Hii nchi ngumu kweli, eti mtu kashaliwa kichwa

Hii nchi ngumu kweli, eti mtu kashaliwa kichwa

😀😀jana nilikaa nikatafakari nikagundua Tz elimu ya chuo tuwaachie dada zetu , wanaume tukimaliza form 4 au 6 tuingie mtaa kupiga business maana wao wengi uhakika wa kazi mkubwa tofauti na mtoto wa kiume
Yani dah hta km wakifeli vp usaili wanawawabeba
 
Mkuu nimecertify mkuu clear stamp from Mahakama ya wilaya.
Sijajua kama Kuna mashine ndo zinakagua au ni macho ya binadamu,, maana Human Errors zipo. Halafu hawana hata re-exploration.
Ebu pitia upya documents zako ulizo attach,huenda ulimix mafaili badala ya kuattach certified copies, wewe ukaatach uncertified copies.
 
Mkuu nimecertify mkuu clear stamp from Mahakama ya wilaya.
Sijajua kama Kuna mashine ndo zinakagua au ni macho ya binadamu,, maana Human Errors zipo. Halafu hawana hata re-exploration.
Mkuu itakua kipindi unaomba hiyo kazi vyeti ulikua Bado hujacertify so data zikaenda zikiwa hazina stamp so baadae ndo ukaja upload vyeti certified so now uki apply kazi utaitwa mkuu labda watafute sababu nyingine maana nao hawaeleweki
 
Kwahyo hii ID ndo natumia Hadi kwenye vyeti vyangu..? Utakuwa huijui JF,, hv ww hyo ID unayotumia ndio Jina lako husika..?
Hata kama hutumii kwenye vyeti vyako, inawezakuwa inasadifu na muonekano wako.

Mimi ndio Jina La Ukoo wetu hilo, kama vile wengine wa Kilimanjaro unasikia Ukoo wa Mboro n.k
 
Certified copy ni ile yenye muhuri wa wakili..... sasa huo muhuri nani atau-certify?[emoji23][emoji23][emoji23]
Ni rahisi kihivyo kupata muhuri wa wakili? Hilo sina uhakika nalo lakini kwa nini ufanye hivyo kama vyeti vyako ni halali?
 
Hata kama hutumii kwenye vyeti vyako, inawezakuwa inasadifu na muonekano wako.

Mimi ndio Jina La Ukoo wetu hilo, kama vile wengine wa Kilimanjaro unasikia Ukoo wa Mboro n.k
Sasa hata ikiwa kimuonekano shida ni nini..? Hhv Hilo jina la KISIRAN huoni kama linasadifu ni mtu wa hovyo sana usiye Unayenunanuna bila sababu tena unawezekana ukawa Jambazi kabisa wewe
 
Ujue wakati mwengine tunaponzwa na Muonekano au Jina, inawezekana unasadifu na muonekano wako.

Sasa mtu ushajiita shombe la kisomali, nani anataka AL shabab kazini kwake?
We Jamaa una fıkra finyu sana .... ID ya jf unafata nn kwenye usaili na kwenye Mada ya huyu ndugu
 
We Jamaa una fıkra finyu sana .... ID ya jf unafata nn kwenye usaili na kwenye Mada ya huyu ndugu
Huyo jamaa ni Kichaa sana unaweza Kuta kanizidi sana kiumri Ila Hana upeo kabisa ni full Idiot
 
daah it's normal kaka kikubwa kutokukata tamaa na kuendelea kusaka connection kama jamii ilivyoamua. hapa nina application sio chini ya 20 nimefanya nimeitwa moja tu p.sector lakini
 
NECTA wanakujua na ndio waliokupa cheti ila leo wewe ndio unaambiwa uthibitishe cheti chako.. hii logic mimi hua siielewi[emoji28][emoji28]
Mwenye uhalali wa kuthibitisha cheti chako ni yule aliyekupa pekee. Inamaana Taasisi zetu zimeshidwa kabisa kuitumia technolojia, yaani ujulikane sehemu moja alafu sehemu zingine ujithibitishe?[emoji28][emoji28]

Anyway! hapo kosa ni lako, ulitakiwa kufuata taratibu zilizowekwa (bila kujali zina logic au la).
kabisa mkuu kwanza vyeti vyote vina code maalum ya cheti. kwanini wasiviingize kwenye mfumo wao wakavihakiki kwa hizi codes
 
[emoji3][emoji3]jana nilikaa nikatafakari nikagundua Tz elimu ya chuo tuwaachie dada zetu , wanaume tukimaliza form 4 au 6 tuingie mtaa kupiga business maana wao wengi uhakika wa kazi mkubwa tofauti na mtoto wa kiume
upige business gani mtaji huna, exposure huna,skills huna mkuu .umachinga ndo ilikua chaka la waliokosa ajira na walioishia std7 na 4m4 ,sasa lamda unaongelea bodaboda maana ndo kazi pekee kijana asiye na chochote aweza fanya.
 
Mkuu hivi katika hali kama hiyo huyo jamaa anaweza kuvitoa hivyo vyeti ambavyo havijawa certified na kuweka vilivyokua certified?.. Maana nilisikia kwenye ajira portal ukishaweka cheti huwezi tena kukitoa

Ndo ipo hivyo hakuna namna ya kutoa cheti yani ukiweka ni umeweka
 
kabisa mkuu kwanza vyeti vyote vina code maalum ya cheti. kwanini wasiviingize kwenye mfumo wao wakavihakiki kwa hizi codes
Kwa Dunia ya Sasa hii ya technology hakuna kinachoshindikana,, Ila ndo hivyo tu washaamua mkuu
 
daah it's normal kaka kikubwa kutokukata tamaa na kuendelea kusaka connection kama jamii ilivyoamua. hapa nina application sio chini ya 20 nimefanya nimeitwa moja tu p.sector lakini
Duuuh yaan 20 unaitwa 1 tu,,, kweli Hali ni tete
 
Back
Top Bottom