Hii kisheria ipoje? Simba haiwezi kutafuta tafsiri ya kisheria kwa Yanga kutumia Logo ya Simba kujinufaisha kibiashara?

Hii kisheria ipoje? Simba haiwezi kutafuta tafsiri ya kisheria kwa Yanga kutumia Logo ya Simba kujinufaisha kibiashara?

Young African kuna vilaza, wameshindwa kung'amua kama GSM anatantanga bidhaa za 'Haier' kwenye Jezi za Young African za msimu huu, na timu haipati hata mia.

Ukiwauliza wanachama wanakwambia...
"Katangazo kenyewe ni kadogo"
"Tumuachie tuu"
Full vituko...

Hizi timu...zimejaa vilaza, wachache wajanja wanapiga pesa.
Potelea mbali.. bango liacheni hapohapo tegeta
 
Back
Top Bottom