RESILIENT KATO
JF-Expert Member
- Aug 21, 2024
- 1,472
- 2,766
Wakati wewe ukitaradadi kwenye ubunge au sio miss!!?Ni vizur zaidi kwa mwanaume kua na tamaa ya mafanikio kupitia kilimo na ufugaji my friends 🐒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati wewe ukitaradadi kwenye ubunge au sio miss!!?Ni vizur zaidi kwa mwanaume kua na tamaa ya mafanikio kupitia kilimo na ufugaji my friends 🐒
Umeanza siasa Sasa Kamanda.Na kwa taarifa yako,
kwasabb ya ule upendo niko nao kwa wanainchi, hata kabla sijaruhusu watu kuanza kupalili shamba langu, tayari kila msaka ajira ameshakata na kujipimia kipande chake cha kulima.
Always,
mimi huo nalipa malipo ya juu kidogo zaidi ya wakulima wengine, na kwahivyo shamba langu huwa la kwanza kupaliliwa na kuvunwa kwa ufanisi na mafanikio makubwa sana kwangu na niliowajiri shambani kwangu,
hakuna ukolini,
na siku ya mwisho, hususani ya mavuno huwa tuna kula mbuzi zaidi ya wa3🐒
I'm allergic to broke guyskumbe unauza 😳
My friend,Wakati wewe ukitaradadi kwenye ubunge au sio miss!!?
I'm allergic to beggars 😎I'm allergic to broke guys
Being provided for is never beggingI'm allergic to beggars 😎
Kweli kabisa Hyrax umeandika point kabisaTabia ya tamaa imewaangusha wanaume wengi sana till date: Tamaa ya fedha, tamaa ya kutaka maisha ya juu kupita uwezo, tamaa ya wanawake, tamaa ya kutaka kuyafikia mambo makubwa kupita uwezo.
Mpaka umri huu nilionao nimeshuhudia marafiki zangu 58 wakipata madhira mbalimbali kwasababu ya tabia ya tamaa zilizozidi kiasi; Kati ya hao kuna waliopo jela mpaka sasa, kuna waliopo mahabusu za muda mrefu, kuna waliotekwa na waliouwawa kwa visasi, waliokufa kwa magonjwa makubwa, wengine wanateseka hospitalini kwa mgonjwa yasiyoeleweka, wachache waliobaki hai kwasababu ya tamaa zao kuzidi kiasi kwasasa wanaishi maisha magumu sana kwasababu ya mitego ya madeni, kushiriki shirki kwa waganga na mmoja huyu yeye aliamua kuacha jinsia yake sasa ni shoga aliyeolewa huko Ujerumani.
We mwanaume na kijana unayepambana kufikia ndoto zako Nachotaka kukwambia ni kwamba fanya yote kwa kiasi kwa maana TAMAA IKIZIDI KIASI LAZIMA UTENDE DHAMBI, DHAMBI IKIZIDI KIASI LAZIMA UINGIE KIFONI.
Asanteni
una hela? means begging 🙂Being provided for is never begging
Sawa
Nimeuliza tu kama ipo😤una hela? means begging 🙂
I know I'm supposed to provide.
Inakosaje sasa kutamani bila kuwa na hela ni uroho.Nimeuliza tu kama ipo
Sio uroho I'm just concernedInakosaje sasa kutamani bila kuwa na hela ni uroho.
Tamaa ni sehemu ya maisha ya binadamu aliehai, shida zote wanazopitia wanaume, chanzo ni WA awake, hii Dunia kama WA awake wasingekuwelpo na zambi zicngekuwepo piaTabia ya tamaa imewaangusha wanaume wengi sana till date: Tamaa ya fedha, tamaa ya kutaka maisha ya juu kupita uwezo, tamaa ya wanawake, tamaa ya kutaka kuyafikia mambo makubwa kupita uwezo.
Mpaka umri huu nilionao nimeshuhudia marafiki zangu 58 wakipata madhira mbalimbali kwasababu ya tabia ya tamaa zilizozidi kiasi; Kati ya hao kuna waliopo jela mpaka sasa, kuna waliopo mahabusu za muda mrefu, kuna waliotekwa na waliouwawa kwa visasi, waliokufa kwa magonjwa makubwa, wengine wanateseka hospitalini kwa mgonjwa yasiyoeleweka, wachache waliobaki hai kwasababu ya tamaa zao kuzidi kiasi kwasasa wanaishi maisha magumu sana kwasababu ya mitego ya madeni, kushiriki shirki kwa waganga na mmoja huyu yeye aliamua kuacha jinsia yake sasa ni shoga aliyeolewa huko Ujerumani.
We mwanaume na kijana unayepambana kufikia ndoto zako Nachotaka kukwambia ni kwamba fanya yote kwa kiasi kwa maana TAMAA IKIZIDI KIASI LAZIMA UTENDE DHAMBI, DHAMBI IKIZIDI KIASI LAZIMA UINGIE KIFONI.
Asanteni
okay sawa, na nyie wanawake mpunguze tamaa ya hela, it's too much mnajidhalilisha.Sio uroho I'm just concerned
Ngoja nimuulize mobeto kama anadhalilikaokay sawa, na nyie wanawake mpunguze tamaa ya hela, it's too much mnajidhalilisha.
[emoji23]Ngoja nimuulize mobeto kama anadhalilika
Asante sana,Tabia ya tamaa imewaangusha wanaume wengi sana till date: Tamaa ya fedha, tamaa ya kutaka maisha ya juu kupita uwezo, tamaa ya wanawake, tamaa ya kutaka kuyafikia mambo makubwa kupita uwezo.
Mpaka umri huu nilionao nimeshuhudia marafiki zangu 58 wakipata madhira mbalimbali kwasababu ya tabia ya tamaa zilizozidi kiasi; Kati ya hao kuna waliopo jela mpaka sasa, kuna waliopo mahabusu za muda mrefu, kuna waliotekwa na waliouwawa kwa visasi, waliokufa kwa magonjwa makubwa, wengine wanateseka hospitalini kwa mgonjwa yasiyoeleweka, wachache waliobaki hai kwasababu ya tamaa zao kuzidi kiasi kwasasa wanaishi maisha magumu sana kwasababu ya mitego ya madeni, kushiriki shirki kwa waganga na mmoja huyu yeye aliamua kuacha jinsia yake sasa ni shoga aliyeolewa huko Ujerumani.
We mwanaume na kijana unayepambana kufikia ndoto zako Nachotaka kukwambia ni kwamba fanya yote kwa kiasi kwa maana TAMAA IKIZIDI KIASI LAZIMA UTENDE DHAMBI, DHAMBI IKIZIDI KIASI LAZIMA UINGIE KIFONI.
Asanteni
I don't fornicate[emoji23]
Kwamba hamtoi ndogo ili mpate hela.
Kwamba hamtoki na vibabu ili mpate hela.
Kwamba hamdangi ili mpate hela.
Nice! neither do II don't fornicate