Hii kero ni kwa shule hii Tu au huko kwengine yapo haya?

Hilo Mimi sina shida nalo mkuu. Shule nyingi sasa hivi waalimu wengi hawafundishi wanachoangalia wao salio linasoma mwisho wa mwezi basi.
Shule nyingi walimu hawafundishi
UNA UHAKIKA?
LETE USHAHIDI
 
Niliwai kuandika humu kuwa walimu wapo kwenye passive aggressive
Ndugu mzazi mwalimu wa sasa hawezi kuacha kwenda kuuza kiduka chake soko la jioni akae anampambania mwanao mwenye kichwa kigumu saaaaaana kama chako
 
kama tabia zako ndio hiz je hao wanafnz watakuaje , kwann usingemalz malalamiko yako kweny kikao unaleta umbea hku, na ukachange zaid
 
Huwaliza sana hili swala la tuition kwa wanafunzi, sijawahi kupata majibu sahihi. Hivi ni kwa nini hao walimu wasitie nguvu ya tuition kwenye vipindi vya kawaida?
UMESHAWAI KUJIULIZA

Kwanini huo muda wa tuition mwalimu pia asiende kufanya kazi nyingine ya kumuingizia kipato ?

au kwanini huo muda wa tuition mwalimu Asipumzike zake na mke/ Mme Wake ?
 
UMESHAWAI KUJIULIZA

Kwanini huo muda wa tuition mwalimu pia asiende kufanya kazi nyingine ya kumuingizia kipato ?

au kwanini huo muda wa tuition mwalimu Asipumzike zake na mke/ Mme Wake ?
Jibu ni moja tu, umewahi kuishi na watu wenye mfumo wa akili iliyojifunga?(closed mind system)
 
Gharama ya tsh 80000/- ni gharama ya topic mbili tu za advance kwa tuition mtoto anayesoma advance,kwahiyo Kama mmetajiwa sh 80000/- remedial( extra time) Kwa masomo yote 3 na civics advance kwa mwaka,maana hujasema ni muda gani,hayo ni malipo madogo Sana ,ndugu mzazi lipa,kazi ya ualimu ,set up ya vipindi mada haziishi ,Ila extra Kama hizo madam zinatembea
 
hayo ungeyaongea kwenye kikao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…