Uchaguzi 2020 Hii ndio awamu iliyofeli kuliko awamu zote zilizopita


Kosa kubwa ililofanya awamu hii ni kuacha majukumu ya msingi iliyochaguliwa nayo ya kushughulika na Shida za watz na kujitwika lisilohusika la kupambana na Mbowe,utadhani Mbowe ndio Shida za watz
 
Bado unaendelea kulamba miguu na makalio 2015 exchange rate ilikuwa kati ya 1650 mpaka 1700tzsh nenda kaulizie exchange rate leo au Ingia Google update jibu mpumbavu wewe usifananishe jamii forum na vijiwe vya kahawa ,mwanaharamu kabisa
Historical Rates for the USD/TZS currency conversion on 15 June 2015 (15/06/2015).
On the 15th June 2015 the spot inter-bank market saw:
Open: 1 USD = 2205.13 TZS

Close: 1 USD = 2208.47 TZS

Average: 1 USD = 2207.15 TZS

Lowest: 1 USD = 2206.4 TZS

Highest: 1 USD = 2207.9 TZS

Today's Live U.S. Dollar into Tanzanian Shilling Exchange Rate
Spot: 1 USD = 2,313.5000 TZS

Independent Provider: 1 USD = 2,297.3055

Avge. UK Bank International Payment: 1 USD = 2,222.8108 TZS

Find out More About Variable Rates >>
 
Hata akitelemsha jua kama anaonea wachache ni kasoro kubwa, ni bora asiyefanya ila watu wakawa na huhakika na kesho yake,na uhuru, kuheshimiwa kuto onewa, watu udai uhuru ili tu wapate kujiamulia mambo yao kwa haki, sasa kama tumepata uhuru alafutu tunapigania haki ya kujiamulia mambo kwa haki hii si sawa
 
Wazee walisema malipo ni hapahapa Duniani, tutahumia kwa kipindi lakini things willget better with time.
 
Biashara zinakufa kwakutumia sera za majukwaani huwezi kupanga namna ya kukuza biashara kwa sera za majukwaani na zile ambazo zinatumia sera mpya kwa sheria za zamani 'you can not plan a business growth with policy uncertanity '
 
Biashara zinakufa kwakutumia sera za majukwaani huwezi kupanga namna ya kukuza biashara kwa sera za majukwaani na zile ambazo zinatumia sera mpya kwa sheria za zamani 'you can not plan a business growth with policy uncertanity '
Halafu wafanya biashara wakubwa aidha wanauliwa kama akina Ally Mufuruki na Salum Shamte, au wanasumbuliwa na kunyang'anywa mali zao kama Mohamed Dewji na Yusuf Manji. Uchumi inakuwaje hapo?
 
Halafu wafanya biashara wakubwa aidha wanauliwa kama akina Ally Mufuruki na Salum Shamte, au wanasumbuliwa na kunyang'anywa mali zao kama Mohamed Dewji na Yusuf Manji. Uchumi inakuwaje hapo?
Hapo ni tatizo kubwa sana ambalo linahitaji mjadala wa kitaifa kama huwa unakuwepo swali fikirishi nani atamfunga paka kengere?
 
Vitu vidogo sana hivyo vinaweza Fanywa ma meya, vyote hivyo hakuna alilofanikisha kwa100%
 
Serikali hii ni bora ukifananisha na zilizopita lakini ukiweka vigezo vya serikali bora ni IPI basi jibu ni bado tunamadhaifu mengi
Taasisi zetu ni dhaifu
Bunge duni
Mahakama sio Hutu
Katiba tumeshindwa
Time ya uchaguzi isiyohuru
Elimu isiyobora
Kilimo chakubangaiza
Ufugaji na uvuvi wakizembe
Biashara zisizoenda kimataifa
Utawala usiozingatia utu
Mishahara isiyojali gharama zamaisha
Umoja na amani isiyoendelezwa nk.
Tumefanikiwa sana kwenye eneo limfurahishalo zaidi mkulu ambalo ni UJENZI UJENZI UJENZI kama lowassa alivyosema vipaumbele vyake ni ELIMU ELIMU ELIMU!!
 
Hata shetani ana wafuasi
 
Miaka mitano ? Hebu ona aibu mtu kazi imeshamshinda.
 
Biashara zinakufa kwakutumia sera za majukwaani huwezi kupanga namna ya kukuza biashara kwa sera za majukwaani na zile ambazo zinatumia sera mpya kwa sheria za zamani 'you can not plan a business growth with policy uncertanity '
That's rubbish..how many businesses have grown up during this period..plenty..how many new businesses have been erected..plenty..there's nothing like policy uncertainity. Many business owners have been avoiding Taxes, and thiss why they could not manage to be sustainable..we know the tricky behind and you know too..so stop this rubbish propaganda...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…