Hii nchi inawahitaji kina Paul Makonda wengi

Hii nchi inawahitaji kina Paul Makonda wengi

Ukihitaji salamu subiri kwanza nizeeke,tofauti na hapo utaula wa chuya!

"Watu wanaopaswa kufa kwenye hii nchi ni wengi kuliko walio hai"

Hii nchi ya Tanzania bila kuwa na kiongozi Katili,muonevu,mtoa amri za kutisha na asiye cheka cheka ovyo hatuwezi kusonga!.

Mfano mzuri ni Chuma Cha Pua JPM(RIP).

Hii nchi imejaa wapumbavu wa kutosha na bila kudili nao perpendicular kiukweli hatuwezi kutoboa,hizi kelele za wapinzani na wanaharakati kwamba tunahitaji demokrasia,ndiyo zinazotufanya hatusongi mbele!.

Bila kuwa na kiongozi katili, muonevu, asiye cheka ovyo hatuwezi katu kupiga hatua.

Rais Samia ni Rais ambaye hana hivyo vigezo na ndiyo maana nchi imemshinda, majitu yanapiga pesa kila uchwao, hakuna miradi inayokamilika na hatimaye tumerudi nyuma kimaendeleo, hii yote ni kwasababu ya kucheka na hii ngozi nyeusi iliyoshindikana!

Hii ngozi nyeusi bila kupata kiongozi mwenye haiba ya Paul Makonda hatuwezi kusonga kamwe!

Ili tusonge mbele tunahitaji kiongozi KATILI, MUUWAJI, ASIYECHEKA OVYO, ASIYEKUWA NA HURUMA NA MPENDA MAENDELEO.

MAKONDA ANAFAA KUWA RAIS WA NCHI!.
kumbe kuna wapumbavu kuliko lofa Makonda, wewe mojawapo. We kenge mlaumu mamako aliyekuzaa kuwa lofa km Makonda
 
Ukihitaji salamu subiri kwanza nizeeke,tofauti na hapo utaula wa chuya!

"Watu wanaopaswa kufa kwenye hii nchi ni wengi kuliko walio hai"

Hii nchi ya Tanzania bila kuwa na kiongozi Katili,muonevu,mtoa amri za kutisha na asiye cheka cheka ovyo hatuwezi kusonga!.

Mfano mzuri ni Chuma Cha Pua JPM(RIP).

Hii nchi imejaa wapumbavu wa kutosha na bila kudili nao perpendicular kiukweli hatuwezi kutoboa,hizi kelele za wapinzani na wanaharakati kwamba tunahitaji demokrasia,ndiyo zinazotufanya hatusongi mbele!.

Bila kuwa na kiongozi katili, muonevu, asiye cheka ovyo hatuwezi katu kupiga hatua.

Rais Samia ni Rais ambaye hana hivyo vigezo na ndiyo maana nchi imemshinda, majitu yanapiga pesa kila uchwao, hakuna miradi inayokamilika na hatimaye tumerudi nyuma kimaendeleo, hii yote ni kwasababu ya kucheka na hii ngozi nyeusi iliyoshindikana!

Hii ngozi nyeusi bila kupata kiongozi mwenye haiba ya Paul Makonda hatuwezi kusonga kamwe!

Ili tusonge mbele tunahitaji kiongozi KATILI, MUUWAJI, ASIYECHEKA OVYO, ASIYEKUWA NA HURUMA NA MPENDA MAENDELEO.

MAKONDA ANAFAA KUWA RAIS WA NCHI!.
R.I.P CHUMAJPM
 
kumbe kuna wapumbavu kuliko lofa Makonda, wewe mojawapo. We kenge mlaumu mamako aliyekuzaa kuwa lofa km Makonda
Huu ujinga uliokomenti ndiyo sababu ya Kumuhitaji Bashite awe Rais ili akuondolee Mavi kichwani,maana wewe liafrica bila damu na Ngeu huwezi kwenda!
 
Hii nchi Ina watu wa hovyo sana ,Watu wa aina hii ya mleta mada katika nchi za watu wanaopenda demokrasia inayolinda haki za binadamu,Tungeona sahivi yupo rumande.
yaani mtu unatoa hoja eti tuwe na kiongozi muuaji. Hiv unajua kichochezi mojawapo Cha maendeleo ni watu( labour), Hawa watu wakiuwawa maendeleo yepi tutapata.
Tanzania bado tuna safari ndefu sana, kama bado tunaviumbe dizain ya mleta mada na kuna wanaomuunga mkono basi kazi ipo
 
Ukihitaji salamu subiri kwanza nizeeke,tofauti na hapo utaula wa chuya!

"Watu wanaopaswa kufa kwenye hii nchi ni wengi kuliko walio hai"

Hii nchi ya Tanzania bila kuwa na kiongozi Katili,muonevu,mtoa amri za kutisha na asiye cheka cheka ovyo hatuwezi kusonga!.

Mfano mzuri ni Chuma Cha Pua JPM(RIP).

Hii nchi imejaa wapumbavu wa kutosha na bila kudili nao perpendicular kiukweli hatuwezi kutoboa,hizi kelele za wapinzani na wanaharakati kwamba tunahitaji demokrasia,ndiyo zinazotufanya hatusongi mbele!.

Bila kuwa na kiongozi katili, muonevu, asiye cheka ovyo hatuwezi katu kupiga hatua.

Rais Samia ni Rais ambaye hana hivyo vigezo na ndiyo maana nchi imemshinda, majitu yanapiga pesa kila uchwao, hakuna miradi inayokamilika na hatimaye tumerudi nyuma kimaendeleo, hii yote ni kwasababu ya kucheka na hii ngozi nyeusi iliyoshindikana!

Hii ngozi nyeusi bila kupata kiongozi mwenye haiba ya Paul Makonda hatuwezi kusonga kamwe!

Ili tusonge mbele tunahitaji kiongozi KATILI, MUUWAJI, ASIYECHEKA OVYO, ASIYEKUWA NA HURUMA NA MPENDA MAENDELEO.

MAKONDA ANAFAA KUWA RAIS WA NCHI!.
Kwa lipi? Tutolee upumbavu wako , who that man , mtavuna mkipandacho asema Bwana, kama ni umafia wake ijichanganye safari hii, acheni upumbavu na sifa za kijinga
 
Kwa lipi? Tutolee upumbavu wako , who that man , mtavuna mkipandacho asema Bwana, kama ni umafia wake ijichanganye safari hii, acheni upumbavu na sifa za kijinga
Sasa Makonda Akiwa Rais wa nchi wewe mwehu mmoja usiyekuwa na lolote utafanya nini?
 
Kwenye utawala wowote, wakiwepo wenye busara na kukaa kimya tu, nchi haiwezi kuchangamka. Hivyo anachofanya makonda walishafanya kina mrema, lowasa, membe nk.

Wataongea wee... Watatukana wenzao wee..watapewa kila sifa, sijui makachelo sijui ndio Rais watalajiwa...lakini kiukweli mtu kama huyo ataishia hivyohivyo.
Sababu anatumika tu, kwenye vipindi vigumu kwa makusudi maalum,.

Mwisho wasiku akitamani wadhifa mkubwa zaidi hawezi kupewa na zaidizaidi hadi mwisho wa safari yake.
 
Back
Top Bottom