bullar
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 9,530
- 20,988
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie nimekuwa muwazi[emoji23][emoji23][emoji23]
ur so real dudeMie nimekuwa muwazi[emoji23][emoji23][emoji23]
No need to beat around the bush[emoji41][emoji41]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hauna coronaMie nimekuwa muwazi[emoji23][emoji23][emoji23]
No need to beat around the bush[emoji41][emoji41]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuhusu Corona, Sina Ondoa Shaka.!!
ukuje Tuji Isolate zetu..Yani tupigike mtaani na huku kwa mtandao tupigike piaa??? Haiwezekanii subiri niingie lake oil hapa nitarudiii[emoji23][emoji23][emoji23]
Hornet
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona Mimi sipo hivyo aseee? mie mtu wa kawaida tuu sana, hata sio handsome wala sina chochote.Habari za sasa wana JF MMU.
Nikiri kuwa ukifatilia stori za hapa na pale zinazopostiwa humu JFs utagundua kuwa wanaume wa humu wengi wamejaaliwa, wananemeka, wanabahati, wana mazali ya kufa mtu. Kwanza wanaume wa humu wana sifa zifuatazo
1. Wote ni mahandsome
2. Wote wana pesa, magari, majumba mazuri na mageto ya maana.
3. Kila mwanaume humu ana demu/mke mkali, mzuri, mrembo, mwenye shepu nzuri, sura kama malaika.
4. Wanaume wa humu hawanyanyaswi wala kusumbuliwa na wanawake.
5. Wengi hawatongozi ila wanatongozwa kutokana na mvuto walio nao wa sura au
Pesa.
6. Wengi wameshatembea na wanawake kuanzia 10 hadi 300. Hii ni baraka, zali la mentali.
7. Hawahongi.
stori nyingi za humu hazifanani na uhalisia huku kwenye jamii tunakoishi. Mademu wapo lakini siyo kama inavyooneshwa na kurahisishwa humu. Kuna mtu atakwambia amevuta mademu wote wa halmashauri fulani au wa ofisi fulani utadhani yeye ni mwanaume peke yake na wanawake wanamwangalia yeye tu. Wanaume tuache maigizo ya kujimwambafy inatupunguzia heshima sio sifa. Uongo haumusaidii kitu. Tutoe mastori ya kupendeza na kufurahisha lakini yawe na uhalisia.
Hata aliyelala guest bububu pale Buguruni za elfu 10 basi akija humu anasema alilala na demu mkali hotel fulani maarufu hapa Dar.
Hahahaaaa leo nimewaumbuaaa!!! Kama mbwai iwe mbwai tu.
😂😂😂 bora wewe Shem.Heri yangu mimi nimejipambanua kazi yangu na ujuzi wangu na makazi yangu
Jr[emoji769]
Nadhani ni Me japo sina hakika Mtani.Mtani naomba ufafanuzi, huyo aliyeandika ni mwanaume au mwanamke?
Daah!! Najaribu kuvaa viatu vya hao hohehahe na wasiojielewa hasa wakisoma hii comment. 🤔Asilimia kubwa niliokutana nao mm kwaajili ya story 2 tatu kwenye mikoa tofauti tofauti ni hohehahe....na hawajielewi....sifa nyiingi wakati hamna lolote na inaonekana wanatafuta kulelewa....... Kasoro m1 tu ndo alikua anajitambua na anajiweza.....na makusudi yote niliyofanya lakini bado alilipa Bill [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]na anajijua
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani Cheka tu...Ndivyo tulivyo hapa JF lakni ki-ukweli wengi wetu choka mbaya..Nimetaka kucheka Ila Nina maji mdomoni..
ngoja nimeze nitarudi...
Nadhani ni Me japo sina hakika Mtani.
Ulitaka kuandika nini Mtani?Okay, basi kama huna uhakika ngoja nibaki na nilichotaka kuandika
Wengi humu wana sura kama ngolo kante na sagna niamini
Ulitaka kuandika nini Mtani?
😀😀😀Mtani nilitaka kumtania tu kuhusu kufatilia mishe za wanauke wenzake siyo