Hii ndio hali ya Nando (Mshiriki wa BBA) baada ya kuathirika na matumizi ya madawa ya kulevya

Mungu wangu! huyu kijana ameisha kiasi hicho lini?
Nakumbuka ni mwaka huu alifanya kipindi na zamaradi mketema clouds tv, alikuwa anaonekana yuko poa!
Ila alikiri anatumia kidogo sasa labda kimoja kilijidoble siku za karibuni
Jana ilikuwa tarehe 1/1/2017 wewe unasema alifanya kipindi na zamaradi mwaka huu kwahiyo unamaanisha alifanya kipindi jana tarehe moja au leo tarehe mbili?
 
Hii kitu Ni balaa itabidi nijaribu maana yaonyesha utamu wake Ni noooooomaaqq
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji1] [emoji122] [emoji122] [emoji122]

Safi sana mkuu....
Njoo uonje raha ya ngada...

ila usitumie unga mchafu,
Tumia unga safi wa shillingi millioni 25 robo kilo.
Au kilo moja millioni 40.

Uta enjoy sana mkuu....

[emoji382] [emoji381] [emoji381]
[emoji39] [emoji39]
 
Mjanja huwa atumii unga utumiwa na washamba
 
Jinsi ya kuaribu Taifa bila vita. Madawa.
Rehabilitation, hospitalization, medication sio kwa ajili ya Teja tuu, kuna Teja wa Kisiasa pia ambao wanaolewa madaraka na kusahau "Ubinaadamu" ambao wanatakiwa Political Rehabilitation and constant counseling.... Ndio maana tupo JF
 
Wanayapata wapi? Hao barons wa unga mbona hawashikwi?
Mhhh kwa hapa serikali iangalie hili tatizo kwa jicho la tatu kwani baada ya miaka kumi kutakuwa na kizazi cha walemavu wa akili wengi mitaani maana mimba zikitungwa na mtu yupogo dozi sijui huyo mtoto atakaezaliwa atakuwaje!
 
Inaweza kuteua na kutengua. Ngoja nimwombee muheshimiwa
 
Duh! Jamaa alikuwa na strong fan-base wakati anashiriki BBA. Hata kama asingeshinda, nina uhakika angekuwa endorsed na kampuni kadhaa kufanya makubwa, ila ushamba ulimponza. Kaigiza uhuni, kaishia kutolewa, wenye hekima zao wakaona si busara tena kujihusisha naye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…