Naona sasahivi kuna wanaojinasibu huko mitandaoni kuwa wanazitekenya hizo simu zamkopo nabiashara yakulipia inaishia hapo ,yan hulipii tena nawala simu haizimwiHawa pamoja na wanao nunua simu za mikopo akili zao zina fanana
Umewahi kuendesha bajaji?Kwa kweli hili jambo inabidi serikali iliangalie kwa jicho la pili......vijana wanakamuliwa sana......
Kwa life span ya bajaj ni wazi kuwa unamfanyia kazi mwenye bajaji......ni vigumu kwa mchaka mchaka WA mjini hapa kwa bajaj kutoboa miaka miwili........
Financial discipline ni ugonjwa wa duniaPitapita zangu maeneo ya town nikaona bango kubwa linalohusu mkopo wa bajaji na pikipiki nikaamua isiwe shida ngoja nijisogeze yaliyojiri ni kama yafuatayo;
Aina ya bajaji ni RE
Kianzio cha mkopo ni 700,000 na marejesho kwa siku ni 28,000 kwa miaka miwili inamaana hapa ndani ya miaka miwili unarejesha zaidi ya 20 milion aisee huu ni unyonyaji wa hali ya juu
Halafu nimekutana na jamaa pale ndo anatoa hiyo pesa anafurahi na kusema marejesho ya elfu 28,000 kwa siku kwake haisumbui huyu jamaa atakuja juta baadaeView attachment 3115668
NdioUmewahi kuendesha bajaji?
Hii nzuriNilijikuta ninanunua bajaji baada ya kuambiwa kwamba ya mkopo kianzio ni milioni 1 halafu rejesho ni elfu 22 kwa siku.
Nilichokifanya niliongeza laki 5 na kupata milioni 1.5 nikanunua bajaji used na kuirekebisha kwa laki 5.
Kijana kama unaweza kuwa na laki 7 au milioni ya kianzio cha mkopo wa bajaji basi unaweza ukajiongeza ukanunua bajaji used.
Namba B ni 1.3-2.3m
Namba C ni 2.5-3.5m
Namba D 4-5.5m
Siyo kweli kwamba mtu hawezi kutoboa kwa mkataba wa miaka miwili wa Bajaji.Ndio
ina uhusiano kwanini isiwe na uhusianoYaani u mean hii 28k kwa siku kwa miaka 2 haihusishi ile kianzio ya 700k?
SawaSiyo kweli kwamba mtu hawezi kutoboa kwa mkataba wa miaka miwili wa Bajaji.
Bajaji Ina hela kuliko tax
Mkuu mm nilifika ofisini kwao hicho nilichoandika kwenye bandiko sijaongeza chumvi ni kile nilichoanbiwa na mtoa huduma na nilikuta jamaa wanalipa huku wakidai hiyo hesabu inawezekana kwa sikuHiyo kampuni marejesho sio 28,000 ni 27,714 ambapo kwa wiki ni 194,000 faida yake ikiharibika wanatengeneza wenyewe kwa kipindi chote cha mkataba 2yrs. Kuna kampuni rejesho ni 31,200 na kila kitu ni kwa dereva.
Hii inafanyika hata kwa maboss wa mtaani na ni kawaida kabisa walio katika kiwanda hiki wanajua ndio maana kelele hamna.
Kwa kiasi flani haya makampuni yamekuwa mkombozi kwa watu kwasababu maboss wa mtaani manyanyaso yalikuwa makubwa sana kwa madereva wengine wanasubiria mkataba unataka kuisha anakutafutia makosa anakunyanganya chombo
Mkuu ilikua mwaka gani kianzio cha 1 milion na marejesho ya 22k na vp hiyo bajaji haisumbui?Nilijikuta ninanunua bajaji baada ya kuambiwa kwamba ya mkopo kianzio ni milioni 1 halafu rejesho ni elfu 22 kwa siku.
Nilichokifanya niliongeza laki 5 na kupata milioni 1.5 nikanunua bajaji used na kuirekebisha kwa laki 5.
Kijana kama unaweza kuwa na laki 7 au milioni ya kianzio cha mkopo wa bajaji basi unaweza ukajiongeza ukanunua bajaji used.
Namba B ni 1.3-2.3m
Namba C ni 2.5-3.5m
Namba D 4-5.5m
Asante kwa kututoa akili mkuu.Hawa pamoja na wanao nunua simu za mikopo akili zao zina fanana
Wanajua miaka 2 ikifululiza roads haina matengenezo makubwa labda upate ajali. Na baada ya miaka 2 kwisha hiyo Bajaj inapoteza nguvu yake Magonjwa ya Engine yanaweza kuanza kutokea.Hiyo kampuni marejesho sio 28,000 ni 27,714 ambapo kwa wiki ni 194,000 faida yake ikiharibika wanatengeneza wenyewe kwa kipindi chote cha mkataba 2yrs. Kuna kampuni rejesho ni 31,200 na kila kitu ni kwa dereva.
Hii inafanyika hata kwa maboss wa mtaani na ni kawaida kabisa walio katika kiwanda hiki wanajua ndio maana kelele hamna.
Kwa kiasi flani haya makampuni yamekuwa mkombozi kwa watu kwasababu maboss wa mtaani manyanyaso yalikuwa makubwa sana kwa madereva wengine wanasubiria mkataba unataka kuisha anakutafutia makosa anakunyanganya chombo