Hii ndio aina ya wanaume wengi wa JF MMU, wanaune mko vizuri mno

Mbona wapo wengi tu wasiojimwambafy?. wapo hadi walionyimwa mke kwa kukosa gali, wapo waliokula tunda kimasihara toka kwa mademu wakali hadi wakajishangaa.
 
Mbona Mimi sipo hivyo aseee? mie mtu wa kawaida tuu sana, hata sio handsome wala sina chochote.
 
Daah!! Najaribu kuvaa viatu vya hao hohehahe na wasiojielewa hasa wakisoma hii comment. πŸ€”
 
Wengi humu wana sura kama ngolo kante na sagna niamini

Yan KANTE HANA MWANAMKE, ila BAKARY ana chuma moja matata sana inaitwa Ludivine Sagna, Kwa research yangu nlofanya wanawake wengi wanapenda vijamaa vihendsam kuuza navyo sura ila linapokuja swala la kufanya maisha they go to the ugly ones manake hao ndio the real bread winners, na wanahustle kweli kweli


HIYO NDIO CHOMBO YA BAKARY SAGNA [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…