Hii nchi sio viongozi pekee ndio waovu, bali ni wananchi wengi ni waovu pia

Hii nchi sio viongozi pekee ndio waovu, bali ni wananchi wengi ni waovu pia

Kuna ajali ilitokea ya roli lilibeba magodoro, likaanza kuwaka moto dereva milango imejilock anaomba msaada raia hawaelewi wanaendelea kuchukua magodoro.

Yule dereva alilia sana mpk mwisho akaamua kuwatupia vitambulisho vyake wawajulishe ndugu zake km yeye amekufa [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Kile kitu kiliniumiza mpk kesho nawachukia watu wa eneo lile, ni zaidi ya mashetani
wagonjwa wanajifia sio kwa sbb madawa na vifaa hakuna... kuna wakati watoa huduma wanaamua tu kutotoa huduma...
 
Baba ukiwa kibaka, what do you expect to your sons and daughters?

Mtoto wa nyoka ni nyoka. Kwa kifupi Wananchi wamejifunza kutoka Kwa Wakubwa. Baada ya kashfa nyingi.

Kumbuka hili Taifa hapo mwanzo watu walilipa hadi Kodi ya kichwa.

Ndio maana tunamisemo mbuzi hula Kwa urefu wa kamba yake. Takrima, Hela ya brush, Hela ya chai, ya maji n.k
 
wagonjwa wanajifia sio kwa sbb madawa na vifaa hakuna... kuna wakati watoa huduma wanaamua tu kutotoa huduma...

Kaka acha inaumiza sijawahi kusahau lile tukio.
 
NAKAZIA,

Asilimia zaidi ya 80% wananchi bongo wana roho mbaya na utapeli Kwa ufupi uovu mwingi .
 
Sasa kulana busu hospital ni kosa?
Mambo mengine viongozi wanatafuta kiki tu.
Ila ukweli ni kwamba Watanzania ni matahira kama ilivyo kwa viongozi wao.
Sio waaminifu, kila siku tunawaza kupiga tu
 
Hawa viongozi hawa ni alama tu inayoonesha jinsi wananchi wote walivyo, kila mwananchi mahali alipo wengi wao akipewa nafasi lazima ajifanye ujanja kuiba...

Ndio maana mtu mchamungu akistaafu hali ya kuwa amepata tu kile alichostahili...wananchi wenzio hawatokusifia kwa wema wako, ila watakusimanga kwa uzembe SIO MJANJA.

KILA MTU ANAFANYA KILA MBINU AMPIGE BOSS WAKE...

KILA MWENYE NGUVU NA MWENYE UWEZO ANAFANYA KILA MBINU AMDHULUMU ALIYE DHAIFU.

Umbea ndio umekithiri...watu hawaharibiani maofisini tu...ukitaka kujua jamii hii imekaa kimbea mbea...KILA MTU AKIWA NA SMARTPHONE anamrekodi tu mwenzio bila kujua mwenzie anafanya nini...ila kwakuwa yeye ni MJINGA hajui analofanya mwenzie...anaona la ajabu anarekodi anapost...

Mfano yule nurse aliyekuwa akiosha vifaa vile...hakujua anaosha nini na kwa sababu nw utaratibu gani...kwa upumbavu wake...yeye anarekodi kumharibia mwenzie anapost atafute umaarufu...

Mwingine ni mtu yupo hospital na smart yake... INAJULIKANA HAIPASWI KUREKODI CHOCHOTE HOSPITAL...YEYE KWA UMBEA ANAREKODI MGONJWA NA MPENZI WAKE WANABUSUANA ANAPOST.

SASA WALE WALE WALIOBUSUANA WODINI NA YULE ALIRECORD HOSPITAL NANJ MWENYE KOSA KUBWA LA KUSHTAKIWA NA FIDIA JUU.

MIMI NINASHAURI MAMLAKA...IZUIE KWENDA NA SIMU KWENYE MAENEO YA HOSPITAL KWA NAMNA YOYOTE ILE ISIPOKUWA MANAGEMENT TU.

UMBEA NA UOVU UMEKITHIRI MIONGONI MWETU...VIONGOZI NI ALAMA TU WANAOWAKILISHA JINSI SISI TULIVYO... TUBADILIKE KWANZA SISI NDIO HATA VIONGOZI WETU WATAKUWA WEMA.
Umesahau...Masikini akiota makalio hulia...(malizia)
 
Kwa maisha haya ya kibongo, mtu unaishije bila kupiga? Chukulia mfano wa mlinzi ambae ameajiriwa na kampuni ya ulinzi, awe analipwa mshahara kwa mwezi sh 300,000. Hapo akatwe kodi, na nssf, itakayobaki, atumie kwenye
1. Kodi ya nyumba ya kuishi
2. Chakula cha familia
3. Mavazi ya familia nzima
4. Umeme
5. Maji
6. Matibabu/bima ya afya
7. Ada za shule za watoto
8. Sare za shule za watoto
9. Madaftari na mahitaji mengine ya watoto
10. Mchango wa ulinzi shirikishi
11. Michango ya sherehe na misiba
12. Ulabu
13. Michepuko
14. Malezi ya mtoto/watoto wa kusingiziwa
15. Kubeti
16. Garama za waganga wa kienyeji kwaajili ya kulinda ajira na kupandishwa vyeo.
17. Michango ya kwenye nyumba za ibada.

Na mengineyo mengi. Hapo bado nae anataka anunue kiwanja, ajenge nyumba ya kuishi, waachane na nyumba za kupanga.

Hayo yote afanye kwa mshahara wa sh 300,000? utatoshaje? inabidi apige tu! Hakuna jinsi.

Kwa kifupi, umaskini ndio chanzo cha matatizo yetu yote. Hata viongozi wetu ni umaskini tu unawasumbua, hakuna kingine.

Taifa maskini kama la kwetu, lazma upigaji uwepo sana.
 
MAKOSA MAKUBWA YALIFANYWA NA MZUNGU KUTUACHIA NCHI MAPEMA.

SISI UWEZO WA KUJITAWALA HATUNA.
MIFUMO MIBOVU YA
ELIMU.
KATIBA.
UZALENDO.
WIZI.
RUSHWA.
UJONGA.
UPUMBAVU NK.
 
Hawa viongozi hawa ni alama tu inayoonesha jinsi wananchi wote walivyo, kila mwananchi mahali alipo wengi wao akipewa nafasi lazima ajifanye ujanja kuiba...

Ndio maana mtu mchamungu akistaafu hali ya kuwa amepata tu kile alichostahili...wananchi wenzio hawatokusifia kwa wema wako, ila watakusimanga kwa uzembe SIO MJANJA.

KILA MTU ANAFANYA KILA MBINU AMPIGE BOSS WAKE...

KILA MWENYE NGUVU NA MWENYE UWEZO ANAFANYA KILA MBINU AMDHULUMU ALIYE DHAIFU.

Umbea ndio umekithiri...watu hawaharibiani maofisini tu...ukitaka kujua jamii hii imekaa kimbea mbea...KILA MTU AKIWA NA SMARTPHONE anamrekodi tu mwenzio bila kujua mwenzie anafanya nini...ila kwakuwa yeye ni MJINGA hajui analofanya mwenzie...anaona la ajabu anarekodi anapost...

Mfano yule nurse aliyekuwa akiosha vifaa vile...hakujua anaosha nini na kwa sababu nw utaratibu gani...kwa upumbavu wake...yeye anarekodi kumharibia mwenzie anapost atafute umaarufu...

Mwingine ni mtu yupo hospital na smart yake... INAJULIKANA HAIPASWI KUREKODI CHOCHOTE HOSPITAL...YEYE KWA UMBEA ANAREKODI MGONJWA NA MPENZI WAKE WANABUSUANA ANAPOST.

SASA WALE WALE WALIOBUSUANA WODINI NA YULE ALIRECORD HOSPITAL NANJ MWENYE KOSA KUBWA LA KUSHTAKIWA NA FIDIA JUU.

MIMI NINASHAURI MAMLAKA...IZUIE KWENDA NA SIMU KWENYE MAENEO YA HOSPITAL KWA NAMNA YOYOTE ILE ISIPOKUWA MANAGEMENT TU.

UMBEA NA UOVU UMEKITHIRI MIONGONI MWETU...VIONGOZI NI ALAMA TU WANAOWAKILISHA JINSI SISI TULIVYO... TUBADILIKE KWANZA SISI NDIO HATA VIONGOZI WETU WATAKUWA WEMA.
Ni maana ya kuwa kiongozi? Kuna sifa za uongozi. Hata kama jamii atokanayo kiongozi haina maadili, kiongozi ndio wa kusimama hadharani na kuwaonesha jamii ukosefu wa maadili na madhara yake. La sivyo hakuna haja wa hoja ya kuwa na kiongozi
WaTz tujitambue.

Vyombo vya upasuaji mwili vinaoshwa kwa mchanga na kuanikwa sakafuni, bado unaona mtu anataka umaarufu kwa kuwafungua watu macho?!!

Kama taifa tuna maeneo karibu yote ya kujirekebisha, lakini ni nani wa kuonesha njia ili tufanye mambo yetu kufuata Katiba, sheria, kanuni na taratibu za jambo husika. Viongozi ndio wanawajibu huo, na wasifuate ushauri wako, ati mpaka wananchi (jamii) ibadilike kwanza na wao ndio wawe weledi!!
 
Viongozi wanawajibu wa kuonesha jinsi ya kuishi maisha yenye staha, weledi na uaminifu.
Na sio siri, kinachoiua Tz, ni kukosekana kwa uongozi bora!
Uongozi Bora ni matokeo ya malezi bora toka kwa wazazi bora
 
Uongozi Bora ni matokeo ya malezi bora toka kwa wazazi bora
Si kila lifanywalo na wazazi ni la kufuata. Kila mtu ana akili na utashi wa kujua jema na baya. Tuwe na utambuzi tuliojaliwa.
Kuna sifa na maadili ya yeyote anayetaka kuwa kiongozi, yazingatiwe na kufuatwa.
 
Mabadiliko huanza na sisi wenyew kama hakutakua na aina yoyote ya ww kubadilika mwingine hawezi badilika tujifunze kujipenda na kuthamini vitu tulivyonavyo Kisha Hatua zingine ziendelee
 
Si kila lifanywalo na wazazi ni la kufuata. Kila mtu ana akili na utashi wa kujua jema na baya. Tuwe na utambuzi tuliojaliwa.
Kuna sifa na maadili ya yeyote anayetaka kuwa kiongozi, yazingatiwe na kufuatwa.
Shida kwenye kufuata lakini maadili ya uongo aweje yapo
 
Kuna ajali ilitokea ya roli lilibeba magodoro, likaanza kuwaka moto dereva milango imejilock anaomba msaada raia hawaelewi wanaendelea kuchukua magodoro.

Yule dereva alilia sana mpk mwisho akaamua kuwatupia vitambulisho vyake wawajulishe ndugu zake km yeye amekufa [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Kile kitu kiliniumiza mpk kesho nawachukia watu wa eneo lile, ni zaidi ya mashetani
ALAFU HAO BAADAE ANALALAMIKA UGUMU WA MAISHA ANAMLALAMIKIA MAMA SAMIA.

KWA HALI HIYO MVUA ITANYESHA KWELI..?
 
Kuna ajali ilitokea ya roli lilibeba magodoro, likaanza kuwaka moto dereva milango imejilock anaomba msaada raia hawaelewi wanaendelea kuchukua magodoro.

Yule dereva alilia sana mpk mwisho akaamua kuwatupia vitambulisho vyake wawajulishe ndugu zake km yeye amekufa [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Kile kitu kiliniumiza mpk kesho nawachukia watu wa eneo lile, ni zaidi ya mashetani
WATU WA ENEO GANI? TUSAIDIANE KUWACHUKIA...HUWEZI KUWACHUKIA PEKEE YAKO.
 
Back
Top Bottom