Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,770
- 6,202
- Thread starter
-
- #61
ππππ MkuuPole sana mkuu,haya nayo yatapita na utayasahau,ndio maisha yalivyo,
Good luck.
so poaa .kikubwa uhaiDuuuh yaan 20 unaitwa 1 tu,,, kweli Hali ni tete
Ni kweli inasikitisha sana, Hapo mtu anajikuta katupa Laki 2 yake shimoni kabisaWewe hapo unauhaeni juzi hapo kwenye interview za TRA watu wameitwa kabisa kunawatu hajafanya paper kisa wana copy ya kitabulisho cha kupiga kura/NIDA
Mtu unapoteza nauli, pesa ya kujikimu na muda pata picha umetoka kigoma
Mwisho wasiku unajifariji umeenda tour dodomaNi kweli inasikitisha sana, Hapo mtu anajikuta katupa Laki 2 yake shimoni kabisa
Ukweli mchungu mdaa mwingine inabidi ukubali jambo ili uendelee na mambo mengine usipoteze mdaa zaidiInaumiza sana mkuu pole. Nikuombe kitu fikia hatua kubali kusoma kwako ilikua part ya maisha afu ruhusu maisha mengine yaendelee.