Uwezo upi wa kupiga kura? Kila mtu anatakiwa kupiga kura labda mgonjwa na kwa wenzetu kupiga usipopiga kura waweza kukosa baadhi ya huduma ni kama ilivyo NIDA na Kitambulisho cha kura TZKila mtu anahaki ya kutoa maoni na kila mtu ana haki ya kuchagua. Lakini siyo kila mtu ana uwezo wa kutoa maoni ya maana, hali kadhalika siyo kila mtu ana uwezo wa kupiga kura hasa zile za kuwapata viongozi wa kisiasa.
hiyo ndio inaitwa the quality of voters you have the quality of leaders you have.SHAMEKwakweli serikali ndo maana inabweteka haipati presha maana wananchi wengi ni vihiyo.
Hebu angalia maoni haya ya wananchi.ππππ
View attachment 3083599View attachment 3083600View attachment 3083601View attachment 3083602
Mwinyi kule hana pressure hata kidogoππHakuna excuse katika hili mkuu,hao watu wametawaliwa na ujinga sana angalau wakija huku wanabadilika. Watanganyika kun ujinga ila hao wamezidi.