Hii kwa wanaume wote

Umeanza siasa Sasa Kamanda.
Sudden change ya politeness imetokea wapi ?
Mbona Kama unarise likability hapa Kamanda ?
Like of influence inakujaga na vifungu vya sentensi za kushawishi.

Kada umenikosa SasaπŸ˜‚
 
Wakati wewe ukitaradadi kwenye ubunge au sio miss!!?
My friend,
wacha ni kusanue,
hakuna kitu kizuri kama kujitegemea kiuchumi halafu ndio ukaingia kwenye siasa,

Tazama akina heche wanavyoteseka sasa hivi, pension yake yote ya ubunge imeishia kwenye kubeti, hana shamba wala nyumba ya maana na anaishi kwao saivi,

angalia akina lema wanavyo tanga tanga, angali lisu anavyo ombaomba kuchangiwa pesa utadhani ni yatima Lakini ni mtu nzima timamu na mwenye nguvu kabisa, aisee!

Tengeneza uhakika wa uchumi wako kwanza halafu Γ±joo kwenye siasa, vinginevyo utauza hadi kijiko na ubunge utauona kwenye TV tu πŸ’
 
Kweli kabisa Hyrax umeandika point kabisa
 
Apa muda huu wa Jumamosi mepita njia ya Dodoma kwenda Kondoa/Arusha nkafika sehemu panaitwa Msalato - Mnadani naona wanaume kibao wamesha tamani pisi Kali huko mjini wamekuja nazo mnadani ...wote pamoja wanatamani nyama choma
 
Tamaa ni sehemu ya maisha ya binadamu aliehai, shida zote wanazopitia wanaume, chanzo ni WA awake, hii Dunia kama WA awake wasingekuwelpo na zambi zicngekuwepo pia
 
Asante sana,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…