Hii Mikopo ya Bajaji sasa imekua kama kausha damu, tuwe makini

Mitano Tena!
 
Hiyo mbona inalipika tu...huenda ni Kwa vile hamfahamu bajaji analaza kiasi gani!! Jamaa yangu bajaji yake kaifungia mfumo wa gesi...akinunua gesi ya tsh 8000 Hadi ikiisha ameingiza elfu 90 (90,000.00) na hiyo ni ndani ya saa 24!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…