Hii kwa wanaume wote

Hii kwa wanaume wote

Robo tatu ya watu wenye tamaa huwa wanatusua nmeshuhudia wengi wakitoboa Kwa kuwaumiza wengine wachache ndo huwa wanafeli japo Mimi binafsi naamini katika subra kama nikikosa basi lakini lazima nipate

Ni sahihi, ukiwa na tamaa lazima uwe smart sana katika kuidhibiti tamaa yako. Maana imeandikwa kiburi na tamaa ndivyo vinavyotangulia kuanguka au mauti
 
ilikuaje ukavizia utajiri kupitia siasa Hadi kutapeliwa 500k na mganga asiyejua kusoma Wala kuandika ?
ilikuaje ukavizia utajiri kupitia siasa Hadi kutapeliwa 500k na mganga asiyejua kusoma Wala kuandika ?
ni kibaka wa siasa pekee ndie anaweza kuwatapeli wenye imani potofu wenzake kwamba eti wanaweza kushinda uchaguzi kwa ushirikina wa no reform no elections,

kua tajiri au maskini Tanzania ni uamuzi binafsi wa mtu,

kulalamika kwamba eti hakuna ajira wakati ajira za uhakika na za kutosha zipo shambani, nao pia ni ushirikina vile vile 🐒
 
Tabia ya tamaa imewaangusha wanaume wengi sana till date: Tamaa ya fedha, tamaa ya kutaka maisha ya juu kupita uwezo, tamaa ya wanawake, tamaa ya kutaka kuyafikia mambo makubwa kupita uwezo.

Mpaka umri huu nilionao nimeshuhudia marafiki zangu 58 wakipata madhira mbalimbali kwasababu ya tabia ya tamaa; Kati ya hao kuna waliopo jela, mahabusu za muda mrefu, kuna waliotekwa na waliouwawa kwa visasi, waliokufa kwa magonjwa makubwa, wengine wanateseka hospitalini kwa mgonjwa yasiyoeleweka

We mwanaume na kijana unayepambana kufikia ndoto zako Nachotaka kukwambia ni kwamba fanya yote kwa kiasi kwa maana TAMAA IKIZIDI KIASI LAZIMA UTENDE DHAMBI, DHAMBI IKIZIDI KIASI LAZIMA UINGIE KIFONI.

Asanteni
Hustle hustle the end justifies the means
 
kua tajiri au maskini Tanzania ni uamuzi binafsi wa mtu,

kulalamika kwamba eti hakuna ajira wakati ajira za uhakika na za kutosha zipo shambani, nao pia ni ushirikina vile vile 🐒
Naona mbolea mnauzia Zambia huku za kwenda kwa Mama zetu mnazijaza mchanga.

Ajabu siwaoni mkiachia viti mkakimbilia mashambani ili tuone kwa Vitendo kuwa mnatenda mnayosema au huwa mnalimia Bungeni mule mule ?
 
Naona mbolea mnauzia Zambia huku za kwenda kwa Mama zetu mnazijaza mchanga.

Ajabu siwaoni mkiachia viti mkakimbilia mashambani ili tuone kwa Vitendo kuwa mnatenda mnayosema au huwa mnalimia Bungeni mule mule ?
Yes,
kuna maeneo nchini ni muhimu kutumia mbolea but pia kuna maeneo kabisa hawatumii mbolea na wanavuna kweli kweli kweli,

Last year nililima ekari mia4,
This year nimeongeza ekari mia2 mkoa mwingine..

unadhani ni ajira ngapi naweza kuwapatia vijana nchini katika hizo ekari mia6?

wewe umeng'ang'ana tu mjini 🐒
 
Yes,
kuna maeneo nchini ni muhimu kutumia mbolea but pia kuna maeneo kabisa hawatumii mbolea na wanavuna kweli kweli kweli,

Last year nililima ekari mia4,
This year nimeongeza ekari mia2 mkoa mwingine..

unadhani ni ajira ngapi naweza kuwapatia vijana nchini katika hizo ekari mia6?

wewe umeng'ang'ana tu mjini 🐒
Kwahiyo ukienda tu mashambani tayari unaanza kupata ekari 100 na zinajilima sio ?
Hongera kwa kulima Kama Ni kweli.
Mana najua fujo zote zilizopo kila Mahali ni kwakuwa watu wanashiba.

Suala la kuajiri Hilo Mimi sielewi Kama umebakia na mfumo wa Mkoloni au wa kisasa na sijui Kama una Mkono wa birika ( Kipare ) na unyonyaji.
 
Kwahiyo ukienda tu mashambani tayari unaanza kupata ekari 100 na zinajilima sio ?
Hongera kwa kulima Kama Ni kweli.
Mana najua fujo zote zilizopo kila Mahali ni kwakuwa watu wanashiba.

Suala la kuajiri Hilo Mimi sielewi Kama umebakia na mfumo wa Mkoloni au wa kisasa na sijui Kama una Mkono wa birika ( Kipare ) na unyonyaji.
Na kwa taarifa yako,
kwasabb ya ule upendo niko nao kwa wanainchi, hata kabla sijaruhusu watu kuanza kupalili shamba langu, tayari kila msaka ajira ameshakata na kujipimia kipande chake cha kulima.

Always,
mimi huo nalipa malipo ya juu kidogo zaidi ya wakulima wengine, na kwahivyo shamba langu huwa la kwanza kupaliliwa na kuvunwa kwa ufanisi na mafanikio makubwa sana kwangu na niliowajiri shambani kwangu,

hakuna ukolini,
na siku ya mwisho, hususani ya mavuno huwa tuna kula mbuzi zaidi ya wa3🐒
 
Tabia ya tamaa imewaangusha wanaume wengi sana till date: Tamaa ya fedha, tamaa ya kutaka maisha ya juu kupita uwezo, tamaa ya wanawake, tamaa ya kutaka kuyafikia mambo makubwa kupita uwezo.

Mpaka umri huu nilionao nimeshuhudia marafiki zangu 58 wakipata madhira mbalimbali kwasababu ya tabia ya tamaa zilizozidi kiasi; Kati ya hao kuna waliopo jela mpaka sasa, kuna waliopo mahabusu za muda mrefu, kuna waliotekwa na waliouwawa kwa visasi, waliokufa kwa magonjwa makubwa, wengine wanateseka hospitalini kwa mgonjwa yasiyoeleweka, wachache waliobaki hai kwasababu ya tamaa zao kuzidi kiasi kwasasa wanaishi maisha magumu sana kwasababu ya mitego ya madeni, kushiriki shirki kwa waganga na mmoja huyu yeye aliamua kuacha jinsia yake sasa ni shoga aliyeolewa huko Ujerumani.

We mwanaume na kijana unayepambana kufikia ndoto zako Nachotaka kukwambia ni kwamba fanya yote kwa kiasi kwa maana TAMAA IKIZIDI KIASI LAZIMA UTENDE DHAMBI, DHAMBI IKIZIDI KIASI LAZIMA UINGIE KIFONI.

Asanteni
Kila mtu ashinde mechi zake.
 
Back
Top Bottom