Mes92
Member
- Jan 27, 2022
- 79
- 97
Yani dah hta km wakifeli vp usaili wanawawabeba😀😀jana nilikaa nikatafakari nikagundua Tz elimu ya chuo tuwaachie dada zetu , wanaume tukimaliza form 4 au 6 tuingie mtaa kupiga business maana wao wengi uhakika wa kazi mkubwa tofauti na mtoto wa kiume