Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

Saizi ya huyu jamaaa ilikuwa ni ualimu wa shule ya msingi.
 
Tupe ufafanuzi katika hili:
1994-1995- Ngudu sekondari (private school)
1995-1997-Nsumba sekondari school (government school)
Sasa, kwa mfumo wa elimu tanzania hauruhusu mwanafunzi kutoka private school kuingia government school!
 
Anaomba kazi? Hii CV ya nini? Hizi diploma za mwaka mmoja mmoja Duhhhh.
Communist: mswalie Mtume. Baba yake Nape ni Mzee Moses Nnauye, a public servant alirkuwa snahamishwa kwa exigencies za kazi yake. This fellow is a scholar, a learned person.Nsumba is the topnotch school of the Lakr Zone - any one who is anybody must have gone through Nsumba. Great man!
 
Communist: mswalie Mtume. Baba yake Nape ni Mzee Moses Nnauye, a public servant alirkuwa snahamishwa kwa exigencies za kazi yake. This fellow is a scholar, a learned person.Nsumba is the topnotch school of the Lakr Zone - any one who is anybody must have gone through Nsumba. Great man!
Nape ni mtoto wa kufikia kwa Huyo Nnauye lakini baba olijino Yaani baba wa DNA ni mwandosya tu si zaidi. inasemekana mwandosya alikuwa alijipenyeza anga hizo pindi mzee Nnauye akiwa safarini.
 
Ki Ukweli CV ya Nape ni ya ujanja ujanja haina tofauti na CV ya Agnes Marwa rafiki yake Yaani hata Jesca atampita zaidi, hizo cv wanazodanganywa na Le Mutuz kubwa jinga waziweke hapa jukwaani zitawatia Aibu maana zikichunguzwa kwa undani zimejaa magumashi mengi kama cv zake Le Mutuz aliyesomea marekani vijijini na kuiba cv akaja nazo Dar.
 
Vijana wanaosoma kijanja kijanja hata maisha yao yanakuwa kisanii sanii tu , cha ajabu baadhi yao nawaona wanapata madaraka makubwa .
 
Nyote mnaokataa mnachekesha. Nenda vyuo vya ualimu mjue wanafundisha vipi. Huwa unafundishwa masomo utakayokwenda kufundisha shuleni hivyo kubenea yupo sawa kabsa.
 
Back
Top Bottom