni.

Mwanamke hapendi shida, mwanamke ni muoga, kama unataka kutafuta utajiri na una mke, ni lazima uwe mwanaume mwenye maamuzi.

Jeff Bezos alimwambia mkewe, MacKenzie kwamba acha kazi tuwekeze kwenye kampuni hii mpya. Mkewe alishangaa, alikaza ila mwisho akakubaliana naye.

Akina Bill Gates na akina Zuckerberg waliwekeza na washikaji zao.siowake zao.

Hakuna sehemu fulani mwanaume aliwekeza na mkewe, waliwekeza na washikaji zao.

Mwanamke huwa hapendi kuhustle na wewe, anataka akija tu, akute tayari umefanikiwa ili achote pesa na kwenda kununua iPhone 16.

Mwanamke atakuvumilia kwa muda ukiwa hauna pesa, ila hatoweza kukuhamasisha kutafuta pesa.

Unajua kwanini?

Kwa sababu hawajui njia za kupata pesa.

Utakutana na washikaji, watakuchorea ramani, jinsi ya kufanya ili upate pesa, mkeo hawezi kukupa ramani, labda wewe umpe ramani.

Narudia tena, hakuna mwanamke aliyekuwa source ya kufanikiwa ya mkewe, kawaulize matajiri wakupe majibu.
Matajiri wakiwasifia wake zao, wanawasifia kwa uvumilivu wao tu.

Hakuna tajiri anayesema bila mke wangu nisingefanikiwa.

Bali watakwambia mke wangu alinivumilia.

Wanawake wanaweza kukuvumilia lakini mpaka pale watakapoona kuna dalili za wewe kupata pesa mbeleni.

So unapoanza kutafuta utajiri, focus kwa washikaji na wewe mwenyewe, usifocus kwa mwanamke.

Washikaji wengi wameangushwa na wanawake.

Tena wale wake wa kanisani kabisa. Kamuulize Bill Gates. Nenda kamuuliza Jeff Bezos.

Haya watu hawataki kuyazungumza kisa wanawake.
Hakimi chupuchupu limkute, sema alikuwa mjanja tu.
Kamuulize Eboue ama mchezaji wa Man United yule Wes Brown.
Nyuma ya mafanikio kuna washikaji na hakuna mwanamke.
Na hii ndiyo maana vijana wengi siku hizi hawataki kuoa.
Unajua kwanini?

Kwa sababu hakuna aliyefanikiwa kisa mwanamke.
Ukianzisha kitu, anzisha na washikaji.
Usianzishe na mkeo.
Mwambie mkeo jinsi pesa zinavyoingia, ila usimwambie inaingia kiasi gani.
Ndiyo!

Usilete mapenzi kwenye pesa.
Linapokuja sualala pesa, mwanamke huwa haangalii mapenzi tena.
Sasa wewe kwa nini uangalie mapenzi kwenye pesa?
Huoni wake za watu wanaliwa kisa pesa?
Kwenye pesa, hawaangalii mapenzi tena.
Wekeza kwa washikaji, usiwekeze kwa mwanamke.
Nakupa akili tu.
Hata kama ni mkeo, umeishi naye miaka kibao.
Usiwekeze kwake, wekeza kwa washikaji ama sehemu nyingine.

Wanawake wanakuja, wanatengeneza familia ila wakitaka kuondoka kisa pesa, hawaangalii nyuma.

Kama mwanamke hataki aolewe na wewe kisa pesa, kwanini na wewe usiseme sitaki kumuoa mwanamke asiye na pesa?
Unaogopa?
Bro!
Wekeza kwa washikaji.

Na hakikisha mkeo haji kusababisha kukosana na wana kisa yeye.

Wana hawagombani kisa mwanamke.

Wana wanatakiwa kugombana kisa pesa.
Kuna yule mchezaji mmoja wa football sikumbuki nchi gani ila anatokea north Africa, anachezea ulaya alitoa mpya na kuwafundisha adabu hawa wadudu wanaoitwa wanawake. Aliandikisha mali zote kwa jina la Mama yake. Mkewe mzungu akaleta za kuleta akamtolea nje sina hata thumni ya kugawana. Mali zote ni za Mama. Mzungu akakoma akabaki kutoa macho.
 
Huo ni msemo tu ambao kiuhalisia siyo lazima uwe ndo ukweli katika kila mazingira.

Hii misemo si ya kuchukuliwa literally.

Kwa binadamu, kila kitu kinaanzia kwa wazazi.

Hakuna mzazi wa jinsia moja anayeweza kuzaa watoto peke yake.

Hivyo, mwanzo kabisa, kabla ya yote, unahitaji baba na mama.

Binafsi sihitaji mwanamke [in the sense of a partner] ili niweze kufanikiwa.
 
Mwanamke anaemaanishwa katika huo msemo ni mke/mpenzi.
Hapana mkuu, ila siwezi kubishana acha niweke maana ya usemi huo hapa maana ni msemo wa wazungu sio sisi, ndio maana wakasema mwanamke na sio mke
Screenshot_20241110_144902_ChatGPT~2.png
 
Hapana mkuu, ila siwezi kubishana acha niweke maana ya usemi huo hapa maana ni msemo wa wazungu sio sisi, ndio maana wakasema mwanamke na sio mke View attachment 3148723
Sio kila kitu mpaka uelekezwe na wazungu. Kibongo bongo anaelengwa kwenye huo msemo ni mpenzi sana sana mke.

Mama ana misemo yake mingi tu ya kutukuzwa mfano nani kama mama
 
Sio kila kitu mpaka uelekezwe na wazungu. Kibongo bongo anaelengwa kwenye huo msemo ni mpenzi sana sana mke.

Mama ana misemo yake mingi tu ya kutukuzwa mfano nani kama mama
Sawa, ila methali za kila nchi zina maana kutokana na wanavyoona wao na maana yake
Unasema sio kitu mpaka nielezwe na mzungu hapa hatulumbani bali huu msemo ni wa kwao

Mzungu hawezi kubisha methali zetu na kusema haikuwa na maana hiyo

Ila kama tutaiweka kwetu na iwe hivyo
Haina haja ya kulumbana kwa petty issues kama hii asante
 
Haya masuala huwa nayasema kila siku, nafarijika sana nikiona vijana mnaanza kuzitoa akili nje ya matrix

Hili suala la mwanamke kuwa entitled kwenye mafanikio ya mwanaume ni utapeli mtupu. Kidogo wanawake wa zamani ilikua inakuja kuja, ila hawa wadangaji na mafeminist wa kizazi hiki hapana kwa kweli.

Ni jambo ambalo linatakiwa kupigiwa kilele ikiwezekana hata sheria ya kugawana mali 50/50 iondolewe.

Unaambiwa mke anakuja na bahati, anakupa ushauri n.k sasa swali ni je kwanini huo ushauri na bahati asitumie kupata mali zake mwenyewe?
Hata mimi siwezi kutegemea sana msaada mkubwa lakini naweza kumuuliza mama ninachofanya kupata Baraka zake tu ila mengine nafanya mwenyewe
 
Wanaume wengi mitaa kwangu wamerudi nyuma kimaisha kwasababu ya kushirikisha wachumba au wake zao kwenye maswala ya biashara zao......WANAWAKE NI WABINAFSI(sio wote).....hawakujali maisha ya mwanaume kuwa yatarudi nyuma......WANAWAKE MA MATAPELI(sio wote)wanajua kuigiza upendo wakiona una hela....lengo azichote aende.
wanawake tuishi nao kwa akili....na sisi tuwe vichwa vya familia kwa maswala yote ya pesa n.k....ukimpa uhuru wa kushare pesa zako....anazituma nyumbani kwao.....hata watoto hawajali.
 
Wanaume wengi mitaa kwangu wamerudi nyuma kimaisha kwasababu ya kushirikisha wachumba au wake zao kwenye maswala ya biashara zao......WANAWAKE NI WABINAFSI(sio wote).....hawakujali maisha ya mwanaume kuwa yatarudi nyuma......WANAWAKE MA MATAPELI(sio wote)wanajua kuigiza upendo wakiona una hela....lengo azichote aende.
wanawake tuishi nao kwa akili....na sisi tuwe vichwa vya familia kwa maswala yote ya pesa n.k....ukimpa uhuru wa kushare pesa zako....anazituma nyumbani kwao.....hata watoto hawajali.
Uko sahihi
 
Back
Top Bottom