Hii ndio aina ya wanaume wengi wa JF MMU, wanaune mko vizuri mno

Hii ndio aina ya wanaume wengi wa JF MMU, wanaune mko vizuri mno

mtoa mada ni chizi watu humu wanajielewa sana nishia kutana na members kadhaa humu wazinguaji lakini tulivyokutana live ni watu makini na nimefanya nao deals kadhaa kuhusu mandinga wote nilioonana nao they are pushin rides nakubali kuna wazugaji na wakweli na wengi ni wafanyakazi humu wa umma na sekta binafsi trust me
 
halafu mm mtu akiletaga mada za magari huwa namdharau gari siku ni moja ya mahitaji muhimu sio hoja kihivyo ofisini kwetu hadi office attendants wana push rides sasa nashangaa mnavyojadili kuhusu magari,mnatakiwa mjadili vitu vikubwa vyenye tija
 
Tulio wengi sisi sio vijana wadogo, tumetoka mbali, Angalia ID zote zenye miaka mingi ni watu wazima sisi.
Wengi ni watu wenye nafasi katika Jamii.
Lakini pia enzi zile computer zilikuwa maofisini kwa watu maalum,Watu walioweza kuwa na access na JF walikuwa watu wa aina fulani tu,Nakumbuka mahali nilipokuwa miaka ya 2000-2003 Computer zilikuwa 2 tu Wilaya nzima, ya ofisini kwangu Mimi na idara nyingine kulikuwa na Expert, naye huyo expert mara nyingi alikuwa anakuja ofcn kwangu kupata huduma ya Internet, ilikuwa ili huwezi kupata connection lazima uwe na line ya simu.
Case closed..mleta mada unalingine?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom