Mazindu Msambule
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 7,510
- 6,877
Ngoja nifanye flesh back; Butimba walikua wana A Level ya EGM?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu pure ina vichwa vyake si kila mtu anaweza kuzipiga hizo numberHivi nape anaweza Pure Mathematics kweli!
Communist: mswalie Mtume. Baba yake Nape ni Mzee Moses Nnauye, a public servant alirkuwa snahamishwa kwa exigencies za kazi yake. This fellow is a scholar, a learned person.Nsumba is the topnotch school of the Lakr Zone - any one who is anybody must have gone through Nsumba. Great man!Anaomba kazi? Hii CV ya nini? Hizi diploma za mwaka mmoja mmoja Duhhhh.
Cv yake ni sawa na ya Agnes Marwa ni ya usomaji wa kijanja janja tu,safi nape kumbe ni msomi mzuri tu.
Tena chekechea kabsaSaizi ya huyu jamaaa ilikuwa ni ualimu wa shule ya msingi.
Nape ni mtoto wa kufikia kwa Huyo Nnauye lakini baba olijino Yaani baba wa DNA ni mwandosya tu si zaidi. inasemekana mwandosya alikuwa alijipenyeza anga hizo pindi mzee Nnauye akiwa safarini.Communist: mswalie Mtume. Baba yake Nape ni Mzee Moses Nnauye, a public servant alirkuwa snahamishwa kwa exigencies za kazi yake. This fellow is a scholar, a learned person.Nsumba is the topnotch school of the Lakr Zone - any one who is anybody must have gone through Nsumba. Great man!
CV ya Jesca Magumasters miez 8?
Cha msingi Ni uwezo wake jukwaani
Hivi yoyo kapotelea wapi?Butimba Alevel?