Hii nchi sio viongozi pekee ndio waovu, bali ni wananchi wengi ni waovu pia

Hii nchi sio viongozi pekee ndio waovu, bali ni wananchi wengi ni waovu pia

AbuuMaryam

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2015
Posts
2,577
Reaction score
4,637
Hawa viongozi hawa ni alama tu inayoonesha jinsi wananchi wote walivyo, kila mwananchi mahali alipo wengi wao akipewa nafasi lazima ajifanye ujanja kuiba...

Ndio maana mtu mchamungu akistaafu hali ya kuwa amepata tu kile alichostahili...wananchi wenzio hawatokusifia kwa wema wako, ila watakusimanga kwa uzembe SIO MJANJA.

KILA MTU ANAFANYA KILA MBINU AMPIGE BOSS WAKE...

KILA MWENYE NGUVU NA MWENYE UWEZO ANAFANYA KILA MBINU AMDHULUMU ALIYE DHAIFU.

Umbea ndio umekithiri...watu hawaharibiani maofisini tu...ukitaka kujua jamii hii imekaa kimbea mbea...KILA MTU AKIWA NA SMARTPHONE anamrekodi tu mwenzio bila kujua mwenzie anafanya nini...ila kwakuwa yeye ni MJINGA hajui analofanya mwenzie...anaona la ajabu anarekodi anapost...

Mfano yule nurse aliyekuwa akiosha vifaa vile...hakujua anaosha nini na kwa sababu nw utaratibu gani...kwa upumbavu wake...yeye anarekodi kumharibia mwenzie anapost atafute umaarufu...

Mwingine ni mtu yupo hospital na smart yake... INAJULIKANA HAIPASWI KUREKODI CHOCHOTE HOSPITAL...YEYE KWA UMBEA ANAREKODI MGONJWA NA MPENZI WAKE WANABUSUANA ANAPOST.

SASA WALE WALE WALIOBUSUANA WODINI NA YULE ALIRECORD HOSPITAL NANJ MWENYE KOSA KUBWA LA KUSHTAKIWA NA FIDIA JUU.

MIMI NINASHAURI MAMLAKA...IZUIE KWENDA NA SIMU KWENYE MAENEO YA HOSPITAL KWA NAMNA YOYOTE ILE ISIPOKUWA MANAGEMENT TU.

UMBEA NA UOVU UMEKITHIRI MIONGONI MWETU...VIONGOZI NI ALAMA TU WANAOWAKILISHA JINSI SISI TULIVYO... TUBADILIKE KWANZA SISI NDIO HATA VIONGOZI WETU WATAKUWA WEMA.
 
Mkuu hio Ni kweli watu wamekua wahovyo Sana unakuta mtu amepata Ajali anatapa road badala wamsaidie unakuta lijitu liko busy kuchukua video Kama huna Masada wakuokoa uhai wa mtu kwann uchukue video tena ambayo haina Masada wowte mwsho wa siku unaenda kusambaza kwenye whatsp na insta Kama huna Msaada wwte pita pembeni tu,, watz wengi niwahovyo sana ndo maana Kuna tukio flan wajeda wakawa wanavunja simu zao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hio Ni kweli watu wamekua wahovyo Sana unakuta mtu amepata Ajali anatapa road badala wamsaidie unakuta lijitu liko busy kuchukua video Kama huna Masada wakuokoa uhai wa mtu kwann uchukue video tena ambayo haina Masada wowte mwsho wa siku unaenda kusambaza kwenye whatsp na insta Kama huna Msaada wwte pita pembeni tu,, watz wengi niwahovyo sana ndo maana Kuna tukio flan wajeda wakawa wanavunja simu zao

Sent using Jamii Forums mobile app
USHAMBA NA UMBEA TU.
 
Umbea ndio umekithiri...watu hawaharibiani maofisini tu...ukitaka kujua jamii hii imekaa kimbea mbea...KILA MTU AKIWA NA SMARTPHONE anamrekodi tu mwenzio bila kujua mwenzie anafanya nini...ila kwakuwa yeye ni MJINGA hajui analofanya mwenzie...anaona la ajabu anarekodi anapost...
 
Fundi Maiko mjenzi nae mpigaji, mlinzi na house girl nao wapigaji, mwajiriwa anatafta upigaji, mfanya biashara anakwepa Kodi, etc Kila mtu mwovu

ondoa boriti kwa jicho Yako kabla ya kibanzi kwa jicho ya jirani akoo
 
Hawa viongozi hawa ni alama tu inayoonesha jinsi wananchi wote walivyo, kila mwananchi mahali alipo wengi wao akipewa nafasi lazima ajifanye ujanja kuiba...

Ndio maana mtu mchamungu akistaafu hali ya kuwa amepata tu kile alichostahili...wananchi wenzio hawatokusifia kwa wema wako, ila watakusimanga kwa uzembe SIO MJANJA.

KILA MTU ANAFANYA KILA MBINU AMPIGE BOSS WAKE...

KILA MWENYE NGUVU NA MWENYE UWEZO ANAFANYA KILA MBINU AMDHULUMU ALIYE DHAIFU.

Umbea ndio umekithiri...watu hawaharibiani maofisini tu...ukitaka kujua jamii hii imekaa kimbea mbea...KILA MTU AKIWA NA SMARTPHONE anamrekodi tu mwenzio bila kujua mwenzie anafanya nini...ila kwakuwa yeye ni MJINGA hajui analofanya mwenzie...anaona la ajabu anarekodi anapost...

Mfano yule nurse aliyekuwa akiosha vifaa vile...hakujua anaosha nini na kwa sababu nw utaratibu gani...kwa upumbavu wake...yeye anarekodi kumharibia mwenzie anapost atafute umaarufu...

Mwingine ni mtu yupo hospital na smart yake... INAJULIKANA HAIPASWI KUREKODI CHOCHOTE HOSPITAL...YEYE KWA UMBEA ANAREKODI MGONJWA NA MPENZI WAKE WANABUSUANA ANAPOST.

SASA WALE WALE WALIOBUSUANA WODINI NA YULE ALIRECORD HOSPITAL NANJ MWENYE KOSA KUBWA LA KUSHTAKIWA NA FIDIA JUU.

MIMI NINASHAURI MAMLAKA...IZUIE KWENDA NA SIMU KWENYE MAENEO YA HOSPITAL KWA NAMNA YOYOTE ILE ISIPOKUWA MANAGEMENT TU.

UMBEA NA UOVU UMEKITHIRI MIONGONI MWETU...VIONGOZI NI ALAMA TU WANAOWAKILISHA JINSI SISI TULIVYO... TUBADILIKE KWANZA SISI NDIO HATA VIONGOZI WETU WATAKUWA WEMA.
Huo ndiyo ukweli
 
Fundi Maiko mjenzi nae mpigaji, mlinzi na house girl nao wapigaji, mwajiriwa anatafta upigaji, mfanya biashara anakwepa Kodi, etc Kila mtu mwovu

ondoa boriti kwa jicho Yako kabla ya kibanzi kwa jicho ya jirani akoo
hapo kwa Fundi Maiko.... umenikumbusha maumivu....aliniwekea sink la kuny#$$% chooni... sink lipo juu kuliko floor.... sa ukioga ... maji km bwawa
 
Kuna ajali ilitokea ya roli lilibeba magodoro, likaanza kuwaka moto dereva milango imejilock anaomba msaada raia hawaelewi wanaendelea kuchukua magodoro.

Yule dereva alilia sana mpk mwisho akaamua kuwatupia vitambulisho vyake wawajulishe ndugu zake km yeye amekufa [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Kile kitu kiliniumiza mpk kesho nawachukia watu wa eneo lile, ni zaidi ya mashetani
 
Kuna ajali ilitokea ya roli lilibeba magodoro, likaanza kuwaka moto dereva milango imejilock anaomba msaada raia hawaelewi wanaendelea kuchukua magodoro.

Yule dereva alilia sana mpk mwisho akaamua kuwatupia vitambulisho vyake wawajulishe ndugu zake km yeye amekufa [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Kile kitu kiliniumiza mpk kesho nawachukia watu wa eneo lile, ni zaidi ya mashetani
hao watu wa eneo hilo.... ni sample halisi ya Watanzania wengi... wakiwemo tuliowapa Mamlaka
 
Kuna ajali ilitokea ya roli lilibeba magodoro, likaanza kuwaka moto dereva milango imejilock anaomba msaada raia hawaelewi wanaendelea kuchukua magodoro.

Yule dereva alilia sana mpk mwisho akaamua kuwatupia vitambulisho vyake wawajulishe ndugu zake km yeye amekufa [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Kile kitu kiliniumiza mpk kesho nawachukia watu wa eneo lile, ni zaidi ya mashetani
Dah inasikitisha sana
 
Hiyo inaitwa fallacy of generalization.

It make no sense and it's no Brainerd kuwalaum wananchi kwa mambo ambayo yapo nje ya control yako.

Kama unaiba ni wewe, ila tunasema nchi inaongozwa kwa mujibu wa sheria, na ni vizur viongozi wakawajibika kwa wananchi katika kuhakikisha ustawi wa jamii nzima.
 
Back
Top Bottom