Hii kero ni kwa shule hii Tu au huko kwengine yapo haya?

Hii kero ni kwa shule hii Tu au huko kwengine yapo haya?

Huu utaratibu upo kwenye shule nying za advance,pia wazaz huchanga pesa za kuiba mtihani wa taifa
 
Ni shule wasichana mabwepande (Tumaini). Waalimu wamebuni chanzo cha kijiongezea kipato maisha yasonge.

Hii ni shule ya boarding kwa wasichana, kidato cha tano na sita. Mwaka huu baada ya shule kufunguliwa mwezi August, wale wanafunzi waliotoka kidato cha tano na kuingia kidato cha sita, walifanyiwa mitihani ya majaribio.

Matokeo ya majaribio hayo hayakuwa mazuri Sana,ndipo waalimu walipoona fursa ya kuwashirikisha wazazi kwa kuita kikao cha wazazi ili wazazi waone ni namna gani kwa kushirikiana na waalimu wapate ufumbuzi wake.

Baada ya waalimu kuiwasilisha hoja kwa wazazi,waalimu waliondoka na kuacha wazazi wajadili namna gani mzuri watakayoona inafaa ya kuwawezesha waalimu WAWAPAMBANIE WATOTO WAO.

Maazimio ya kikao, wazazi walikubaliana kila mzazi kuchangia 80,000/= elfu themanini ili kuwapa motisha waalimu wapate kutimiza majukumu Yao vizuri. Na hii ilipendekezwa itolewe kwa awamu mbili.

Nirudi kwenu wadau wa jamiiforums,
Je ni sahihi kweli kwa hiki walichokifanya hawa waalimu? Inakuwaje jukukumu linalohusiana na wao mzigo anakuja kubebeshwa mzazi? Utendaji kazi wa mwalimu kwa mwamafunzi wake unaonekana kwenye matokeo.

Upowapi uwajibikaji na uchapakazi wao waalimu hawa? Hivi wakaguzi wa hizi shule mpo? Mishahara wanayolipwa waalimu hawa inatokana na Kodi za hawa wazazi ambao leo wamegeuzwa ng'ombe wa maziwa. Hebu naomba waalimu timizeni wajibu wenu. Tupo kwenye maisha ya kupita tu kama unaona kipato hakitoshi tafuta kwengine tuwahurumie hawa wazazi wanapambana na mengi.
Ungekuepo kwenye Kikao Cha Wazazi, hoja Yako hii ingejibiwa huko huko.

Siku ingine Mkiitwa kwenye vikao vya Wazazi shuleni, muwe mnaenda.
 
Hao wazazi wangeongeza kidogo hata iwe laki mbili na elfu tisini na tisa hivi ili walimu waweze kusema mpe mruke katikati ya mwezi.
 
Mkuu unajipa uhakika gani kwa kutoa hiyo 80 Mtoto atafanya vizuri? Suala sio pesa. Ni utayari waalimu wetu wa kujitoa kwa ajili ya majukumu yao.
Wewe una uhakika gani mwanao ana utayari wa kusoma?
 
Mkuu shida si wazazi kukubaliana je ilikuwa sahihi kwa waalimu hili Jambo kuli- address kwa wazazi? Kwa nini Kwanza wasingeangalia kwanza weakness Yao ipo wapi?
Umesema jaribio lilitolewa baada ya shule kufunguliwa (form five hawakuwa wamesoma lolote). Je walipewa mtihani wa level ipi? Kama ni level ya advance, walimu wahojiwe inakuwaje umpime mtu kwa kitu ambacho hakifahamu? Kama walipewa mtihani wa olevel, walimu wako sahihi
 
Hilo Mimi sina shida nalo mkuu. Shule nyingi sasa hivi waalimu wengi hawafundishi wanachoangalia wao salio linasoma mwisho wa mwezi basi.
Orodhesha hizo Shule peleka kwa Mkuu wa Mkoa.
 
Njaa njaa na janja janja tu, majukumu yao yatatimizwa kwa kuongezewa 80,000?

Hapa ndo mimi na mtoa mada tunajiuliza, vinginevyo wawe waalimu wa ziada.
 
Mkuu nashukuru kwa mawazo yako. Wazazi si walio- arrange hicho kikao. Ni waalimu baada ya kufanya setup ya mipango yao. Wazazi walipitishwa tu kwenye hoja ambayo waalimu waliona kwao ina mashiko kisha wao wakajitoa kama kwamba wao si waratibu wa hicho kikao.

Lengo la wao kufanya hivyo,ionekane maamuzi yoyote yaliyotolewa pale ni ya wazazi si wao. Mtazamo huu ulikuwa mzuri kama sehemu ya wazazi,wangekuwa na malalamiko ya watoto wao kutofanya vizuri hivyo kuitisha kikao cha wazazi na kuangalia namna ya ku- deal nalo.

Hivyo maamuzi ya hapa kama ingeamuliwa na wazazi wenyewe kuwa tuwape motisha waalimu, sioni kama kungekuwa na tatizo. Shida kuwa wao tayari walishafanyiwa setup na waalimu.

Hakuna mzazi asiyemtakia mambo mazuri Mtoto wake endapo kila kitu kitaenda katika njia mzuri. Bado nasisitiza waalimu wasikwepe majukumu yao kwa kisingizio cha motisha ili WAWAPAMBANIE WATOTO WETU. Hakuna roho ya kichawi hapa. Wao wajibu wao kufundisha,motisha itakuja pale juhudi yako inapoonekana. Motisha Kwanza bila jitihada hiyo ni hongo.
Dah! Ndugu Mzazi unazingua aisee...!
Na hiyo ni A level ...
Hiyo michango ishazoeleka kabisa O level...kwa minajili ya kuwasaidia watoto wenu.
Hili ndo tatizo la kupenda vya bure.

Siasa ndo zimetufikisha hapa. Shule zinafunguliwa mpya nyingi hizi za Advanced girls lakini hazina Walimu.

Walimu wako mtaani, wanapokuja jitolea wazazi mnaitwa ili mchangie walimu wapate pesa ya dagaa na unga hutaki...

Ewe mzazi vipii!??🤷🤷😞😞😞
Mbona unashangaza.

Alafu upande wa pili huoni huo ni mtego wa kuwawajibisha walimu. Nyie andikeni muhtasari, gongeni sahihi, pelekeni kopi bodi ya shule kwa DEO na Mkurugenzi alafu msubiri matokeo ya wenenu. Yasipobadilika huo muhtasari utawawajibisha walimu. Toeni hela.
 
1. Baadhi ya Watoto siku hizi wanaoenda advance Wana uwezo mdogo Sana tofauti na zamani, bila kutumia nguvu ya ziada, muda wa ziada hawawez kufauli

2. Sylubus ya Advance ktk mosomo mengi ni ndefu, bila walimu kujiongeza kufundisha jioni na usiku ni ngumu Sana kumaliza topics.

3. Wapo walimu wa kujitolea, Wana moyo wa kufundisha ila wanaitaji hela watatue changamoto za maisha yao .

4. Mitihani ya mara kwa mara, ya ndani na nje (Joint) ina mchango mkubwa ktk kuongeza ufaulu WA mtoto.

Ili kufaulisha watoto lazima shule iwe na mikakati binafsi, nje ya ratiba ya serikali na ili shule iweze kutekeleza mipango hiyo lazima kuwe na FEDHA. Kama hakuna chochote cha ziada kinafanyika kuongeza ufaulu basi shule imefanya utapeli maana walimu wanaopata mishahara kwa Kazi hiyo.
 
Ni shule wasichana mabwepande (Tumaini). Waalimu wamebuni chanzo cha kijiongezea kipato maisha yasonge.

Hii ni shule ya boarding kwa wasichana, kidato cha tano na sita. Mwaka huu baada ya shule kufunguliwa mwezi August, wale wanafunzi waliotoka kidato cha tano na kuingia kidato cha sita, walifanyiwa mitihani ya majaribio.

Matokeo ya majaribio hayo hayakuwa mazuri Sana,ndipo waalimu walipoona fursa ya kuwashirikisha wazazi kwa kuita kikao cha wazazi ili wazazi waone ni namna gani kwa kushirikiana na waalimu wapate ufumbuzi wake.

Baada ya waalimu kuiwasilisha hoja kwa wazazi,waalimu waliondoka na kuacha wazazi wajadili namna gani mzuri watakayoona inafaa ya kuwawezesha waalimu WAWAPAMBANIE WATOTO WAO.

Maazimio ya kikao, wazazi walikubaliana kila mzazi kuchangia 80,000/= elfu themanini ili kuwapa motisha waalimu wapate kutimiza majukumu Yao vizuri. Na hii ilipendekezwa itolewe kwa awamu mbili.

Nirudi kwenu wadau wa jamiiforums,
Je ni sahihi kweli kwa hiki walichokifanya hawa waalimu? Inakuwaje jukukumu linalohusiana na wao mzigo anakuja kubebeshwa mzazi? Utendaji kazi wa mwalimu kwa mwamafunzi wake unaonekana kwenye matokeo.

Upowapi uwajibikaji na uchapakazi wao waalimu hawa? Hivi wakaguzi wa hizi shule mpo? Mishahara wanayolipwa waalimu hawa inatokana na Kodi za hawa wazazi ambao leo wamegeuzwa ng'ombe wa maziwa. Hebu naomba waalimu timizeni wajibu wenu. Tupo kwenye maisha ya kupita tu kama unaona kipato hakitoshi tafuta kwengine tuwahurumie hawa wazazi wanapambana na mengi.
If you think education is expensive try ignorance
 
Ni shule wasichana mabwepande (Tumaini). Waalimu wamebuni chanzo cha kijiongezea kipato maisha yasonge.

Hii ni shule ya boarding kwa wasichana, kidato cha tano na sita. Mwaka huu baada ya shule kufunguliwa mwezi August, wale wanafunzi waliotoka kidato cha tano na kuingia kidato cha sita, walifanyiwa mitihani ya majaribio.

Matokeo ya majaribio hayo hayakuwa mazuri Sana,ndipo waalimu walipoona fursa ya kuwashirikisha wazazi kwa kuita kikao cha wazazi ili wazazi waone ni namna gani kwa kushirikiana na waalimu wapate ufumbuzi wake.

Baada ya waalimu kuiwasilisha hoja kwa wazazi,waalimu waliondoka na kuacha wazazi wajadili namna gani mzuri watakayoona inafaa ya kuwawezesha waalimu WAWAPAMBANIE WATOTO WAO.

Maazimio ya kikao, wazazi walikubaliana kila mzazi kuchangia 80,000/= elfu themanini ili kuwapa motisha waalimu wapate kutimiza majukumu Yao vizuri. Na hii ilipendekezwa itolewe kwa awamu mbili.

Nirudi kwenu wadau wa jamiiforums,
Je ni sahihi kweli kwa hiki walichokifanya hawa waalimu? Inakuwaje jukukumu linalohusiana na wao mzigo anakuja kubebeshwa mzazi? Utendaji kazi wa mwalimu kwa mwamafunzi wake unaonekana kwenye matokeo.

Upowapi uwajibikaji na uchapakazi wao waalimu hawa? Hivi wakaguzi wa hizi shule mpo? Mishahara wanayolipwa waalimu hawa inatokana na Kodi za hawa wazazi ambao leo wamegeuzwa ng'ombe wa maziwa. Hebu naomba waalimu timizeni wajibu wenu. Tupo kwenye maisha ya kupita tu kama unaona kipato hakitoshi tafuta kwengine tuwahurumie hawa wazazi wanapambana na mengi.
Sasa wewe jamaa...wazazi si wamekubaliana shida Iko wapi ? Kwani wameshurutishwa? Tena wenyewe bila kushinikizwa.... brother hapo hakuna shida.....walipe tu
 
Mkuu shida si wazazi kukubaliana je ilikuwa sahihi kwa waalimu hili Jambo kuli- address kwa wazazi? Kwa nini Kwanza wasingeangalia kwanza weakness Yao ipo wapi?
Usitoe Mkuu ..kaaa tulia ...mwanao utamfundisha mwenyewe masomo ya ziada na kiada.
 
Ni shule wasichana mabwepande (Tumaini). Waalimu wamebuni chanzo cha kijiongezea kipato maisha yasonge.

Hii ni shule ya boarding kwa wasichana, kidato cha tano na sita. Mwaka huu baada ya shule kufunguliwa mwezi August, wale wanafunzi waliotoka kidato cha tano na kuingia kidato cha sita, walifanyiwa mitihani ya majaribio.

Matokeo ya majaribio hayo hayakuwa mazuri Sana,ndipo waalimu walipoona fursa ya kuwashirikisha wazazi kwa kuita kikao cha wazazi ili wazazi waone ni namna gani kwa kushirikiana na waalimu wapate ufumbuzi wake.

Baada ya waalimu kuiwasilisha hoja kwa wazazi,waalimu waliondoka na kuacha wazazi wajadili namna gani mzuri watakayoona inafaa ya kuwawezesha waalimu WAWAPAMBANIE WATOTO WAO.

Maazimio ya kikao, wazazi walikubaliana kila mzazi kuchangia 80,000/= elfu themanini ili kuwapa motisha waalimu wapate kutimiza majukumu Yao vizuri. Na hii ilipendekezwa itolewe kwa awamu mbili.

Nirudi kwenu wadau wa jamiiforums,
Je ni sahihi kweli kwa hiki walichokifanya hawa waalimu? Inakuwaje jukukumu linalohusiana na wao mzigo anakuja kubebeshwa mzazi? Utendaji kazi wa mwalimu kwa mwamafunzi wake unaonekana kwenye matokeo.

Upowapi uwajibikaji na uchapakazi wao waalimu hawa? Hivi wakaguzi wa hizi shule mpo? Mishahara wanayolipwa waalimu hawa inatokana na Kodi za hawa wazazi ambao leo wamegeuzwa ng'ombe wa maziwa. Hebu naomba waalimu timizeni wajibu wenu. Tupo kwenye maisha ya kupita tu kama unaona kipato hakitoshi tafuta kwengine tuwahurumie hawa wazazi wanapambana na mengi.
80k unaona nyingi ngoja mwanao afeli arudi mkae nae apo nyumbani sasa.
Na sio mwalimu unamuona anakuwa kaajiriwa
 
Ni ya serikali mkuu
""Maazimio ya kikao, wazazi walikubaliana kila mzazi kuchangia 80,000/= elfu themanini ili kuwapa motisha waalimu wapate kutimiza majukumu Yao vizuri. Na hii ilipendekezwa itolewe kwa awamu mbili.""

Umeielewa hii aya???

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Maazimio ya kikao, wazazi walikubaliana kila mzazi kuchangia 80,000/= elfu themanini ili kuwapa motisha waalimu wapate kutimiza majukumu Yao vizuri. Na hii ilipendekezwa itolewe kwa awamu mbili.


Wazazi waombe mitihani ya wanao kama wamefeli kweli au ni gemu, kila mwanafunzi anajua uandishi wake.

Upigajiiiiiiiiiiii huu kibokoooooo 🤣🤣🤣🙌🏽 na inasikitisha pia
 
Ni shule wasichana mabwepande (Tumaini). Waalimu wamebuni chanzo cha kijiongezea kipato maisha yasonge.

Hii ni shule ya boarding kwa wasichana, kidato cha tano na sita. Mwaka huu baada ya shule kufunguliwa mwezi August, wale wanafunzi waliotoka kidato cha tano na kuingia kidato cha sita, walifanyiwa mitihani ya majaribio.

Matokeo ya majaribio hayo hayakuwa mazuri Sana,ndipo waalimu walipoona fursa ya kuwashirikisha wazazi kwa kuita kikao cha wazazi ili wazazi waone ni namna gani kwa kushirikiana na waalimu wapate ufumbuzi wake.

Baada ya waalimu kuiwasilisha hoja kwa wazazi,waalimu waliondoka na kuacha wazazi wajadili namna gani mzuri watakayoona inafaa ya kuwawezesha waalimu WAWAPAMBANIE WATOTO WAO.

Maazimio ya kikao, wazazi walikubaliana kila mzazi kuchangia 80,000/= elfu themanini ili kuwapa motisha waalimu wapate kutimiza majukumu Yao vizuri. Na hii ilipendekezwa itolewe kwa awamu mbili.

Nirudi kwenu wadau wa jamiiforums,
Je ni sahihi kweli kwa hiki walichokifanya hawa waalimu? Inakuwaje jukukumu linalohusiana na wao mzigo anakuja kubebeshwa mzazi? Utendaji kazi wa mwalimu kwa mwamafunzi wake unaonekana kwenye matokeo.

Upowapi uwajibikaji na uchapakazi wao waalimu hawa? Hivi wakaguzi wa hizi shule mpo? Mishahara wanayolipwa waalimu hawa inatokana na Kodi za hawa wazazi ambao leo wamegeuzwa ng'ombe wa maziwa. Hebu naomba waalimu timizeni wajibu wenu. Tupo kwenye maisha ya kupita tu kama unaona kipato hakitoshi tafuta kwengine tuwahurumie hawa wazazi wanapambana na mengi.
Mtoa mada Mimi naona umeshajibiwa ni haki wazazi kuwajibika na sio tatizo kabisa kwa wazazi kuchangia 80

Hoja ya walimu kutotimiza majukumu yao Haina mashiko: unajua jinsi walimu wanavyofanya kazi?

Unajua mwisho wa kazi ni saa ngap? Mimi ninaona huku mtaani wanafunzi wengi wanataka saa 11 jioni alafu mwisho wa kazi ni saa tisa na nusu, je huo muda wa ziada analipwa na nani?

Umesema kuna wanafunzi walifanyishwa mtihani wakafeli japo naamini kuna walio faulu, je huyo aliyefaulu amefundishwa na walimu tofauti ? Na darasa tofauti?

Kumbuka kuna wanafunzi wanatumia muda mchache wa kuelewa na wengine wanatumia muda mwingi kuelewa


Mzazi , usiwalalamikie walimu hawatimizi majukumu yao wewe hapa ndo unataka kukwepa kutimiza majukumu yako kwenye kikao halali
 
Back
Top Bottom