owenyavitali
Member
- Oct 6, 2020
- 9
- 11
Ni mawazo yako lkn.Trust me hao ni fan wa upande wa pili...mim siwez mchukia lets say Kiba kisa ccm...kuna maisha ni personal atajua yeye mwenyew msanii...
Na wasanii sio kama wanpenda...Ukileta kiburi jamaa wanakula sahani moja naww kuptia basata na tcra...Mda msanii anafungiwa Shabiki upo zako geto umelala...tusifanye kama hatuijui hii bongo yetu...
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Sio tunawachukia kisa wapo CCM hapana kisa wapo hawatetei wanyongeTrust me hao ni fan wa upande wa pili...mim siwez mchukia lets say Kiba kisa ccm...kuna maisha ni personal atajua yeye mwenyew msanii...
Na wasanii sio kama wanpenda...Ukileta kiburi jamaa wanakula sahani moja naww kuptia basata na tcra...Mda msanii anafungiwa Shabiki upo zako geto umelala...tusifanye kama hatuijui hii bongo yetu...
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Siwezi kumpigia kura msanii anatubeza na hali ngumu ya mtaani tunayopitia. Akapigiwe na Polepole.Me nashangaa mtu na akili zako unamchukia Msanii kisa ka perfome kwenye kampeni za CCM.
Above yote, yule pia ni mtu na ana haki ya kuwa mfuasi wa chama chochote anachokitaka kama wewe ulivyo chagua chama chako.
Upande wa Mziki unabaki vile vile, hizo ni Chuki na wivu tuu..
mawazo mgando au bangi za saa saba mchanaHivi team kiba watashangia hii awards ? Team konde je? Usijifanye mtoto mdogo bro...kama kwel mnahasira basi kiba na harmonize pia mkawawashie moto..si wanawania afrima na pia ni ccm..why zuchu? Na huyu mtoto anawapa watu hasira sana hasa team pinzani..video yake ilivyo tolewa youtube mlikuja kufungua mpaka uzi
Hii awards atashinda yule mtoto na huu uzi utabaki kama fedhea kwenu..kama ipo ipo tu mkuu....aliekwambia ccm inatolewa kwa kumbania zuchu grammy nan? Kua nominated tu ni ushindi tosha...
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Yatie maji basi yayeyuke[emoji3]mawazo mgando au bangi za saa saba mchana
Zinapigwa na nani?Msichoelewa ni kwamba hizo kura hazipigwi na wananchi mnajichosha bure
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
kapewa na ccm siyo watanzaniaVijana acheni wivu. Aliyepewa kapewa tu.
Naona Mayor Jacob anaendelea kuchombeza mdogo mdogo.View attachment 1597641
Polepole ameshasema hakuna msanii analipwa wote tunaowaona wamejitolea au unapingana nae?Yaani wasanii wakatae deals kwa sababu kuna watu watachukia? Mtawalisha?
Mbona 2015 queens wa bongo movie wote walikuwa upande wa Lowasa na hatukuacha kufuatilia kazi zao?
Kina polepole si wana simu? Mbona kutusmbua sisi ambao alisema hatuwezi?Hatuwezi. Mengine ya nini?
Kwahiyo na wewe amekwambia nani na nani anataka wampigie kasema watanzania..au sisi ni wakongo?Kwani kakulazimisha umpigie kura au yeye kaomba kwa wanaotaka kumpigia kura?
Ameombwa Yeye? Hana manango atatafuta tu kiki. Kwa stress zake. Naona huo muda wa maana alionao kama atashindaNaona Mayor Jacob anaendelea kuchombeza mdogo mdogo.View attachment 1597641