Mkuu hii corona itatusaidia kujua hivyo vituo vya afya na zahanati vimejengwa nchi gani.mpaka sasa corona imeshatusaidia kujua kuwa serikali haina pesa,Yale tuliyokuwa tunaambiwa kwamba pesa ipo yalikuwa yanatokana tu na kiburi cha uzimaLack of sense? Yaani kisa amedhibiti wala rushwa na wabadhirifu? Kisa anajenga Sgr,Daraja la wami na busisi? Kisa amenunua ndege kwa hela cash Dremliner na midege ya Airbus. Kajenga hospital ,vituo vya afya na zahanati lukuki. Mlitaka raisi gani? Au ndio upungufu wa akili!
Naunga hojaZiko sababu lukuki za kuonesha namna awamu hii ilivyofeli
1. Ikumbukwe walipoingia madarakani walituaminisha masuala ya wafanyakazi hewa na wanafunzi hewa wakatuambia na kiasi walichookoa na wakaendelea kutuaminisha awamu zilizopita zilikusanya kidogo embu tuone kuna ukweli.
(A) Awamu iliyopita hawakuchukua vyanzo vyama halmashauri, kwa wa machinga pia hawakuchukua sekta binafsi ndio ilikuwa injini sasa awamu hiii imechukua vyanzo vyote vya halimashauri lakini inaongoza kwa kukopa tena nje ya utaratibu Leo tycoon akitaka hata ajengewe sanamu yake pale chamwino DODOMA hahitaji baraka za bunge
(B) Mahakama kuwa karibu na serikali hasa kwenye kesi zinazokiuka haki rejea kesi ya Godbless Lema kesi ya viongozi wa chadema ama kesi iliyosomwa jana ya Mike Mushi na Melo nyuma ya hizi hukumu kuna mkono shinikizi kupitia mfumo
2. Hii ndio awamu inayooongoza kwa vitendo vya kikandamizaji tena hawajali rejea mauaji ya Kibiti ama kupotea kwa watu mbalimbali yu wapi msaadizi wa Freeman Mbowe ndugu Ben Rabiu Saanane wapi alipo Simoni Kanguye wapi alipo Azori Gwanda haya yote yanaonesha jinsi awamu hii ilivyoshindwa kulinda ustawi wa jamii
3. Kushambuliwa kiongozi wa upinzani mh Tundu Athipas Lissu katikati ya vipindi vya bunge na kuvuliwa ubunge kinyume cha sheria na pia kukosa hata kumnyima stahiki yake ya matibabu
Yote kwa yote hiii ndio awamu imeshindwa kuajiri kwa miaka zaidi ya minne imeshindwa kupunguza tatizo la ajira imepelekea vijana wengi kushiriki betting kwa kikukosa ajira
Mwisho huu ni mwaka wa uchaguzi ni lazima umma tukarejeshe utu uwajibikaji wa umma na demokrasia ishamiri tena kupitia sanduku la kura hiii ndo fimbo ya mnyonge ya kutetea utu wetu
#stayhome
#tunatakatumehuru
[emoji111]️
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa Pascal Mayalla haonekani lakini anasifia uzalendo ,kwenye mijadala ya CAG hayupo ila anasema ccm chama Bora.
Itakuwa kejeli Kama anamaanisha atakuwa anatafuta uteuzitechnically, Lakini Pascal Mayalla anakuambia huyu ndio Rais bora Afrika! Hivi atakuwa anamaanisha asemacho au anamkejeli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa wa kulaumiwa ni wazee wa dsm wakiongozwa na Mzee Ganze walikabidhi nchi kwa shetani badala ya MUNGUsasa shangaa poliice,tume na watanzania wengine wanavyompigania aongeze miaka 5,yaani sometime unashindwa elewa Kama hao watu ni binadamu au wanyama
Ndio maana wanaitwa nyumbu....( najua wamesahau)...
Ukandamizaji ni asiri ya mwanadamu inawezekana hata wewe wapo ndugu zako unaowakandamiza kwenye familia yenu. Yawezekana una miaka kadhaa hata wazazi wako huendi kuwasalimia, itazame kasoro yako. Nimeona barabarani mwenye Lori anamdharua wa kosta, na wa kosta anamdharau wa bajaji, wa bajaji anamdharau wa pikipiki wa pikipiki anamdharau mwenda kwa miguu.
Mtawalaum sana Ila tatizo si wao,tatizo ni wewe na Mimi,tulio wengi tunadhani Mambo ya nchi hii hayatuhusu so tumeachia kikundi cha watu wasio zidi 1000 na wafuasi wao Kama milioni 9 na ndo waamue kila kitu kinachomhusu watanzania wote milioni 55,Hapa wa kulaumiwa ni wazee wa dsm wakiongozwa na Mzee Ganze walikabidhi nchi kwa shetani badala ya MUNGU
Sent using Jamii Forums mobile app
Ubora wake nikwenye kukwapua Mali ya ummaHapa Pascal Mayalla haonekani lakini anasifia uzalendo ,kwenye mijadala ya CAG hayupo ila anasema ccm chama Bora.
Huwa anamkejeli tu. Naye amegundua kuwa ni kejelitechnically, Lakini Pascal Mayalla anakuambia huyu ndio Rais bora Afrika! Hivi atakuwa anamaanisha asemacho au anamkejeli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio awamu pekee ambayo 1.5 trillion inaibiwa alafu poa tu hakuna maelezo Yani poa tuHii ni awamu ambayo wapigaji wamefeli sana, wamebaki kutapatapa na kueneza chuki za Kijinga.
Chadema mlimtukana sana Mzee Wa msoga na mpaka mkampa jina Vasco Da Gamma, Na mlisema ndio Rais ovyo kabisa,ushaidi kibao humu, Leo hii mmesahau? Ukiomba upewe unachotaka kubali.
MUNGU amejibu maombi yenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo la mwisho la kuajiri; kazi ya serikali ni kuweka mazingira wezeshi ili sekta binafsi ndio iendeshe uchumi hiyo kutoa ajira na kulipa kodi stahiki. Hivyo cha kuajiri ni kuangalia ajira za zimeongezeka katika sekta binafsi badala ya kuangalia tuu ajira serikalini.
Mara TBA, TEMESA, TANESCO.Serikali inabambikia wafanyabiashara kesi Leo watu wameondoa mitaji Yao imeshindwa kuiwezesha sekta binafsi Leo tenda utasikia jkt mara magereza hizo ajira zitakuja je kwenye sekta binafsi
Sent using Jamii Forums mobile app