Hii miradi siyo ya Hayati Magufuli, ni ya nchi. Waziri Makamba kuwa makini sana

Hii miradi siyo ya Hayati Magufuli, ni ya nchi. Waziri Makamba kuwa makini sana

Kaka Janu shikamoo.

Naomba leo nikupe ukweli ambao wengi hatuufahamu.

"Wenye nchi yao", baada ya kuona taifa linalegalega, waliamua kumtafuta mwendawazimu mmoja ili alirudishe kwenye reli. Kwa ustadi mkubwa sana walifanikiwa kumchanganya JK kiasi kwamba amekuja kushtuka tayari JPM ni candidate na ana ulinzi mkali sana. Hatimaye, JPM akawa president.

JPM aliwekwa pale kwa ajili ya kusimamia kwa dhati, nguvu, na kwa kutumia kila aina ya njia, utekelezaji wa mipango mingi ya kwenye makabati. Hii ni mifano ya miradi ya nchi ambayo siyo ya JPM na ambayo imefungamana na national interests including national security.

1. Jeshi na taasisi za kiusalama kuwa Dodoma PLUS serikali kuwa Dodoma.
2. SGR
3. Bwawa la Mwl Nyerere
4. Ndege, meli, bandari, na miundombinu mingine mingi mikubwa.
5. Mapambano ya kisayansi ya ufisadi na masuala ya usalama wa taifa.

Hii miradi ilianzishwa na Mwl Nyerere. Mzee Mwinyi hakuifanya sana kwa sababu Nyerere aliacha taifa masikini sana kwa sababu ya sera zake za uchumi na vita ya hovyo na ya kibinafsi ya Uganda. Mzee Mwinyi akashindwa pia kwenda mbali maana alikuwa legelege na ufisadi pia ukaitafuna serikali yake. Ila sera zake ziliitoa nchi katika mateso ya uchumi wa Nyerere kwa kiasi fulani.

Mkapa had a focus. Alikuta nchi haiko stable. He inherited an inflation of 37%. He brought it to 4.1%. Kwa bahati mbaya, mwaka 1995, baada ya kuwa candidate wa CCM, sherehe yake ya kumpongeza kuwa candidate ilihudhuriwa na kijana wa miaka 25 hivi, anayeitwa Rostam. Mimi ninaamini, Rostam ndiye aliyemharibu Mkapa. Mambo aliyotakiwa kufanya Ben, ni pamoja kuhamia Dodoma na alifanya hiyo kazi kiasi flani, miundombinu ya kimkakati, yes he did kiasi chake, lakini pia swala la energy na ulinzi na usalama. Hakufanikiwa sana maana nguvu nyingi zilikwenda kuimarisha uchumi kwanza. Kilichomsaidia ni kuwa na Governer wa Central Bank ambaye alikuwa ana uwezo mkubwa sana kichwani na ambaye alikuwa practicing economist. Hakuwa mwalimu wa uchumi kama hawa waliokariri makaratasi and several western economic models. Hawajui hata nchi inataka nini.

Mkapa alipoondoka, nchi ilikuwa imeonyesha mwelekeo mkubwa sana wa kiuchumi. JK alikuta hazina imeshiba. Alianza kutekeleza miradi ya kimkakati kwa kiasi chake lakini hakufanikiwa. Kwa mfano, alitamani kujenga SGR but akawa hana pesa. Bwawa la umeme hakuwa na pesa lakini pia alikuwa ni darling wa western world. Hakutaka kuwakwaza wakubwa. Kwa bahati mbaya, utawala wake ulighubikwa pia na ufisadi ulioshiba na ajali nyingi za kujitakia za kisiasa. PM wake wa kwanza angalau alikuwa anafahamu wapi taifa linatakiwa kufika. Hata hivyo, yeye na mwenzake, walijikuta serikali yao inakosa focus mapema sana. Maana walitaka kufanya kila kitu. Taifa lilisogea lakini at a declining pace! Sasa kaka January, baada ya kutokueleweka kwa direction ya taifa, ndipo "Wenye nchi yao", wakaja na mpango wa kumpata mtu ambaye siyo tu kwamba ni mwendawazimu, lakini atatekeleza mambo yote yaliyoko kwenye makabati. Mimi kwa uelewa wangu mdogo, ninaamini, JPM aliandaliwa kwa ustadi mkubwa sana mwishoni au katikati ya mwaka 2009. Na aliyetumika kukamilisha mwanzo wa huo mpango wa yeye kuwa President alikuwa ni Premier Pinda. Mizengo alitekeleza bila kujua. Na baada ya mizengo kutekeleza, akaachwa pembeni. Wakaendelea na plan yao.

JPM alipewa kazi ya kutekeleza hayo niliyoyataja hapo juu. Kwa bahati mbaya au nzuri, JPM alikuwa anapenda sifa sana. Aliyatekeleza sana na kwa nguvu na kwa speed kubwa ambayo was not expected na ikaonekana kama hii miradi ni ya kwake. This's the fact. Hii miradi siyo ya JPM. Ni ya nchi. Usipoitekeleza, au kuikanyaga, unaikanyaga nchi na mifumo yake ambayo siyo rafiki kwakweli.

Ushauri wangu: Pamoja na roho aliyokuwa nayo JPM, na pamoja na ujinga wake na uwendawazimu mwingi aliokuwa nao, usifikiri figisu dhidi ya bwawa la Nyerere na miradi mingine itamuacha mtu yeyote salama. You're my brother. "Wenye nchi yao", ambao siyo watu "wema" are watching and monitoring. Nahisi mama kabadilika baada ya kufahamu ukweli. Kindly thank me later bro. My greetings to Wifi. Shemeji yako ananisubiri. Ngoja akapewe anachotaka.
Una akili nyingi sana komredi dada Fatma-Zehra ,Adonai Yahweh Allah akubariki sana ,akulinde wewe na shemeji yetu na uzao wenu aaaamin!

Akupandishe cheo kikubwa utuhudumie vyema watanzania huko ofisini kwako....aaamin aaamin Allahuma aaamin🙏
 
Hahahahaha..halooo ooohh..daawaa imeanzaa kuwaingiaa sasa..yaan mnazungukaa tuu..ukwel ni kwamba ndani ya mioyo tenu mnakubali sana JPM..ila ndo hvyoo yaan kawaumiza sana ambao mlikuwa hamna vyeti halisi..mliokuwa majambazi na majizi...
JPM was a real man..mutu na nusu
Kuna mwenye akili timilifu asiyemkubali JPM ?!!!!!


SIEMPRE EL COMANDANTE JPM HASTA LA VICTORIA EL COMANDANTE JPM aaamin aaamin 🙏

#Nchi Kwanza
#Kazi Inaendelea Kwa Kasi & Weledi Zaidi 💪
 
Aisee mimi.mwenyewe nawashangaa. Nchi iligeuka kuwa mto wa damu. Mauaji kila mahali wameingia watu waungwana lakini kelele kila kona. Watz wengi wanaendeshwa na wivu na roho mbaya.
Wapuuzi kama nyie ni wakutwangaa mawee tuu..hujaelewaa alichokielezea mwenzako hapo! Shida sio uungwana shida ni tunataka kuona nchi inasonga mbele..acha upuuz we pythagoras. Kuwa muungwana na huku mirad mikubwa ya kimkakati inalega lega haisaidii kitu.
 
Kazi kweli kweri😏! lakini katika maelezo yako naona umetaja mambo waliyofanya au waliyotakiwa kufanya marais waliopita, sasa hapa January yeye anaplay role kama nani? Kama rais wa nchi au kama waziri au mshauri wa rais?Your clarification please!

Lakini nkwambie kitu, hata ningekuwa mimi nimekabidhiwa hii nchi baada ya kifo cha Magufuri hii miradi yake ningeipiga chini ndani ya sekunde.Sio kwamba haina tija ila ukweli kama we mwenzagu ni mzazi au una watoto basi utakuwa unalijua hili.Siku yoyote mtoto akivaa ndala zako kama we ni mzazi ambaye usingependa kuja kuaibika lazima huyo mtoto umfinye kidogo maana kuna siku anaweza toka na nguo yako ya ndani na kaivaa kichwani na huko akijua yupo baba mkwe au mama mkwe.Then, ikawa aibu kwako.

Ndio Magufuri alifanya kile alichoweza lakini ukweli ni kwamba ile miradi mingi ilikuwa inatuzidi uwezo au mda wa kuwa implemented ulikuwa bado.Nakupa mfano ambao ni practical, leo hii unasema unanunua ndege ati ufufue shirika la ndege.Hivi kuna watu wanajua kwamba usafirishaji wa anga ni ustaarabu wa juu sana kiasi kwamba inakubidi uwe tayari umemudu land transportation, water transportation ndio uweze kufikiri mambo ya anga?

Anyway, kwa kifupi sana nadhani January sio wa kubeba hizi lawama.Najua wajomba wanaweza kuwa wanajipanga kufanya yao lakini kosa si la utawala wa awamu ya sita bali kosa lilianza toka mwanzo kabisa toka enzi za mwalimu
 
Mbona watu wanamuatacck sana January wa watu? Watanzania tuna guts na wivu sana. Inanifanya kuwaza zaidi ya kuondolewa kwa mtangulizi wake kwenye hiyo nafasi zaidi ya utendaji wake. Ni lini umeme ulikuwa haukatiki. Humu humu zilikuja kejeli za hiyo Train ya SGR kuwa waweke power bank enzi za Kalimlima. Hapa kuna namna kuna kundi limeundwa kwa kukejeli uwaziri wa February. Bora zingewekwa namna za kumfanya aboreshe utendaji wa wizara badala ya kum attack personally.
 
Mbona watu wanamuatacck sana January wa watu? Watanzania tuna guts na wivu sana. Inanifanya kuwaza zaidi ya kuondolewa kwa mtangulizi wake kwenye hiyo nafasi zaidi ya utendaji wake. Ni lini umeme ulikuwa haukatiki. Humu humu zilikuja kejeli za hiyo Train ya SGR kuwa waweke power bank enzi za Kalimlima. Hapa kuna namna kuna kundi limeundwa kwa kukejeli uwaziri wa February. Bora zingewekwa namna za kumfanya aboreshe utendaji wa wizara badala ya kum attack personally.
January kajitakia..huwezi kusema nchi haina lift ya kubeba mziti wa tani 26 wakati watu wanamacranes yamtapakaa yanayiweza kubeba tani hadi 100..So sabb yakusema crane ya kubeba tani 26 haipo nchini hivyo bwawa litachelewa kujaza maji hadi march 2022 hazina maana..ndo maana anashambuliwa
 
January kajitakia..huwezi kusema nchi haina lift ya kubeba mziti wa tani 26 wakati watu wanamacranes yamtapakaa yanayiweza kubeba tani hadi 100..So sabb yakusema crane ya kubeba tani 26 haipo nchini hivyo bwawa litachelewa kujaza maji hadi march 2022 hazina maana..ndo maana anashambuliwa
Je haya mshambulizi yameanza baada ya yeye kuzungumzia hilo suala la cranes?
 
Kaka Janu shikamoo.

Naomba leo nikupe ukweli ambao wengi hatuufahamu.

"Wenye nchi yao", baada ya kuona taifa linalegalega, waliamua kumtafuta mwendawazimu mmoja ili alirudishe kwenye reli. Kwa ustadi mkubwa sana walifanikiwa kumchanganya JK kiasi kwamba amekuja kushtuka tayari JPM ni candidate na ana ulinzi mkali sana. Hatimaye, JPM akawa president.

JPM aliwekwa pale kwa ajili ya kusimamia kwa dhati, nguvu, na kwa kutumia kila aina ya njia, utekelezaji wa mipango mingi ya kwenye makabati. Hii ni mifano ya miradi ya nchi ambayo siyo ya JPM na ambayo imefungamana na national interests including national security.

1. Jeshi na taasisi za kiusalama kuwa Dodoma PLUS serikali kuwa Dodoma.
2. SGR
3. Bwawa la Mwl Nyerere
4. Ndege, meli, bandari, na miundombinu mingine mingi mikubwa.
5. Mapambano ya kisayansi ya ufisadi na masuala ya usalama wa taifa.

Hii miradi ilianzishwa na Mwl Nyerere. Mzee Mwinyi hakuifanya sana kwa sababu Nyerere aliacha taifa masikini sana kwa sababu ya sera zake za uchumi na vita ya hovyo na ya kibinafsi ya Uganda. Mzee Mwinyi akashindwa pia kwenda mbali maana alikuwa legelege na ufisadi pia ukaitafuna serikali yake. Ila sera zake ziliitoa nchi katika mateso ya uchumi wa Nyerere kwa kiasi fulani.

Mkapa had a focus. Alikuta nchi haiko stable. He inherited an inflation of 37%. He brought it to 4.1%. Kwa bahati mbaya, mwaka 1995, baada ya kuwa candidate wa CCM, sherehe yake ya kumpongeza kuwa candidate ilihudhuriwa na kijana wa miaka 25 hivi, anayeitwa Rostam. Mimi ninaamini, Rostam ndiye aliyemharibu Mkapa. Mambo aliyotakiwa kufanya Ben, ni pamoja kuhamia Dodoma na alifanya hiyo kazi kiasi flani, miundombinu ya kimkakati, yes he did kiasi chake, lakini pia swala la energy na ulinzi na usalama. Hakufanikiwa sana maana nguvu nyingi zilikwenda kuimarisha uchumi kwanza. Kilichomsaidia ni kuwa na Governer wa Central Bank ambaye alikuwa ana uwezo mkubwa sana kichwani na ambaye alikuwa practicing economist. Hakuwa mwalimu wa uchumi kama hawa waliokariri makaratasi and several western economic models. Hawajui hata nchi inataka nini.

Mkapa alipoondoka, nchi ilikuwa imeonyesha mwelekeo mkubwa sana wa kiuchumi. JK alikuta hazina imeshiba. Alianza kutekeleza miradi ya kimkakati kwa kiasi chake lakini hakufanikiwa. Kwa mfano, alitamani kujenga SGR but akawa hana pesa. Bwawa la umeme hakuwa na pesa lakini pia alikuwa ni darling wa western world. Hakutaka kuwakwaza wakubwa. Kwa bahati mbaya, utawala wake ulighubikwa pia na ufisadi ulioshiba na ajali nyingi za kujitakia za kisiasa. PM wake wa kwanza angalau alikuwa anafahamu wapi taifa linatakiwa kufika. Hata hivyo, yeye na mwenzake, walijikuta serikali yao inakosa focus mapema sana. Maana walitaka kufanya kila kitu. Taifa lilisogea lakini at a declining pace! Sasa kaka January, baada ya kutokueleweka kwa direction ya taifa, ndipo "Wenye nchi yao", wakaja na mpango wa kumpata mtu ambaye siyo tu kwamba ni mwendawazimu, lakini atatekeleza mambo yote yaliyoko kwenye makabati. Mimi kwa uelewa wangu mdogo, ninaamini, JPM aliandaliwa kwa ustadi mkubwa sana mwishoni au katikati ya mwaka 2009. Na aliyetumika kukamilisha mwanzo wa huo mpango wa yeye kuwa President alikuwa ni Premier Pinda. Mizengo alitekeleza bila kujua. Na baada ya mizengo kutekeleza, akaachwa pembeni. Wakaendelea na plan yao.

JPM alipewa kazi ya kutekeleza hayo niliyoyataja hapo juu. Kwa bahati mbaya au nzuri, JPM alikuwa anapenda sifa sana. Aliyatekeleza sana na kwa nguvu na kwa speed kubwa ambayo was not expected na ikaonekana kama hii miradi ni ya kwake. This's the fact. Hii miradi siyo ya JPM. Ni ya nchi. Usipoitekeleza, au kuikanyaga, unaikanyaga nchi na mifumo yake ambayo siyo rafiki kwakweli.

Ushauri wangu: Pamoja na roho aliyokuwa nayo JPM, na pamoja na ujinga wake na uwendawazimu mwingi aliokuwa nao, usifikiri figisu dhidi ya bwawa la Nyerere na miradi mingine itamuacha mtu yeyote salama. You're my brother. "Wenye nchi yao", ambao siyo watu "wema" are watching and monitoring. Nahisi mama kabadilika baada ya kufahamu ukweli. Kindly thank me later bro. My greetings to Wifi. Shemeji yako ananisubiri. Ngoja akapewe anachotaka.
You got it all wrong. JPM was JK's candidate. Jk aliua ndege wawili kwa JIWE moja in 2015. On one side, kwa kusimama na JPM aliua uwezekano wowote wa hasimu wake Lowassa kujipenyeza kwa mgongo wa nyuma katika "tano bora" ya mgombea urais wa CCM. Kwa upande mwingine, JPM made a perfect fall guy. Jk knew JPM had some serious health issues, and he wouldn't last long kwenye urais. Lakini by the time he's gone, Watanzania wangekuwa wanamkumbuka Jk licha ya utawala wake kuwa wa kifisadi kupita maelezo. And that's exactly what happened. Badala ya watu kushukuru kwamba angalau under JPM sasa Tanzania sio major importer and exporter wa sembe, au sio major hub ya arms and people trafficking, watu wakamkumbuka Jk kwa vile "vyuma vilikaza" under JPM. Na hata hapa JF watu wakatamani "bora JK." Wapinzani nao wakaimba wimbo huohuo.

Kuna "makosa ya makusudi" kwenye hoja zako. Moja ni kudai "PM wa kwanza wa Jk, yaani Lowassa, alikuwa anafahamu wapi taifa linatakiwa kufika." Really? Kwa ufisadi wa Richmond? 🙄

That aside, Jk alimtengeneza JPM kuja kuwa rais wa kulaumiwa, not essentially kwa sababu he was a fearless tyrant, bali kwa vile katika kusafisha madudu ya mtangulizi wake, akageuka adui wa Watanzania wengi. Watanzania wanapenda utelezi. Wanataka kuamka saa 4 asubuhi huku fedha za kifisadi zinamiminika kwenye akaunti zao. Wanapenda kuwa na pato la ziada la kuwawezesha kumudu kuwa na nyumba ndoto zisizohesabika. Kuishi maisha ya kitajiri pasi elimu wala ajira kuna hitaji moja muhimu: uhalifu.

Long story short. Haya yote unayoshuhudia muda huu yalitengemezwa kabla JPM hajaingia madarakani. Ofkoz kuna wakati hata Jk mwenyewe was worried kuwa labda alifanya miscalculation kum-pick JPM as a fall guy, but the end justified the means.

Here we are again, Jk is back at the helm.

Hii ni condensed version of a very long episode, which essentially started in 2005. Panapo majaliwa, you'll read it in a book. Kwa sababu tusipoweka rekodi sawa kwa njia ya maandishi, sio tu wazushi watakuja na stori "za kusafishana" bali pia vizazi vijavyo havitoweza kuelewa kwanini nchi yao ipo the way itakavyokuwa.

Finally, kama hadi leo hakujawa na jitihada za kuangalia "the ugly side of Mwalimu's ujamaa/rule," kama ambavyo tawala za Mwinyi, Mkapa, na Jk hazijawekwa under microscope, ni ngumu kufahamu "the ugly side of JPM," including how hiyo miradi unayosema ni ya maslahi ya taifa ilivyogubikwa na ufisadi mkubwa na ilitekelezwa bila kujali ridhaa ya wananchi kupitia wawakilishi wao bungeni. To make matters even worse, tofauti na Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Jk, kwa JPM kuna suala la "kulinda legacy yake." Na ukigusa tu mapungufu yake hata ya kibinadamu, tarajia mashambulizi ya nguvu from watetezi wake, most of whom bado hawaamini kuwa they guy is actually gone for good.
 
Hahahahaha..halooo ooohh..daawaa imeanzaa kuwaingiaa sasa..yaan mnazungukaa tuu..ukwel ni kwamba ndani ya mioyo tenu mnakubali sana JPM..ila ndo hvyoo yaan kawaumiza sana ambao mlikuwa hamna vyeti halisi..mliokuwa majambazi na majizi...
JPM was a real man..mutu na nusu
Mbona unacheka kishoga sana?
Jikaze wewe mtoto wa kiume.
 
Je haya mshambulizi yameanza baada ya yeye kuzungumzia hilo suala la cranes?
Kunavitu anajichanganya..mfano..alipoingia alisema hati kuona umeme umekatikakatika..na akaondoa wataalamu waandamizi Tanesco kwa kusema hawafanyi kazi..lakini baada ya kukaa kidogo ndo umeme kukatika umezidi sana..akaulizwa akajibu eti awamu iliyopita watendaji waliogopa kuzima umeme ili kufanya maintanace kwani waliogopa kutumbuliwa ,so watu wakahoji..inamaana mitambo ilikaa inazalisha umeme kwa kuogopa maafisa wasitumbuliwe?la pili ikawa kama anaona maafisa waliogopa kutumbulia wakahakikisha umeme upo kwanini aliwaondoa maafiasa waandamizi Tanesco..wakarudishwa wizara ya utumishi wakati anajua hawakuwa na makosa?sasa na jibu la crane limeonyesha ni msanii na anatafuta njia za kudanyanya
 
Kunavitu anajichanganya..mfano..alipoingia alisema hati kuona umeme umekatikakatika..na akaondoa wataalamu waandamizi Tanesco kwa kusema hawafanyi kazi..lakini baada ya kukaa kidogo ndo umeme kukatika umezidi sana..akaulizwa akajibu eti awamu iliyopita watendaji waliogopa kuzima umeme ili kufanya maintanace kwani waliogopa kutumbuliwa ,so watu wakahoji..inamaana mitambo ilikaa inazalisha umeme kwa kuogopa maafisa wasitumbuliwe?la pili ikawa kama anaona maafisa waliogopa kutumbulia wakahakikisha umeme upo kwanini aliwaondoa maafiasa waandamizi Tanesco..wakarudishwa wizara ya utumishi wakati anajua hawakuwa na makosa?sasa na jibu la crane limeonyesha ni msanii na anatafuta njia za kudanyanya
Je wakumbuka ulipozimduliwa umeme wa gas kinyerezi walisemaje? Bei ya umeme itashuka na kukatika umeme itakuwa historia. Leta mrejesho je makamba alikuwa waziri?
 
Je wakumbuka ulipozimduliwa umeme wa gas kinyerezi walisemaje? Bei ya umeme itashuka na kukatika umeme itakuwa historia. Leta mrejesho je makamba alikuwa waziri?
Tunajadili makamba alichisema...Hayo mengine sijui
 
Kaka Janu shikamoo.

Naomba leo nikupe ukweli ambao wengi hatuufahamu.

"Wenye nchi yao", baada ya kuona taifa linalegalega, waliamua kumtafuta mwendawazimu mmoja ili alirudishe kwenye reli. Kwa ustadi mkubwa sana walifanikiwa kumchanganya JK kiasi kwamba amekuja kushtuka tayari JPM ni candidate na ana ulinzi mkali sana. Hatimaye, JPM akawa president.

JPM aliwekwa pale kwa ajili ya kusimamia kwa dhati, nguvu, na kwa kutumia kila aina ya njia, utekelezaji wa mipango mingi ya kwenye makabati. Hii ni mifano ya miradi ya nchi ambayo siyo ya JPM na ambayo imefungamana na national interests including national security.

1. Jeshi na taasisi za kiusalama kuwa Dodoma PLUS serikali kuwa Dodoma.
2. SGR
3. Bwawa la Mwl Nyerere
4. Ndege, meli, bandari, na miundombinu mingine mingi mikubwa.
5. Mapambano ya kisayansi ya ufisadi na masuala ya usalama wa taifa.

Hii miradi ilianzishwa na Mwl Nyerere. Mzee Mwinyi hakuifanya sana kwa sababu Nyerere aliacha taifa masikini sana kwa sababu ya sera zake za uchumi na vita ya hovyo na ya kibinafsi ya Uganda. Mzee Mwinyi akashindwa pia kwenda mbali maana alikuwa legelege na ufisadi pia ukaitafuna serikali yake. Ila sera zake ziliitoa nchi katika mateso ya uchumi wa Nyerere kwa kiasi fulani.

Mkapa had a focus. Alikuta nchi haiko stable. He inherited an inflation of 37%. He brought it to 4.1%. Kwa bahati mbaya, mwaka 1995, baada ya kuwa candidate wa CCM, sherehe yake ya kumpongeza kuwa candidate ilihudhuriwa na kijana wa miaka 25 hivi, anayeitwa Rostam. Mimi ninaamini, Rostam ndiye aliyemharibu Mkapa. Mambo aliyotakiwa kufanya Ben, ni pamoja kuhamia Dodoma na alifanya hiyo kazi kiasi flani, miundombinu ya kimkakati, yes he did kiasi chake, lakini pia swala la energy na ulinzi na usalama. Hakufanikiwa sana maana nguvu nyingi zilikwenda kuimarisha uchumi kwanza. Kilichomsaidia ni kuwa na Governer wa Central Bank ambaye alikuwa ana uwezo mkubwa sana kichwani na ambaye alikuwa practicing economist. Hakuwa mwalimu wa uchumi kama hawa waliokariri makaratasi and several western economic models. Hawajui hata nchi inataka nini.

Mkapa alipoondoka, nchi ilikuwa imeonyesha mwelekeo mkubwa sana wa kiuchumi. JK alikuta hazina imeshiba. Alianza kutekeleza miradi ya kimkakati kwa kiasi chake lakini hakufanikiwa. Kwa mfano, alitamani kujenga SGR but akawa hana pesa. Bwawa la umeme hakuwa na pesa lakini pia alikuwa ni darling wa western world. Hakutaka kuwakwaza wakubwa. Kwa bahati mbaya, utawala wake ulighubikwa pia na ufisadi ulioshiba na ajali nyingi za kujitakia za kisiasa. PM wake wa kwanza angalau alikuwa anafahamu wapi taifa linatakiwa kufika. Hata hivyo, yeye na mwenzake, walijikuta serikali yao inakosa focus mapema sana. Maana walitaka kufanya kila kitu. Taifa lilisogea lakini at a declining pace! Sasa kaka January, baada ya kutokueleweka kwa direction ya taifa, ndipo "Wenye nchi yao", wakaja na mpango wa kumpata mtu ambaye siyo tu kwamba ni mwendawazimu, lakini atatekeleza mambo yote yaliyoko kwenye makabati. Mimi kwa uelewa wangu mdogo, ninaamini, JPM aliandaliwa kwa ustadi mkubwa sana mwishoni au katikati ya mwaka 2009. Na aliyetumika kukamilisha mwanzo wa huo mpango wa yeye kuwa President alikuwa ni Premier Pinda. Mizengo alitekeleza bila kujua. Na baada ya mizengo kutekeleza, akaachwa pembeni. Wakaendelea na plan yao.

JPM alipewa kazi ya kutekeleza hayo niliyoyataja hapo juu. Kwa bahati mbaya au nzuri, JPM alikuwa anapenda sifa sana. Aliyatekeleza sana na kwa nguvu na kwa speed kubwa ambayo was not expected na ikaonekana kama hii miradi ni ya kwake. This's the fact. Hii miradi siyo ya JPM. Ni ya nchi. Usipoitekeleza, au kuikanyaga, unaikanyaga nchi na mifumo yake ambayo siyo rafiki kwakweli.

Ushauri wangu: Pamoja na roho aliyokuwa nayo JPM, na pamoja na ujinga wake na uwendawazimu mwingi aliokuwa nao, usifikiri figisu dhidi ya bwawa la Nyerere na miradi mingine itamuacha mtu yeyote salama. You're my brother. "Wenye nchi yao", ambao siyo watu "wema" are watching and monitoring. Nahisi mama kabadilika baada ya kufahamu ukweli. Kindly thank me later bro. My greetings to Wifi. Shemeji yako ananisubiri. Ngoja akapewe anachotaanachotaka

Kaka Janu shikamoo.

Naomba leo nikupe ukweli ambao wengi hatuufahamu.

"Wenye nchi yao", baada ya kuona taifa linalegalega, waliamua kumtafuta mwendawazimu mmoja ili alirudishe kwenye reli. Kwa ustadi mkubwa sana walifanikiwa kumchanganya JK kiasi kwamba amekuja kushtuka tayari JPM ni candidate na ana ulinzi mkali sana. Hatimaye, JPM akawa president.

JPM aliwekwa pale kwa ajili ya kusimamia kwa dhati, nguvu, na kwa kutumia kila aina ya njia, utekelezaji wa mipango mingi ya kwenye makabati. Hii ni mifano ya miradi ya nchi ambayo siyo ya JPM na ambayo imefungamana na national interests including national security.

1. Jeshi na taasisi za kiusalama kuwa Dodoma PLUS serikali kuwa Dodoma.
2. SGR
3. Bwawa la Mwl Nyerere
4. Ndege, meli, bandari, na miundombinu mingine mingi mikubwa.
5. Mapambano ya kisayansi ya ufisadi na masuala ya usalama wa taifa.

Hii miradi ilianzishwa na Mwl Nyerere. Mzee Mwinyi hakuifanya sana kwa sababu Nyerere aliacha taifa masikini sana kwa sababu ya sera zake za uchumi na vita ya hovyo na ya kibinafsi ya Uganda. Mzee Mwinyi akashindwa pia kwenda mbali maana alikuwa legelege na ufisadi pia ukaitafuna serikali yake. Ila sera zake ziliitoa nchi katika mateso ya uchumi wa Nyerere kwa kiasi fulani.

Mkapa had a focus. Alikuta nchi haiko stable. He inherited an inflation of 37%. He brought it to 4.1%. Kwa bahati mbaya, mwaka 1995, baada ya kuwa candidate wa CCM, sherehe yake ya kumpongeza kuwa candidate ilihudhuriwa na kijana wa miaka 25 hivi, anayeitwa Rostam. Mimi ninaamini, Rostam ndiye aliyemharibu Mkapa. Mambo aliyotakiwa kufanya Ben, ni pamoja kuhamia Dodoma na alifanya hiyo kazi kiasi flani, miundombinu ya kimkakati, yes he did kiasi chake, lakini pia swala la energy na ulinzi na usalama. Hakufanikiwa sana maana nguvu nyingi zilikwenda kuimarisha uchumi kwanza. Kilichomsaidia ni kuwa na Governer wa Central Bank ambaye alikuwa ana uwezo mkubwa sana kichwani na ambaye alikuwa practicing economist. Hakuwa mwalimu wa uchumi kama hawa waliokariri makaratasi and several western economic models. Hawajui hata nchi inataka nini.

Mkapa alipoondoka, nchi ilikuwa imeonyesha mwelekeo mkubwa sana wa kiuchumi. JK alikuta hazina imeshiba. Alianza kutekeleza miradi ya kimkakati kwa kiasi chake lakini hakufanikiwa. Kwa mfano, alitamani kujenga SGR but akawa hana pesa. Bwawa la umeme hakuwa na pesa lakini pia alikuwa ni darling wa western world. Hakutaka kuwakwaza wakubwa. Kwa bahati mbaya, utawala wake ulighubikwa pia na ufisadi ulioshiba na ajali nyingi za kujitakia za kisiasa. PM wake wa kwanza angalau alikuwa anafahamu wapi taifa linatakiwa kufika. Hata hivyo, yeye na mwenzake, walijikuta serikali yao inakosa focus mapema sana. Maana walitaka kufanya kila kitu. Taifa lilisogea lakini at a declining pace! Sasa kaka January, baada ya kutokueleweka kwa direction ya taifa, ndipo "Wenye nchi yao", wakaja na mpango wa kumpata mtu ambaye siyo tu kwamba ni mwendawazimu, lakini atatekeleza mambo yote yaliyoko kwenye makabati. Mimi kwa uelewa wangu mdogo, ninaamini, JPM aliandaliwa kwa ustadi mkubwa sana mwishoni au katikati ya mwaka 2009. Na aliyetumika kukamilisha mwanzo wa huo mpango wa yeye kuwa President alikuwa ni Premier Pinda. Mizengo alitekeleza bila kujua. Na baada ya mizengo kutekeleza, akaachwa pembeni. Wakaendelea na plan yao.

JPM alipewa kazi ya kutekeleza hayo niliyoyataja hapo juu. Kwa bahati mbaya au nzuri, JPM alikuwa anapenda sifa sana. Aliyatekeleza sana na kwa nguvu na kwa speed kubwa ambayo was not expected na ikaonekana kama hii miradi ni ya kwake. This's the fact. Hii miradi siyo ya JPM. Ni ya nchi. Usipoitekeleza, au kuikanyaga, unaikanyaga nchi na mifumo yake ambayo siyo rafiki kwakweli.

Ushauri wangu: Pamoja na roho aliyokuwa nayo JPM, na pamoja na ujinga wake na uwendawazimu mwingi aliokuwa nao, usifikiri figisu dhidi ya bwawa la Nyerere na miradi mingine itamuacha mtu yeyote salama. You're my brother. "Wenye nchi yao", ambao siyo watu "wema" are watching and monitoring. Nahisi mama kabadilika baada ya kufahamu ukweli. Kindly thank me later bro. My greetings to Wifi. Shemeji yako ananisubiri. Ngoja akapewe anachotaka.
Aisee! Umemuambia ukweli. Hii nchi ina wenyewe. Anatakiwa kujua nchi inaelekea wapi, sio yeye anataka kuelekea wapi.
 
Tunajadili makamba alichisema...Hayo mengine sijui
Umefanya maamuzi sahihi. If you cant fig
Tunajadili makamba alichisema...Hayo mengine sijui
Maamuzi sahihi! If you can't fight the join them. Kubali tu ubabaishi upo kila wakati. Ila kumshambUlia mtu bila kujua historia ya hali ilivyokuwa kabla inawafanya wengi kuwaza kuwa kuna kikundi kiko nyuma ya hizi shituma dhidi ya February.
 
Yaani unasema ungewa wewe ungeipiga chini Sgr na bwawa la umeme..Kama nani?yaani hera zote zilizoteketa utwambie kwa kuwa miradi ilianzishwa na magufuri basi iachwe..harafu sisi tukuangalie tu ..wewe kama nani?

Kazi kweli kweri😏! lakini katika maelezo yako naona umetaja mambo waliyofanya au waliyotakiwa kufanya marais waliopita, sasa hapa January yeye anaplay role kama nani? Kama rais wa nchi au kama waziri au mshauri wa rais?Your clarification please!

Lakini nkwambie kitu, hata ningekuwa mimi nimekabidhiwa hii nchi baada ya kifo cha Magufuri hii miradi yake ningeipiga chini ndani ya sekunde.Sio kwamba haina tija ila ukweli kama we mwenzagu ni mzazi au una watoto basi utakuwa unalijua hili.Siku yoyote mtoto akivaa ndala zako kama we ni mzazi ambaye usingependa kuja kuaibika lazima huyo mtoto umfinye kidogo maana kuna siku anaweza toka na nguo yako ya ndani na kaivaa kichwani na huko akijua yupo baba mkwe au mama mkwe.Then, ikawa aibu kwako.

Ndio Magufuri alifanya kile alichoweza lakini ukweli ni kwamba ile miradi mingi ilikuwa inatuzidi uwezo au mda wa kuwa implemented ulikuwa bado.Nakupa mfano ambao ni practical, leo hii unasema unanunua ndege ati ufufue shirika la ndege.Hivi kuna watu wanajua kwamba usafirishaji wa anga ni ustaarabu wa juu sana kiasi kwamba inakubidi uwe tayari umemudu land transportation, water transportation ndio uweze kufikiri mambo ya anga?

Anyway, kwa kifupi sana nadhani January sio wa kubeba hizi lawama.Najua wajomba wanaweza kuwa wanajipanga kufanya yao lakini kosa si la utawala wa awamu ya sita bali kosa lilianza toka mwanzo kabisa toka enzi za mwalimu
 
Kazi kweli kweri😏! lakini katika maelezo yako naona umetaja mambo waliyofanya au waliyotakiwa kufanya marais waliopita, sasa hapa January yeye anaplay role kama nani? Kama rais wa nchi au kama waziri au mshauri wa rais?Your clarification please!

Lakini nkwambie kitu, hata ningekuwa mimi nimekabidhiwa hii nchi baada ya kifo cha Magufuri hii miradi yake ningeipiga chini ndani ya sekunde.Sio kwamba haina tija ila ukweli kama we mwenzagu ni mzazi au una watoto basi utakuwa unalijua hili.Siku yoyote mtoto akivaa ndala zako kama we ni mzazi ambaye usingependa kuja kuaibika lazima huyo mtoto umfinye kidogo maana kuna siku anaweza toka na nguo yako ya ndani na kaivaa kichwani na huko akijua yupo baba mkwe au mama mkwe.Then, ikawa aibu kwako.

Ndio Magufuri alifanya kile alichoweza lakini ukweli ni kwamba ile miradi mingi ilikuwa inatuzidi uwezo au mda wa kuwa implemented ulikuwa bado.Nakupa mfano ambao ni practical, leo hii unasema unanunua ndege ati ufufue shirika la ndege.Hivi kuna watu wanajua kwamba usafirishaji wa anga ni ustaarabu wa juu sana kiasi kwamba inakubidi uwe tayari umemudu land transportation, water transportation ndio uweze kufikiri mambo ya anga?

Anyway, kwa kifupi sana nadhani January sio wa kubeba hizi lawama.Najua wajomba wanaweza kuwa wanajipanga kufanya yao lakini kosa si la utawala wa awamu ya sita bali kosa lilianza toka mwanzo kabisa toka enzi za mwalimu
Huna lolote na hujui lolote.
 
Kumbuka january aliupinga huu mradi wakati akiwa chini ya mama samia kwa kigezo cha mazingira..maana yake akaside na watu wa nje.Sasa samia ni Rais na makamba ni waziri wa hiyo wizara harafu anakuja na majibu mepesi kwwnye iaaue sensitive lazima wamushambulie ili aweke evidence otheeiwse watu wanaona anakuja kuhujumu ili mirafi ikwame..kitu qmqbcho siyo Rahis



Umefanya maamuzi sahihi. If you cant fig

Maamuzi sahihi! If you can't fight the join them. Kubali tu ubabaishi upo kila wakati. Ila kumshambUlia mtu bila kujua historia ya hali ilivyokuwa kabla inawafanya wengi kuwaza kuwa kuna kikundi kiko nyuma ya hizi shituma dhidi ya February.
 
Kaka Janu shikamoo.

Naomba leo nikupe ukweli ambao wengi hatuufahamu.

"Wenye nchi yao", baada ya kuona taifa linalegalega, waliamua kumtafuta mwendawazimu mmoja ili alirudishe kwenye reli. Kwa ustadi mkubwa sana walifanikiwa kumchanganya JK kiasi kwamba amekuja kushtuka tayari JPM ni candidate na ana ulinzi mkali sana. Hatimaye, JPM akawa president.

JPM aliwekwa pale kwa ajili ya kusimamia kwa dhati, nguvu, na kwa kutumia kila aina ya njia, utekelezaji wa mipango mingi ya kwenye makabati. Hii ni mifano ya miradi ya nchi ambayo siyo ya JPM na ambayo imefungamana na national interests including national security.

1. Jeshi na taasisi za kiusalama kuwa Dodoma PLUS serikali kuwa Dodoma.
2. SGR
3. Bwawa la Mwl Nyerere
4. Ndege, meli, bandari, na miundombinu mingine mingi mikubwa.
5. Mapambano ya kisayansi ya ufisadi na masuala ya usalama wa taifa.

Hii miradi ilianzishwa na Mwl Nyerere. Mzee Mwinyi hakuifanya sana kwa sababu Nyerere aliacha taifa masikini sana kwa sababu ya sera zake za uchumi na vita ya hovyo na ya kibinafsi ya Uganda. Mzee Mwinyi akashindwa pia kwenda mbali maana alikuwa legelege na ufisadi pia ukaitafuna serikali yake. Ila sera zake ziliitoa nchi katika mateso ya uchumi wa Nyerere kwa kiasi fulani.

Mkapa had a focus. Alikuta nchi haiko stable. He inherited an inflation of 37%. He brought it to 4.1%. Kwa bahati mbaya, mwaka 1995, baada ya kuwa candidate wa CCM, sherehe yake ya kumpongeza kuwa candidate ilihudhuriwa na kijana wa miaka 25 hivi, anayeitwa Rostam. Mimi ninaamini, Rostam ndiye aliyemharibu Mkapa. Mambo aliyotakiwa kufanya Ben, ni pamoja kuhamia Dodoma na alifanya hiyo kazi kiasi flani, miundombinu ya kimkakati, yes he did kiasi chake, lakini pia swala la energy na ulinzi na usalama. Hakufanikiwa sana maana nguvu nyingi zilikwenda kuimarisha uchumi kwanza. Kilichomsaidia ni kuwa na Governer wa Central Bank ambaye alikuwa ana uwezo mkubwa sana kichwani na ambaye alikuwa practicing economist. Hakuwa mwalimu wa uchumi kama hawa waliokariri makaratasi and several western economic models. Hawajui hata nchi inataka nini.

Mkapa alipoondoka, nchi ilikuwa imeonyesha mwelekeo mkubwa sana wa kiuchumi. JK alikuta hazina imeshiba. Alianza kutekeleza miradi ya kimkakati kwa kiasi chake lakini hakufanikiwa. Kwa mfano, alitamani kujenga SGR but akawa hana pesa. Bwawa la umeme hakuwa na pesa lakini pia alikuwa ni darling wa western world. Hakutaka kuwakwaza wakubwa. Kwa bahati mbaya, utawala wake ulighubikwa pia na ufisadi ulioshiba na ajali nyingi za kujitakia za kisiasa. PM wake wa kwanza angalau alikuwa anafahamu wapi taifa linatakiwa kufika. Hata hivyo, yeye na mwenzake, walijikuta serikali yao inakosa focus mapema sana. Maana walitaka kufanya kila kitu. Taifa lilisogea lakini at a declining pace! Sasa kaka January, baada ya kutokueleweka kwa direction ya taifa, ndipo "Wenye nchi yao", wakaja na mpango wa kumpata mtu ambaye siyo tu kwamba ni mwendawazimu, lakini atatekeleza mambo yote yaliyoko kwenye makabati. Mimi kwa uelewa wangu mdogo, ninaamini, JPM aliandaliwa kwa ustadi mkubwa sana mwishoni au katikati ya mwaka 2009. Na aliyetumika kukamilisha mwanzo wa huo mpango wa yeye kuwa President alikuwa ni Premier Pinda. Mizengo alitekeleza bila kujua. Na baada ya mizengo kutekeleza, akaachwa pembeni. Wakaendelea na plan yao.

JPM alipewa kazi ya kutekeleza hayo niliyoyataja hapo juu. Kwa bahati mbaya au nzuri, JPM alikuwa anapenda sifa sana. Aliyatekeleza sana na kwa nguvu na kwa speed kubwa ambayo was not expected na ikaonekana kama hii miradi ni ya kwake. This's the fact. Hii miradi siyo ya JPM. Ni ya nchi. Usipoitekeleza, au kuikanyaga, unaikanyaga nchi na mifumo yake ambayo siyo rafiki kwakweli.

Ushauri wangu: Pamoja na roho aliyokuwa nayo JPM, na pamoja na ujinga wake na uwendawazimu mwingi aliokuwa nao, usifikiri figisu dhidi ya bwawa la Nyerere na miradi mingine itamuacha mtu yeyote salama. You're my brother. "Wenye nchi yao", ambao siyo watu "wema" are watching and monitoring. Nahisi mama kabadilika baada ya kufahamu ukweli. Kindly thank me later bro. My greetings to Wifi. Shemeji yako ananisubiri. Ngoja akapewe anachotaka.
Kama ana akili timamu ambazo zinaweza kuchakata mambo sawa sawa atakuwa amekuelewa....!!
 
Back
Top Bottom