Sio tatizo la timu ni mchezaji personal mpaka kocha anam-point yeye kama tatizo sio jambo dogoNdugu hili lilikua tatizo la timu nzima. Kipinxi kile ilikua Yanga isipopata matokeo kipindi cha kwanza ilikua mtihani kutoboa kipindi cha pili. Kama ni mfuatiliaji nadhani utakumbuka vizuri.
Sasa kwenye takwimu si ndio nakupoteza kabisa huko.Hakuna mchezaji ambae yeye yupo vizuri wakati wote halafu unapolinganisha wachezaji tumia takwimu siyo mahaba. Mwisho Pacome na Aziz K hawafai hata kulinganishwa na Chama sababu ndo wanaanza safari ya mafanikio ndani ya hii nchi, labda wajifunze kwake na kuboresha zaidi ili wavuke takwimu alizotengeneza.
Nimekupa references za mechi zaidi ya moja tena ambazo zinafuatanaHii inatokea mara nyingi tu kwa wachezaji wengi hata Chama. Niambie Chama alikuaje kabla hajasimamishwa na sasa hivi? Inatokea siku moja moja game kumkataa mchezaji na sio kila siku
Shida yenu kubwa mnahisi tunamdharau Chama. Elewa hilo kwanzaPacome ameanza kucheza mpira akiwa Yanga? Wekeni hata takwimu zake huko alikotoka.
Weka hata na za Aziz tuone. Kama hawajawahi kushiriki CL huko walikotoka tujulishwe pia.
Kamuulize Hersi kuhusu chama, maana nyie ndiye mnaweza kumsikiliza na mkakubali[emoji23][emoji23][emoji23]
Naomba hizo interview ambazo coach alisema hayo maneno direct kwa Aziz Ki.Nimekupa references za mechi zaidi ya moja tena ambazo zinafuatana
Hata tukisema tutumie vigezo vya namba bado Azizi Ki hawezi kumfikia Chama hata robo.
Kwa rekodi tu ni kuwa Azizi Ki ameisaidia timu kwenye mechi moja tu ya maamuzi kule Club Africain.
Moja tu.
Nitajie mechi nyingine ambayo Azizi Ki aliwahi kuiweka mechi mabegani na kuamua matokeo.
Au GSM kabisa 😂😂😂Injinia
Toa data Chama anayo magoli zaidi ya 17 CAF Champions League haya toa data za wachezaji wako!!!Mimi huwa sipendi mambo za comparison lakini kwakua mpira unachezwa na kila mtu anaona lazima watu wafanye comparison tu. Hakuna siku kuna mtu alisema Chama ni mbovu ni mchezaji mzuri wala msikasirike kufanyiwa comparison lakini tukija kwenye uhalisia kwa sasa Chama kwa Pacome na Aziz Ki bado sana ndugu. Chama hapati namba kwa hao watu ukubali ukatae. Hao jamaa viwango vyao havina mashaka wala havichagui games tofauti na Chama.
Leta takwimu za CAF na Ligi kwa misimu yote waliopo hapa nchini.Sasa kwenye takwimu si ndio nakupoteza kabisa huko.
Wewe timu yako kuingia hatua kama hii tangu mwaka 1998 ingekua zinaingia timu ndogo na ww si ungekuepo hatua ha makundi??Katika hayo magoli, taja idadi ya magoli aliyofunga akicheza na timu kubwa au akicheza away. Chama anawika akicheza na timu ndogo na pia akiwa kwa Mkapa ila huwezi kukuta akitamba kwa timu kubwa au nje ya uwanja wa Mkapa hata siku moja na huu ndio ukweli
Hizo interviews kuzipata sio rahisi kulingana na heading zilivyowekwa hazi match na maongezi aliyosema.Naomba hizo interview ambazo coach alisema hayo maneno direct kwa Aziz Ki.
Aziz Ki keshasimama game nyingi sana labda kwakua sio shabiki wa hizi Yanga labda kwa uchache match na Azam, Simba zaidi ya mara 2, match nyingi za ligi anagonga double double peke yake
Akizimia nistue nimlandike kibao aamke.Chama ni GOAT hawezi kushindanishwa na upcoming player
Kwenye viunga vya CAF Champion league Chama ni icon ambayo inaishi miaka mingi.
Pacome ni upcoming lazima tumuweke kwenye mzani na Chasambi ambaye ni upcoming mwenzake.
Aziz ana magoli 10 kwenye NBCToa data Chama anayo magoli zaidi ya 17 CAF Champions League haya toa data za wachezaji wako!!!
Leta wewe si ndio umesemaLeta takwimu za CAF na Ligi kwa misimu yote waliopo hapa nchini.
Aliyesema Chama amfikii Azizi ni wewe. Nilichosema mm ni uzungumze kwa takwimu sio mahaba.Leta wewe si ndio umesema
Sasa wewe ndio unanipinga inabidi uje vielelezo vyako. Hadi hiyo muelezweAliyesema Chama amfikii Azizi ni wewe. Nilichosema mm ni uzungumze kwa takwimu sio mahaba.
Ok boss, tusipoteze muda, kwa ufupi Huna takwimu boss, una mahaba na Yanga. Kuna uzi humu wameweka takwimu zao.Sasa wewe ndio unanipinga inabidi uje vielelezo vyako. Hadi hiyo muelezwe