Hii ndio historia ya familia ya Sykes

Hii ndio historia ya familia ya Sykes

Afro...

Then what ni hayo hapo chini:

Sijui ni kitu gani khasa kinakukera lakini umuhimu kwa historia hii ni kuwa baada ya mimi kuandika kitabu hiki: ''The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924 - 1968) The Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism,'' Minerva Press, London 1998 mabingwa wa historia ya Africa John Iliffe, Jonathon Glassman na James Brennan walifanya pitio la kitabu na mapitio yao yalichapwa katika Cambridge Journal of African History.

Gazeti la The East African walifanya serialisation tatu la kitabu mwezi December 1998.

Oxford University Press Nairobi wakanitia katika mradi wa kuandika vitabu vya historia na wanafunzi kujifunza lugha ya Kiingereza kupitia vitabu hivyo.

Oxford wakachapa kitabu changu , ''The Torch on Kilimanjaro,'' (2007).

Harvard na Oxford University Press wakanitia katika mradi wa kuandika Dictionary of African Biography (DAB) wakanipa kazi ya kuandika historia ya Kleist Sykes.

Nikaalikwa kuzungumza University of Iowa, Iowa City na Northwestern University, Evanston Chicago.

Hawa wazungu walikuwa wanakuita ili wakutumie vizuri kupotosha historia ya ukombozi wa Tanganyika. Maana ulishaonekana upo tayari kutumiwa. Wakawa wanakupa maelekezo nini cha kuandika
 
Hawa wazungu walikuwa wanakuita ili wakutumie vizuri kupotosha historia ya ukombozi wa Tanganyika. Maana ulishaonekana upo tayari kutumiwa. Wakawa wanakupa maelekezo nini cha kuandika
Hapotoshi ila anatuelezea ambayo hatukufundishwa, mfano Nyerere alitaka tumsahau au tumkumbuke vibaya Bibi Titi lakini imeshindikana
 
Hii kwamba Nyerere alipokelewa na Abdul Sykes na akaikuta TANU, hapa umeamua kutumia kalamu yako vibaya kupindisha ukweli sababu ya chuki zako binafsi dhidi ya Nyerere. Unajipa kazi ngumu ambayo huwezi kubadili ukweli.
Sabuni...
Hapana huo ndiyo ukweli wa historia ya TANU.

Waasisi wa African Association 1929: Cecil Matola (President), Kleist Sykes (Secretary), Ibrahim Hamisi, Mzee bin Sudi, Zibe Kidasi, Ali Said Mpima, Suleiman Majisu, Raikes Kusi na Rawson Watts.

TAA Political Subcommittee 1950: Dr. Vedasto Kyaruzi (President), Abdul Sykes (Secretary), Hamza Mwapachu, Mufti Sheikh Hassan bin Ameir, Sheikh Said Chaurembo, Steven Mhando na John Rupia.

TAA 1953: JK Nyerere (President), (Vice President) Abdul Sykes, Joseph Kasella Bantu (General Secretary) Committee Members: Alexander M. Tobias, Waziri Dossa Aziz, Dr Michael Lugazia, Hamisi Diwani, Tewa Said Tewa, Denis Phombeah, Z. James, Dome Okochi, C. Ongalo na Patrick Aoko.

Haya yote yamo katika Nyaraka za Sykes na nimesoma nyaraka zote na kuandika kitabu ambacho hajatokea mtu kukipinga toka kilipochapwa mwaka wa 1998.

Si mimi niliyebadili ukweli wa historia.
Mimi nimekuja kuandika historia ya kweli.


1686949117584.png

Mzee bin Sudi alifariki 1972
1686949244930.jpeg

1686949346940.png

Dome Okochi Budohi
1686949431696.png

Denis Phombeah
1686949534546.jpeg

Ally Sykes na Julius Nyerere​
 
Wanaogopa kutumia jina la ukoo Mbuwane wataonekana sio wazawa, ila itoshe tu kusema kwamba tuwatambue kama waswahili, ambao ni mchanganyiko wa makabila na mataifa mbalimbali
Mzawa ni mtu wa aina gani? Aliyezaliwa Tanganyika kabla ya uhuru kwa wazazi wahamiaji sio mzawa?
 
Sidhani kama ilikuwa inawezekana Wajerumani kuchukua askari kutoka koloni la Wareno Msumbiji au babu yako mmanyema kutoka koloni la wabelgiji kuja kuwasaidia kupigana Tanganyika , wakati kwenye hayo makoloni napo kulikuwa na vurugu. Kuna changa la macho unatupiga hapa.
Sabuni...
Siwezi kufanya hivyo.

Search Google Hermann von Wissmann utaona hayo yote yameelezwa katika maisha yake.
 
Hii familia, licha ya kuwa wanastahili sana kutambuliwa kwenye historia ya nchi hii, lakini I don't see any thing noble in them kama ambavyo wanahistoria kama Mohamed Said wanataka kutuaminisha. Ukifuatilia historia yao, walikuwa ni Opportunists sana, na pengine haya malalamiko ya kutengwa anayoyadai MS, ni kama Karma.

Mzee Sykes miaka ya 1800-1900 mwenyewe alikuwa ni Mamluki wa Kijerumani, ameshiriki vita za kijerumani zilizoua watanganyika na kusimika utawala wa kijerumani. Tena amepigana dhidi ya hao wanaodaiwa kuwa ni waislam—kina Bushiri. Miaka

Kleist Sykes miaka ya 1914-1918, kama baba, yake amewapigania pia Wakoloni wa Kijerumani wakati wa vita ya kwanza ya dunia.

Watoto wa Kleist, yaani Abdul na Ally wamempigania mkoloni muingereza 1940s huko Burma.

Huyo Ally Sykes, alipotoka kumpigani Muingereza, akarudi direct Kenya kuendeleza kumfanyia kazi mkoloni ya kudhulmu ardhi wakenya kupitia kampuni ya Peter Colmore.

Kwa kweli hawa watu, kabla ya kudai kuwa Nyerere aliwatupa, waanze kwanza kuomba radhi Watanganyika na wakenya kwa kusimika ukoloni na kudhulumu ardhi.
 
Hii familia, licha ya kuwa wanastahili sana kutambuliwa kwenye historia ya nchi hii, lakini I don't see any thing noble in them kama ambavyo wanahistoria kama Mohamed Said wanataka kutuaminisha. Ukifuatilia historia yao, walikuwa ni Opportunists sana, na pengine haya malalamiko ya kutengwa anayoyadai MS, ni kama Karma.

Mzee Sykes miaka ya 1800-1900 mwenyewe alikuwa ni Mamluki wa Kijerumani, ameshiriki vita za kijerumani zilizoua watanganyika na kusimika utawala wa kijerumani. Tena amepigana dhidi ya hao wanaodaiwa kuwa ni waislam—kina Bushiri. Miaka

Kleist Sykes miaka ya 1914-1918, kama baba, yake amewapigania pia Wakoloni wa Kijerumani wakati wa vita ya kwanza ya dunia.

Watoto wa Kleist, yaani Abdul na Ally wamempigania mkoloni muingereza 1940s huko Burma.

Huyo Ally Sykes, alipotoka kumpigani Muingereza, akarudi direct Kenya kuendeleza kumfanyia kazi mkoloni ya kudhulmu ardhi wakenya kupitia kampuni ya Peter Colmore.

Kwa kweli hawa watu, kabla ya kudai kuwa Nyerere aliwatupa, waanze kwanza kuomba radhi Watanganyika na wakenya kwa kusimika ukoloni na kudhulumu ardhi.
Life...
Hayo yote uliyosema ni kweli na nimeyaeleza katika kitabu cha Abdul Sykes.

Affande Plantan na Wazulu wenzake chini ya Hermann von Wissman walikuwapo Bagamoyo na walishiriki kuvamia kambi ya Bushiri bin Salim.

Abushiri alizidiwa nguvu na kukimbia na baadhi ya askari wake.

Haukuchukua muda mrefu Bushiri akakamatwa na kunyongwa

Kleist alikuwa Aide de Camp wa Hermann von Wissman na akizungumza Kijerumani vizuri kabisa.

Yeye na ndugu yake Schneider Abdillah Plantan wamepigana WW I dhidi ya Muingereza chini ya von Lettow Vorbeck, Mkuu wa majeshi ya Kijerumani Deutsch Osta Africa.

Hizi ndizo changamoto za ukoloni.
Lakini watoto wa Kleist ndiyo waliokuja kuitia nguvu African Association iliyoundwa na baba yao na wakaasisi TANU na kupigania uhuru wa Tanganyika.

Hatuwezi kuibadili historia hii na una haki ya kuitazana historia hii upendavyo.
 
Life...
Hayo yote uliyosema ni kweli na nimeyaeleza katika kitabu cha Abdul Sykes.

Affande Plantan na Wazulu wenzake chini ya Hermann von Wissman walikuwapo Bagamoyo na walishiriki kuvamia kambi ya Bushiri bin Salim.

Abushiri alizidiwa nguvu na kukimbia na baadhi ya askari wake.

Haukuchukua muda mrefu Bushiri akakamatwa na kunyongwa

Kleist alikuwa Aide de Camp wa Hermann von Wissman na akizungumza Kijerumani vizuri kabisa.

Yeye na ndugu yake Schneider Abdillah Plantan wamepigana WW I dhidi ya Muingereza chini ya von Lettow Vorbeck, Mkuu wa majeshi ya Kijerumani Deutsch Osta Africa.

Hizi ndizo changamoto za ukoloni.
Lakini watoto wa Kleist ndiyo waliokuja kuitia nguvu African Association iliyoundwa na baba yao na wakaasisi TANU na kupigania uhuru wa Tanganyika.

Hatuwezi kuibadili historia hii na una haki ya kuitazana historia hii upendavyo.
Kuna siku nilikuwa ninazungumza na mzee mmoja pale Tabora (yuko 90s kwa sasa). Nilimuuliza swali kuwa ni kweli kuwa Wakristo hawakushiriki harakati za kupigania uhuru. Alinijibu kuwa;
'walishiriki ila kwa siri, kwa kuhofia kupoteza kazi zao serikalini'.

Kuna mahali nilisoma umeeleza kuwa Kleist aliombwa kuandika Barua kwa serikali ya Mkoloni juu ya kufungwa kwa Shule ya Jumuiya ya Waislam Tanganyika. Kleist aligoma kwa kuhofia kupoteza ajira yake serikalini na malipo ya kustaafu.

Ukirejea mantiki ya maamuzi ya Kleist, je, hoja ya wakristo kutoshiriki harakati za uhuru huoni kuwa ni kuwaonea tu?
 
Afro...
Mimi ndiye nilyeieleza historia ya ukoo wa Sykes kwa kuandika kitabu cha maisha yao Tanganyika kwa kutumia nyaraka zao zinazokwenda nyuma kuanzia miaka ya mwanzoni karne ya ishirini.

Hizi nyaraka zipo na wamenimefungulia nikazisoma zote.

Hizi ni nyaraka za Kleist Sykes Mbuwane alizotumia kuandika kitabu cha maisha yake.

Kwa simulizi alizopokea kwa wazee wake ambao ndiyo mamluki wenyewe walioingia Tanganyika wakiongozana na Hermann von Wissmann historia ya ukoo wao inaanza na Chaka alipoanza vita kutokea Kwa Bulawayo mwaka 1828 akiteka majirani zake.

Katika kukimbia vita hivi Ukoo wa Sykes wakahamia Kwa Likunyi, Imhambane ambayo sasa ni Mozambique.

Hapo ndipo walipochukuliwa na Wissmann kuja kuwasaidia Wajerumani kuituliza Germany Ostafrika.

Wazulu waliwashinda Bushiri bin Salim Al Harith na rafiki yake Mtwa Abdallah Mkwawa.

Yapo mengi vipi ukoo huu ukaja kuwa mashuhuri hata wakaasisi African Association 1929, Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tanganyika) 1933 na TANU 1954.

Sasa hakika historia hii ilikuwa haijulikani na zilifanyika juhudi kubwa kuwafuta katika historia ya kuasisi African Association na TANU na harakati za kupigania uhuru wa Tanganyika.
Nini hasa kilisababisha watu waamue kuwafuta kutoka kwenye historia ya harakati za uhuru?
 
Kuna siku nilikuwa ninazungumza na mzee mmoja pale Tabora (yuko 90s kwa sasa). Nilimuuliza swali kuwa ni kweli kuwa Wakristo hawakushiriki harakati za kupigania uhuru. Alinijibu kuwa;
'walishiriki ila kwa siri, kwa kuhofia kupoteza kazi zao serikalini'.

Kuna mahali nilisoma umeeleza kuwa Kleist aliombwa kuandika Barua kwa serikali ya Mkoloni juu ya kufungwa kwa Shule ya Jumuiya ya Waislam Tanganyika. Kleist aligoma kwa kuhofia kupoteza ajira yake serikalini na malipo ya kustaafu.

Ukirejea mantiki ya maamuzi ya Kleist, je, hoja ya wakristo kutoshiriki harakati za uhuru huoni kuwa ni kuwaonea tu?
Life...
Changamoto za ukoloni hizo zote.
 
Kumbe Nyerere kaikuta TANU!

Naona Marais wote wa TAA na TANU walikuwa wakristo.
Nadhani tatizo kubwa ni namna ambayo Mohamed Said ameamua kuitazama Historia hii. Kuna wakristo wengi sana wameshiriki kupigania uhuru mf Rupia, Pombeah, Vedasto Kyaruzi, Mutahangaya, Fiah, Kasela bantu, Kirilo wa Moshi n.k, sambamba na waislam hao kina Sykes. Halafu, hawa wapigania uhuru wa kiislam wala hata hawakuwa na habari za Uislam, na hakuna mahala ambapo walileta hoja za Uislam, ndio maana walitaka Mfano Chief Kidaha awe Rais wa TAA na baadae Nyerere—kwa sababu waliangalia kuwa ni wasomi na wako serikalini na ingeleta ushawishi mkubwa kwa UNO—a very logical and nationalistic view.

Bahati mbay case ya Mohamed Said anaipresent katika lens ya udini. Hata kitabu chake, kwa kweli asingeweka hoja za kidini, kile kitabu kingekubalika sana kwenye jamii ya Tanzania, maana wengi wanakubali kuwa historia halisi imefichwa.
 
Vipi tukitazama kuwa ni Kujenga Umoja wa Kitaifa?.

Hebu Tazama, Historia hii yote umeiweka kuwa ni 'Waislam ndio wamepigania Uhuru wa nchi hii'. Vipi mtazamo huu wa Historia ndio ungekuwa unafundishwa mashuleni, Je, unadhani Umoja wa Kitaifa ungekuwa namna ulivyo leo?
Life...
Unadhani kuwa na historia ya kweli kutavunja udugu?
 
Life...
Unadhani kuwa na historia ya kweli kutavunja udugu?
Tatizo sio historia ya kweli, tatizo ni namna gani historia hiyo inawasilishwa. Historia ikimilikiwa na kundi fulani la kijamii ni hatari kwa nchi zetu hizi ambazo bado mitazamo ya kidini, itikadi bado inatawala jamii zetu. At times, nawaelewa kwanini Nyerere aliamua historia hii iwe 'kabatini'.
 
Back
Top Bottom