Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,770
- 6,202
Hii nchi ni ngumu sana wadau, eti hapo mtu kashaliwa kichwa Hali ya kuwa alishawahi kuitwa Interview 2 na akafanya.
Alafu hawataki hata kupitia tena majina maana wengine walipeleka kwa Hakimu Ila bado wameandikiwa vivyohivyo.
Hii nchi ngumu sana inafikia kipindi mtu unawaza Why umezaliwa nchi yenye watu wabaya namna hii kama hawa wasio na huruma, vyeti unavyo na hata ukifika Interview unakaguliwa Ila bado Unaonekana we ni mlaghai, Sasa hivi kupata kazi ni ngumu na hata kuitwa Usaili ni ngumu pia?
Nipo Frustrated sana wadau sijui kwanini wamenifanyia unyama namna hii, Just imagine wangeniita usahili hapa wangepungukiwa nini?
Nauli ya kwenda ni ya kwangu, kula na kalala ni juu yangu, nikateseke na maswali juu yangu Shida kwao Iko wapi sasa..!!
INASIKITISHA SANA
Alafu hawataki hata kupitia tena majina maana wengine walipeleka kwa Hakimu Ila bado wameandikiwa vivyohivyo.
Hii nchi ngumu sana inafikia kipindi mtu unawaza Why umezaliwa nchi yenye watu wabaya namna hii kama hawa wasio na huruma, vyeti unavyo na hata ukifika Interview unakaguliwa Ila bado Unaonekana we ni mlaghai, Sasa hivi kupata kazi ni ngumu na hata kuitwa Usaili ni ngumu pia?
Nipo Frustrated sana wadau sijui kwanini wamenifanyia unyama namna hii, Just imagine wangeniita usahili hapa wangepungukiwa nini?
Nauli ya kwenda ni ya kwangu, kula na kalala ni juu yangu, nikateseke na maswali juu yangu Shida kwao Iko wapi sasa..!!
INASIKITISHA SANA