Hii kwa wanaume wote

Hii kwa wanaume wote

Na kwa taarifa yako,
kwasabb ya ule upendo niko nao kwa wanainchi, hata kabla sijaruhusu watu kuanza kupalili shamba langu, tayari kila msaka ajira ameshakata na kujipimia kipande chake cha kulima.

Always,
mimi huo nalipa malipo ya juu kidogo zaidi ya wakulima wengine, na kwahivyo shamba langu huwa la kwanza kupaliliwa na kuvunwa kwa ufanisi na mafanikio makubwa sana kwangu na niliowajiri shambani kwangu,

hakuna ukolini,
na siku ya mwisho, hususani ya mavuno huwa tuna kula mbuzi zaidi ya wa3🐒
Umeanza siasa Sasa Kamanda.
Sudden change ya politeness imetokea wapi ?
Mbona Kama unarise likability hapa Kamanda ?
Like of influence inakujaga na vifungu vya sentensi za kushawishi.

Kada umenikosa Sasa😂
 
Wakati wewe ukitaradadi kwenye ubunge au sio miss!!?
My friend,
wacha ni kusanue,
hakuna kitu kizuri kama kujitegemea kiuchumi halafu ndio ukaingia kwenye siasa,

Tazama akina heche wanavyoteseka sasa hivi, pension yake yote ya ubunge imeishia kwenye kubeti, hana shamba wala nyumba ya maana na anaishi kwao saivi,

angalia akina lema wanavyo tanga tanga, angali lisu anavyo ombaomba kuchangiwa pesa utadhani ni yatima Lakini ni mtu nzima timamu na mwenye nguvu kabisa, aisee!

Tengeneza uhakika wa uchumi wako kwanza halafu ñjoo kwenye siasa, vinginevyo utauza hadi kijiko na ubunge utauona kwenye TV tu 🐒
 
Tabia ya tamaa imewaangusha wanaume wengi sana till date: Tamaa ya fedha, tamaa ya kutaka maisha ya juu kupita uwezo, tamaa ya wanawake, tamaa ya kutaka kuyafikia mambo makubwa kupita uwezo.

Mpaka umri huu nilionao nimeshuhudia marafiki zangu 58 wakipata madhira mbalimbali kwasababu ya tabia ya tamaa zilizozidi kiasi; Kati ya hao kuna waliopo jela mpaka sasa, kuna waliopo mahabusu za muda mrefu, kuna waliotekwa na waliouwawa kwa visasi, waliokufa kwa magonjwa makubwa, wengine wanateseka hospitalini kwa mgonjwa yasiyoeleweka, wachache waliobaki hai kwasababu ya tamaa zao kuzidi kiasi kwasasa wanaishi maisha magumu sana kwasababu ya mitego ya madeni, kushiriki shirki kwa waganga na mmoja huyu yeye aliamua kuacha jinsia yake sasa ni shoga aliyeolewa huko Ujerumani.

We mwanaume na kijana unayepambana kufikia ndoto zako Nachotaka kukwambia ni kwamba fanya yote kwa kiasi kwa maana TAMAA IKIZIDI KIASI LAZIMA UTENDE DHAMBI, DHAMBI IKIZIDI KIASI LAZIMA UINGIE KIFONI.

Asanteni
Kweli kabisa Hyrax umeandika point kabisa
 
Apa muda huu wa Jumamosi mepita njia ya Dodoma kwenda Kondoa/Arusha nkafika sehemu panaitwa Msalato - Mnadani naona wanaume kibao wamesha tamani pisi Kali huko mjini wamekuja nazo mnadani ...wote pamoja wanatamani nyama choma
 
Tabia ya tamaa imewaangusha wanaume wengi sana till date: Tamaa ya fedha, tamaa ya kutaka maisha ya juu kupita uwezo, tamaa ya wanawake, tamaa ya kutaka kuyafikia mambo makubwa kupita uwezo.

Mpaka umri huu nilionao nimeshuhudia marafiki zangu 58 wakipata madhira mbalimbali kwasababu ya tabia ya tamaa zilizozidi kiasi; Kati ya hao kuna waliopo jela mpaka sasa, kuna waliopo mahabusu za muda mrefu, kuna waliotekwa na waliouwawa kwa visasi, waliokufa kwa magonjwa makubwa, wengine wanateseka hospitalini kwa mgonjwa yasiyoeleweka, wachache waliobaki hai kwasababu ya tamaa zao kuzidi kiasi kwasasa wanaishi maisha magumu sana kwasababu ya mitego ya madeni, kushiriki shirki kwa waganga na mmoja huyu yeye aliamua kuacha jinsia yake sasa ni shoga aliyeolewa huko Ujerumani.

We mwanaume na kijana unayepambana kufikia ndoto zako Nachotaka kukwambia ni kwamba fanya yote kwa kiasi kwa maana TAMAA IKIZIDI KIASI LAZIMA UTENDE DHAMBI, DHAMBI IKIZIDI KIASI LAZIMA UINGIE KIFONI.

Asanteni
Tamaa ni sehemu ya maisha ya binadamu aliehai, shida zote wanazopitia wanaume, chanzo ni WA awake, hii Dunia kama WA awake wasingekuwelpo na zambi zicngekuwepo pia
 
Tabia ya tamaa imewaangusha wanaume wengi sana till date: Tamaa ya fedha, tamaa ya kutaka maisha ya juu kupita uwezo, tamaa ya wanawake, tamaa ya kutaka kuyafikia mambo makubwa kupita uwezo.

Mpaka umri huu nilionao nimeshuhudia marafiki zangu 58 wakipata madhira mbalimbali kwasababu ya tabia ya tamaa zilizozidi kiasi; Kati ya hao kuna waliopo jela mpaka sasa, kuna waliopo mahabusu za muda mrefu, kuna waliotekwa na waliouwawa kwa visasi, waliokufa kwa magonjwa makubwa, wengine wanateseka hospitalini kwa mgonjwa yasiyoeleweka, wachache waliobaki hai kwasababu ya tamaa zao kuzidi kiasi kwasasa wanaishi maisha magumu sana kwasababu ya mitego ya madeni, kushiriki shirki kwa waganga na mmoja huyu yeye aliamua kuacha jinsia yake sasa ni shoga aliyeolewa huko Ujerumani.

We mwanaume na kijana unayepambana kufikia ndoto zako Nachotaka kukwambia ni kwamba fanya yote kwa kiasi kwa maana TAMAA IKIZIDI KIASI LAZIMA UTENDE DHAMBI, DHAMBI IKIZIDI KIASI LAZIMA UINGIE KIFONI.

Asanteni
Asante sana,
 
Back
Top Bottom