Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahYaani unataka shida na dhiki tutembee nazo mpaka mitandaoni?
Eboo...!!
Kante mtoe hapo muweke Mamadou Sakho.Wengi humu wana sura kama ngolo kante na sagna niamini
Yes. Kuna ubaya gani kila mtu akiwa Kiduku Lilo humu ndani.Mkuu maisha yetu magumu mtaani, mnataka na jf tuishi maisha magumu tu? Wacha tuishi maisha ya ndoto zetu humu.
Usitufuatilie.
Kiki tu izo wengne hata hatupumuiHabari za sasa wana JF MMU.
Nikiri kuwa ukifatilia stori za hapa na pale zinazopostiwa humu JFs utagundua kuwa wanaume wa humu wengi wamejaaliwa, wananemeka, wanabahati, wana mazali ya kufa mtu. Kwanza wanaume wa humu wana sifa zifuatazo
1. Wote ni mahandsome
2. Wote wana pesa, magari, majumba mazuri na mageto ya maana.
3. Kila mwanaume humu ana demu/mke mkali, mzuri, mrembo, mwenye shepu nzuri, sura kama malaika.
4. Wanaume wa humu hawanyanyaswi wala kusumbuliwa na wanawake.
5. Wengi hawatongozi ila wanatongozwa kutokana na mvuto walio nao wa sura au
Pesa.
6. Wengi wameshatembea na wanawake kuanzia 10 hadi 300. Hii ni baraka, zali la mentali.
7. Hawahongi.
stori nyingi za humu hazifanani na uhalisia huku kwenye jamii tunakoishi. Mademu wapo lakini siyo kama inavyooneshwa na kurahisishwa humu. Kuna mtu atakwambia amevuta mademu wote wa halmashauri fulani au wa ofisi fulani utadhani yeye ni mwanaume peke yake na wanawake wanamwangalia yeye tu. Wanaume tuache maigizo ya kujimwambafy inatupunguzia heshima sio sifa. Uongo haumusaidii kitu. Tutoe mastori ya kupendeza na kufurahisha lakini yawe na uhalisia.
Hata aliyelala guest bububu pale Buguruni za elfu 10 basi akija humu anasema alilala na demu mkali hotel fulani maarufu hapa Dar.
Hahahaaaa leo nimewaumbuaaa!!! Kama mbwai iwe mbwai tu.
Acha uongo ma CCM hayajui mapenzi comment zao nyingi zinahubiri sodomanism mfano Elitwenge anaongeleaga kuolewa tuHakuna wasilolijua yote wanayajua wao kuanzia mapenzi, siasa na mambo yote ya maisha.
Duh!..Kwani wewe hujawahi kula papuchi kama 30-50 hivi??
Mada umeielewa lakini?Acha uongo ma CCM hayajui mapenzi comment zao nyingi zinahubiri sodomanism mfano Elitwenge anaongeleaga kuolewa tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa. Ndugu yangu umeamua kuua kabisa.Ni kweli maana hao mahendsome anao wazungumzia hapa ni wale kaka zake wanao kaa kwake aliko olewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani unataka shida na dhiki tutembee nazo mpaka mitandaoni?
Eboo...!!
Dunia ni sayari, itabebaje sayari nyingine.Wanaume wa Jf wanaishi kwenye sayari ambayo haipo duniani. Huku mtaani hawapo wa aina yao
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeelewa bwana, acha kunizingua😊Dunia ni sayari, itabebaje sayari nyingine.
Sijui nikupe nini zaidi ya gunia la chawa umeamua kutoa Boko la ukweli japo ita wauma lakini itabidi wazoeeHabari za sasa wana JF MMU.
Nikiri kuwa ukifatilia stori za hapa na pale zinazopostiwa humu JFs utagundua kuwa wanaume wa humu wengi wamejaaliwa, wananemeka, wanabahati, wana mazali ya kufa mtu. Kwanza wanaume wa humu wana sifa zifuatazo
1. Wote ni mahandsome
2. Wote wana pesa, magari, majumba mazuri na mageto ya maana.
3. Kila mwanaume humu ana demu/mke mkali, mzuri, mrembo, mwenye shepu nzuri, sura kama malaika.
4. Wanaume wa humu hawanyanyaswi wala kusumbuliwa na wanawake.
5. Wengi hawatongozi ila wanatongozwa kutokana na mvuto walio nao wa sura au
Pesa.
6. Wengi wameshatembea na wanawake kuanzia 10 hadi 300. Hii ni baraka, zali la mentali.
7. Hawahongi.
stori nyingi za humu hazifanani na uhalisia huku kwenye jamii tunakoishi. Mademu wapo lakini siyo kama inavyooneshwa na kurahisishwa humu. Kuna mtu atakwambia amevuta mademu wote wa halmashauri fulani au wa ofisi fulani utadhani yeye ni mwanaume peke yake na wanawake wanamwangalia yeye tu. Wanaume tuache maigizo ya kujimwambafy inatupunguzia heshima sio sifa. Uongo haumusaidii kitu. Tutoe mastori ya kupendeza na kufurahisha lakini yawe na uhalisia.
Hata aliyelala guest bububu pale Buguruni za elfu 10 basi akija humu anasema alilala na demu mkali hotel fulani maarufu hapa Dar.
Hahahaaaa leo nimewaumbuaaa!!! Kama mbwai iwe mbwai tu.
Hahaha usijaliKante mtoe hapo muweke Mamadou Sakho.
Hahaha Jiwe gizani mkuuSijui nikupe nini zaidi ya gunia la chawa umeamua kutoa Boko la ukweli japo ita wauma lakini itabidi wazoee
Natania tu ndugu wasije wakaja na povu lao la sabuni ya ungaHahahaaa. Ndugu yangu umeamua kuua kabisa.