Hii miradi siyo ya Hayati Magufuli, ni ya nchi. Waziri Makamba kuwa makini sana

Umesema vyema brother.
 
Hata JPM mwenyewe alikuwa na matatizo ya vyeti FEKI kwa ile PhD yake na kwa UWIZI ndiyo kaweka rekodi. Tsh 2.4 Trillion kwa miaka 2016-18. CAG alipohoji akafukuzwa kazi
 
Kuhamishwa ni Majukumu ya kawaida ya kikazi sio lazima ufie Ofisi moja
 
Vijana mlioingia siasa 2015 ni kama mtoa mada
Jifunze kwanza kabla ya kuandika
Wanaokulipa ni kama wewe wageni kwenye ccm
Hii nchi kubwa Fatma
 
Miradi mingapi anasimamia January
Januaru mradi mmoja ila mtoa mada anasema miradi kana kuambiwa Januari ninwaziri Mkuu
 
Yaani unasema ungewa wewe ungeipiga chini Sgr na bwawa la umeme..Kama nani?yaani hera zote zilizoteketa utwambie kwa kuwa miradi ilianzishwa na magufuri basi iachwe..harafu sisi tukuangalie tu ..wewe kama nani?
Pole sana unakumbuka mwalimu pia kuna siku alijenga viwanda katika taifa lako?,aliweka nidhamu kwa watumishi kama alivyodai,akapambana na rushwa na umasikini lakini leo hii mko wapi? napokueleza kupiga chini,I mean to retreat.Eti sgr sijui bwawa la umeme.Wewe unaweza kuendesha hiyo SGR unayolilia.Hivi Magufuri aliporetreat katika project ya mwendokasi kuna siku ulikuja kuuliza alifanya kama nani?

Anyway,kama unauliza ntafanya kama nani,jibu ni jepesi ntafanya kama mimi.
 
Acheni kumtisha January, mwacheni atekeleze majukumu yake.
 
Nachojua January ni very smart. Na akisimamia project anaisimamia Kwa uweledi mkubwa (refer mifuko ya plastic). Hii habari ya kufanya mambo Kwa haraka na mihemko saa zingine ni hasara Kwa Taifa. January atafanya vyema na mambo yatakuwa sawa.
 
Nachojua January ni very smart. Na akisimamia project anaisimamia Kwa uweledi mkubwa (refer mifuko ya plastic). Hii habari ya kufanya mambo Kwa haraka na mihemko saa zingine ni hasara Kwa Taifa. January atafanya vyema na mambo yatakuwa sawa.
Umekaririshwa? Na ndo maana unadanganywa kuwa hakuna crane ya kunena tone 26 , na Wakati site zipo zinazo beba hadi tone 50
 
Hoja zako ni dhaifu mno Wala hakuna haja ya kuzijibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…