Hii kiitifaki imekaaje?

Maneno mengi points zero.....Misri sio nchi ya kiislam kama ilivo kwa Iran au Saudi Arabia.......mtu wa dini yeyote anaweza kua kiongozi Misri.
Acha ujinga
Christians presently constitute around 5% of the Egyptian population. Nevertheless, some media and other agencies, estimate the Christian population of Egypt to be between 10-15%.

Islam is the dominant religion in Egypt with around an estimated 90.3% of the population. Almost the entirety of Egypt's Muslims are Sunnis, with a very small minority of Shia. The latter, however, are not recognized by Egypt.
Islam has been recognized as the state religion since 1980.

Source: Islam in Egypt - Wikipedia


So you fabricate for fear of looking stupid.

 
Bongonyoso ni nchi ya hovyo sana, juzi kaja muigizaji wa Kihindi mara ana mkutano na waziri mkuu na rais wa Zanzibar yaani upuuzi uliopitiliza.
 
Zipo nchi za Kikristu moja wapo ni Armenia, na pia wapo magaidi wa kikristu moja wapo ni Taimil Tiger (hilo jina la kwanza najua litamka tu wakuu).
 
Ulishasikia mzinzi kuchapwa bakora Mia misri?!!..ndo kwanza airport pameandikwa wapo wengi Kama wewe,nchi ya kiislam unaogopa Muslim brotherhood!!
 
Yaani wewe unafikiri kuwa nchi ya kiislamu ndo wote wawe waislamu??
Au wewe ndo wale wale mnaofikiri Dubai au Qatar kuna uislamu zaidi ya ule wa Magomeni Mwembechai?
Umemjibu poa sana
 
Ulishasikia mzinzi kuchapwa bakora Mia misri?!!..ndo kwanza airport pameandikwa wapo wengi Kama wewe,nchi ya kiislam unaogopa Muslim brotherhood!!
Afghanistan is a unitary presidential Islamic republic.
Source: ronroblox.fandom.com/wiki/Afghanistan

Sasa mbona wanaogopa Taliban ndani ya nchi ya Kiislam!

Uislam uko kwenye madhehebu ma-3 Suni, Shia, Ibadi. Wote kuna sehemu hawakubaliani.
 
Afghanistan is a unitary presidential Islamic republic.
Source: ronroblox.fandom.com/wiki/Afghanistan

Sasa mbona wanaogopa Taliban ndani ya nchi ya Kiislam!

Uislam uko kwenye madhehebu ma-3 Suni, Shia, Ibadi. Wote kuna sehemu hawakubaliani.
Ibadhi(ibad) ni sunni
 
Nimebahatika kutembelea nchi kadhaa za Middle East na Gulf so I understand what you mean, mfano Lebanon na Egypt uzungu umetamalaki sana.
Magari yao mengi ni ya Kimarekani tu, niliipenda sana Lebanon
 
Reactions: Qwy
Nimebahatika kutembelea nchi kadhaa za Middle East na Gulf so I understand what you mean, mfano Lebanon na Egypt uzungu umetamalaki sana.
Awali Misri ilikuwa chini ya ukoloni wa Mfaransa, Mwingereza akaja kufukuza majeshi ya Napoleon Bonaparte, hivyo kuna influence ya Uzungu kutokana na historia hiyo.
 
Reactions: Qwy
West inaitumia sana Misri ku-neutralize mgogoro wa Mashariki ya kati kwasababu nchi za ghuba na Mashariki ya Kati kwa ujumla wao zinaiheshimu sana Misri.
Hivi ni kwanini, kwanini halafu sio waislamu wenye msimamo mkali
 
Hivi ni kwanini, kwanini halafu sio waislamu wenye msimamo mkali
Egypt inajiamini kama US, ni taifa kubwa la millennium takriban 4 kuliko hata US na Roman Empire. Egypt kama US imekataa kuwa mwanachama wa Commonwealth japo ni koloni la Uingereza. Lakini imevutiwa na kujiunga OIC na Arab League of Nations.
 
Ni ya kiislamu ila serikali yake sio theocratic.Subiri wale brotherhood wachukue dola patakua kama Iran.
Chura huko Deep sana kwa mambo mbalimbali licha ya kuishi kwa shemeji yako
 
Utopolo mtupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…