Hii ndio faida ya kuwagawa mashabiki kwa itikadi, pole sana Zuchu

Kwann zuchu na WCB peke Yao wakat Kuna maua sama,nandy,alikiba, harmonize na wengine wengi. Kuna ki2 kipo tofauti na hizi itikadi za vyama.
 
Ndio ilivyo kwani hawajaona wasanii wengine tofauti na WCB?
 
Tatizo dogo katugawa alaf ukichek watu wamepigika bas wanakua na hasira na kila mtu wa ccm..ila kiukweli mziki anajua kuimba
 
Hawezi shinda

Usiwadharau watz wa mtandaoni wa nguvu Sana kwenye hii sekta Yao

Bila watz wa mtandao Mondi angekuwa anakula unga saivi Tandale .

So huyo zuchu atatamba hapa hapa mavumbini .
 
Hizi siasa zimepelekea baadhi ya wanaume kuwa kama wanawake. Hili suala la wasanii ndio limekuja kipindi hiki halafu hao hao wanaolalamikia wasanii wana njaa wakati hata nyimbo zao wanapakua bure tu.
 
Kumbe nilikuwa na argue na 'pimbi' tu ambaye amejaa 'mahaba' na upuuzi wa wasanii uchwara'.
Take a[emoji1617]for a while until u get rid off ure blurr conscious
Mimi ni Ccm ndio lakini sikakubali hako kademu

Lakini siioni hii harakati yenu ikifanikiwa maana ni harakati ya kishenzi
 
Hawezi shinda

Usiwadharau watz wa mtandaoni wa nguvu Sana kwenye hii sekta Yao

Bila watz wa mtandao Mondi angekuwa anakula unga saivi Tandale .

So huyo zuchu atatamba hapa hapa mavumbini .
Huko Twitter kuna Link imewekwa ya Tuzo za AFRIMA jamaa wana vote wasanii wa nchi yoyote ile hata ambao hawajawahi kiwasikia ili tu wasimpigie Diamond/Zuchu na wanaweka screenshot za walicho vote.

Noma sana
 
Huko Twitter kuna Link imewekwa ya Tuzo za AFRIMA jamaa wana vote wasanii wa nchi yoyote ile hata ambao hawajawahi kiwasikia ili tu wasimpigie Diamond/Zuchu na wanaweka screenshot za walicho vote.

Noma sana
Hahahahahahahahah Na bado
 
Hawezi shinda

Usiwadharau watz wa mtandaoni wa nguvu Sana kwenye hii sekta Yao

Bila watz wa mtandao Mondi angekuwa anakula unga saivi Tandale .

So huyo zuchu atatamba hapa hapa mavumbini .
Kwaiyo watz wa mtandaon ndio voters wa grammy sio? ,[emoji16]

Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
 
Hivi ni msanii gani wa Tanzania aliepata tunzo akiwa ni mwanachama wa Chadema?
 
Me nashangaa mtu na akili zako unamchukia Msanii kisa ka perfome kwenye kampeni za CCM.
Above yote, yule pia ni mtu na ana haki ya kuwa mfuasi wa chama chochote anachokitaka kama wewe ulivyo chagua chama chako.
Upande wa Mziki unabaki vile vile, hizo ni Chuki na wivu tuu..
 
Kwani na watu pia siwameamua kutompigia kura kwa mapenzi yao wenyewe?

Sasa shida ni nini hapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…