Mallerina
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 1,236
- 2,060
Stay safeNice! neither do I
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Stay safeNice! neither do I
mimi sina makosa gentleman,Umeanza siasa Sasa Kamanda.
Sudden change ya politeness imetokea wapi ?
Mbona Kama unarise likability hapa Kamanda ?
Like of influence inakujaga na vifungu vya sentensi za kushawishi.
Kada umenikosa Sasa😂
Muongo wewe, unalimia kitandan?Yes,
kuna maeneo nchini ni muhimu kutumia mbolea but pia kuna maeneo kabisa hawatumii mbolea na wanavuna kweli kweli kweli,
Last year nililima ekari mia4,
This year nimeongeza ekari mia2 mkoa mwingine..
unadhani ni ajira ngapi naweza kuwapatia vijana nchini katika hizo ekari mia6?
wewe umeng'ang'ana tu mjini 🐒
muongo ni yule tapeli wa kisiasa anaejifanya ni yatima ili achangiwe pesa kwaajili ya konyagi na nyama ainjoy na marafiki zakeMuongo wewe, unalimia kitandan?

Karibu Makutupora mamaaApa muda huu wa Jumamosi mepita njia ya Dodoma kwenda Kondoa/Arusha nkafika sehemu panaitwa Msalato - Mnadani naona wanaume kibao wamesha tamani pisi Kali huko mjini wamekuja nazo mnadani ...wote pamoja wanatamani nyama choma
Nadhani ni hii uloisema greed,, na financial security...Nadhani watu u,commit fraud hakuna kingine zaidi yakuwa na financial pressure, greed, opportunity, and rationalization.
Wewe unahisi kwanini watu u commit fraud???
Tafuta kazi ya kufanya utakufa masikinimuongo ni yule tapeli wa kisiasa anaejifanya ni yatima ili achangiwe pesa kwaajili ya konyagi na nyama ainjoy na marafiki zake![]()
Inawezekana kabisa kuishi kwa kuridhika na vitu vichache, lakini inategemea mtazamo wa mtu binafsi na mazingira anayokulia.Nadhani ni hii uloisema greed,, na financial security...
Lakn mkuu unadhan haiwezekani kuish kwa kuridhika na vitu vichache....
ntasikitika sana ikiwa mdau kama wewe ata R.I.P akiwa na mihemko tu bila hoja, inafedhehesha sana kwakweliTafuta kazi ya kufanya utakufa masikini

Tafuta kazi ya kufanya ndugu nimekuambia ukweli utakufa masikinintasikitika sana ikiwa mdau kama wewe ata R.I.P akiwa na mihemko tu bila hoja, inafedhehesha sana kwakweli![]()
My friend,
wacha ni kusanue,
hakuna kitu kizuri kama kujitegemea kiuchumi halafu ndio ukaingia kwenye siasa,
Tazama akina heche wanavyoteseka sasa hivi, pension yake yote ya ubunge imeishia kwenye kubeti, hana shamba wala nyumba ya maana na anaishi kwao saivi,
angalia akina lema wanavyo tanga tanga, angali lisu anavyo ombaomba kuchangiwa pesa utadhani ni yatima Lakini ni mtu nzima timamu na mwenye nguvu kabisa, aisee!
Tengeneza uhakika wa uchumi wako kwanza halafu ñjoo kwenye siasa, vinginevyo utauza hadi kijiko na ubunge utauona kwenye TV tu [emoji205]
Bahati MBAYA hukutokea bahati MBAYA ukisimama sehemu yenye bahati MBAYA.Sure najua ila maisha yamejaa ajali na bahati mbaya unaweza usiwe na tamaa ila wenye tamaa wakakusababishia bahati mbaya
Kwani una tamaa iliyozidi kwake.Tutende dhambi basi...
Haja sema waliopo hospital wote. Huenda hao marafiki zake wasinge kuwa na haya aliye ya eleza wasinge kuwa huko.Sure najua ila maisha yamejaa ajali na bahati mbaya unaweza usiwe na tamaa ila wenye tamaa wakakusababishia bahati mbaya
Yes,Acha urongo, huyo Heche yuko vizuri. Ana mashamba makubwa ya parachichi pamoja na shamba kubwa la ufugaji wa ng'ombe. Huyo jamaa namfahamu vizuri sana.

Kweli mkuu, sema dunia ya leo inatudanganya... if you're not pursuing stuff inaonekana kama you're not measuring up.....Inawezekana kabisa kuishi kwa kuridhika na vitu vichache, lakini inategemea mtazamo wa mtu binafsi na mazingira anayokulia.
Wewe na yeye mnatofauti Gani? Pumbavu sanamuongo ni yule tapeli wa kisiasa anaejifanya ni yatima ili achangiwe pesa kwaajili ya konyagi na nyama ainjoy na marafiki zake![]()