Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Amechochea kwenye jambo alilowasha nani? Ni yeye wa kukamatwa au mwanzilishiAskofu Mwanamapinduzi anesema amekamatwa na Polisi kutokana na kauli yake ya uchochezi "Rais amekataliwa na Mungu"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amechochea kwenye jambo alilowasha nani? Ni yeye wa kukamatwa au mwanzilishiAskofu Mwanamapinduzi anesema amekamatwa na Polisi kutokana na kauli yake ya uchochezi "Rais amekataliwa na Mungu"
Mimi ningependa kupata maoni yako juu ya haya maneno ya hapa chini.Namuuliza askofu Mwanamapinduzi; enzi za shujaa Magufuli ungethubutu kutamka maneno hayo?
Angesema ni chaguo la Mungu ungempinga?
Viongozi wanaoongoza binadam ni chaguo la MunguMimi ningependa kupata maoni yako juu ya haya maneno ya hapa chini.
Kwa nini unahitimisha kuwa ni "woga na kuonea", na wala siyo kupenda aliyofanya huyo kichaa?Askofu hapaswi kuogopa na kuonea
Hao miungu watakuwa ni wa aina mbalimbali. Binafsi siamini hivyo.Viongozi wanaoongoza binadam ni chaguo la Mungu
Mchuano mahakamani utatoa majibu kama wataweka mpira kati.Polisi anaweza kuthibitisha kama Samia hajakataliwa na Mungu?
Asingeli wafukuza Wamaasai kutoka Ngorongoro kama anazo hizo sifa unazombebesha.Huyo mchungaji sijui askofu ni mpumbavu sana,mungu katujaalia rais mpenda raia wake,msikivu na anayejari maslahi ya watanzania wote.
Mungu atupe nini tena?
Mikumi tena kwa mama Samia
Hayoyote yamefanyika kwa maslahi mapana ya.taifa,tumuunge mkono rais wetuAsingeli wafukuza Wamaasai kutoka Ngorongoro kama anazo hizo sifa unazombebesha.
Magu alikuwa shujaa wa nani? Wanasiasa walipotea na wengine kupigwa moto acha waliokimbia nchi, watu waliporwa pesa zao ktk account zao na maduka ya kubadilishia pesa kutekwa, mo alitekwa na hadi leo hakuna watuhumiwa, vijana wa hivyo walipewa madaraka makubwa wakaunda vikisi vya kuteka na kutesa watu na kuwapoteza huo ndio ushujaa? Asante Mungu kwa kutuondolea boriti ktk maisha yetu.View attachment 3011165
Askofu Mwanamapinduzi anesema amekamatwa na Polisi kutokana na kauli yake ya uchochezi "Rais amekataliwa na Mungu"
Ametoa ufafanuzi huo Ukurasani kwake X
Namuuliza askofu Mwanamapinduzi; enzi za shujaa Magufuli ungethubutu kutamka maneno hayo?
Jumaa Mubarak.
Mapana yapi ilihali gharama za gas,mishahara mifinyu, hospital bila dawa,kadi ya mama mjamzito sasa inalipiwa fedha,uhaba wa watumishi hospitals,shuleni hakuna walimu kulingana na mahitaji au unazungumzia taifa la Zanzibar?Hayoyote yamefanyika kwa maslahi mapana ya.taifa,tumuunge mkono rais wetu
ppl0
Askofu Mwanamapinduzi anesema amekamatwa na Polisi kutokana na kauli yake ya uchochezi "Rais amekataliwa na Mungu"
Ametoa ufafanuzi huo Ukurasani kwake X
Namuuliza askofu Mwanamapinduzi; enzi za shujaa Magufuli ungethubutu kutamka maneno hayo?
Jumaa Mubarak.
Unaposikia Marehemu ameteuliwa katika Ulimwengu wa roho ina maana pana Sana 😄Kwa nini unahitimisha kuwa ni "woga na kuonea", na wala siyo kupenda aliyofanya huyo kichaa?
Spana NZITO NZITO zinaendelea huko Singida hadi Wananchi wazinduke kutoka kwenye Usingizi wa Moshi wa Mwenge✌️
View: https://youtu.be/gDwBojxAxHI?si=OXaADJCVISOo0WRy
Mpaka alimwita dikteta uchwara, itakuwa ulikuwa mdogo au ulikuwa bado unasoma chuo cha utumishi wa Umma Tabora
Alikua na huruma sana.Magu alikuwa shujaa wa nani? Wanasiasa walipotea na wengine kupigwa moto acha waliokimbia nchi, watu waliporwa pesa zao ktk account zao na maduka ya kubadilishia pesa kutekwa, mo alitekwa na hadi leo hakuna watuhumiwa, vijana wa hivyo walipewa madaraka makubwa wakaunda vikisi vya kuteka na kutesa watu na kuwapoteza huo ndio ushujaa? Asante Mungu kwa kutuondolea boriti ktk maisha yetu.
Spana mpaka Wananchi wapige chafya na kuzinduka.Moshi wa mwenge ni hatari!
Mapana yapi ilihali gharama za gas,mishahara mifinyu,