Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Ubatili mtupu eeehh?vyote ni ubatili maisha tunayoishi hayafiki miaka 100 siku hizi
pesa ninazo siwezi kufanya kinyaa kama hicho kwenye hii dunia ya Mungu unasema we mwamba kweli ?Ubatili mtupu eeehh?
Siku ukikabwa huna pesa ya kwenda India kupasuliwa moyo ndipo utasema pesa ni ubatili
Hili nalo nenoUyu boya kinaacha kutuonyeshabkazi yake linatuonyesha magari na nyumba gadeeeeeeem
Kuwasha gari hata mm si ninawezaMwone kijana mwenzako huyu ana pesa. Tanzania pesa kila sehemu zimejaa, shambani, sokoni, kazini, mitaani.
Ni wewe tu kutumia akili kidogo unazipata.
View attachment 2660277
He has ego and so proud. Uskute kakamata million 50 tu 25k usd.Mwone kijana mwenzako huyu ana pesa. Tanzania pesa kila sehemu zimejaa, shambani, sokoni, kazini, mitaani.
Ni wewe tu kutumia akili kidogo unazipata.
View attachment 2660277