Mimi nawe tupo kundi moja mkuuWatz wengine akili zao za madafu, mimi siwezi kumsifia mtu asiyekuwa na nidham kama makonda, aliyethybutu kumpuga mzee Warioba hadharani kwa maslahi ya chama...wengine ambao sitakaa niwaheshimu ni nape na mwigulu,,hawa wako tayari kuua,kudhalilisha wengine kwa maslahi yao na chama
Hahaha!!!Atarudi kwao nachingwea kulima ufuta
Huwa simpendi huyo kiumbeUmemjibu vizuri, jitu na akili linamshabikia Makonda, for what good has he done and even if so, under what situation! Muogope mtu anayejikomba ili apate cheo. Aliyoyafanya kwa Warioba yanatosha to disqualify him in every aspect!
Mimi ningwshauri Kama Rais amelazimika sana Kumpa Kitu huyu Kunguni, Basi ampe Ukuu wa Mkoa wa Dodoma, Akimpa Dar, Navyomjua Huko Mitaani Watu wasiomjua Magufuri wakimwona Makonda watadhani Ndiye Rais. Mtu Ukuu wa Mkoa tu anazunguka na Mpolisi Kila Mahali Akiwa Mkuu wa Mkoa wa Dar si Ndio atazunguka na Majeshi ya Anga, Wanamaji, FFU Zimamoto na Bila Kusahau Mgambo. Si Mnajua Anavyojifanya! eh Kweli Tulivyokuwa shule ya Msingi tulikuwa tunasema, anavyojitia-tiaAt finally, baada ya kufanya kazi usiku na mchana za maendeleo alizokua akizipiga Mh DC licha ya watu kumkejeli mara muuza sura, mara anajipendekeza , mara mtovu wa nidhamu lakini kwa hayo yote mwisho ameweza kuonekana kwa utendaji kazi wake na kumgusa, kumdatisha au ama si kumkuna mzee wa #HapaKaziTu...
Je unaweza kupredict ni kazi gani inayofata inayomfiti na anayoweza kupewa kwa kuongezewa cheo Mkuu wa wilaya ya kindondoni baada ya hii ya uDC baada ya Mh JPM kuridhika na utendaji wake kazi na kumhakikishia kuwa yeye sio Jipu na anaendana na kasi yake na kustahili kula shavu lingine sehemu yoyote..
1. Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam (RC) au moja ya mikoa mingine
2. Mkurungenzi Mtendaji wa moja ya Taasisi za serikali (Director General/CEO/Managing Director/...)
3. Mwenyekiti wa Bodi katika moja ya Taasisi ya Serikali (Board Chairman...)
4. Balozi (Ambasador/ High Commissioner....)
5. Waziri au Naibu waziri...(Minister/Deputy Minister..)
6....
Namuomba mungu nisikutane naye viwanjaMimi ningwshauri Kama Rais amelazimika sana Kumpa Kitu huyu Kunguni, Basi ampe Ukuu wa Mkoa wa Dodoma, Akimpa Dar, Navyomjua Huko Mitaani Watu wasiomjua Magufuri wakimwona Makonda watadhani Ndiye Rais. Mtu Ukuu wa Mkoa tu anazunguka na Mpolisi Kila Mahali Akiwa Mkuu wa Mkoa wa Dar si Ndio atazunguka na Majeshi ya Anga, Wanamaji, FFU Zimamoto na Bila Kusahau Mgambo. Si Mnajua Anavyojifanya! eh Kweli Tulivyokuwa shule ya Msingi tulikuwa tunasema, anavyojitia-tia
Si kila kitu kinaweza kufanywa kwa CV za mwonekano vingine vinahitaji taalum. Tunaomba taaluma ya mteule huyu wa rais kama mnayo.CV yake ipi?
Haya anayoyafanya Dar ndio CV yake ya kisiasa!
Au unataka kuona achievements za darasani ndio u judge uwezo wake wa kisiasa?
Nadhani hiyo issue ya academic haina maana sana kwa sasa!
Mkuu wa mkoa wa arusha au kilimanjaro
Asahau hilo.Mkuu wa mkoa wa arusha au kilimanjaro
Utafunga buti hadi kihamaWatoto wa mafisadi wivu tu makonda anapasua tu,mtaisoma wenyewe mwaka huu.
Kama wewe unavyo mtukuza bwana wako,Lowassa anaweza kufanya upuuzi wowote kuhusu cdm na wako wakamshangilia na kusema rais wa mioyo yao.
Daaa huko ndio umeenda kumpeleka kwenye kazi ya kutega mbawala na ndeziAtakuwa mkuu wa shule,Nanjilinji Secondary school
Tatizo la CCM ni kujisikia sana.kwahiyo unamkataa boss wako kubenea sio???? atakufukuza kwenye ofisi za ufipa
Nashukuru kama nawe unawchukia wasio na nidham na kutokujali utu wa wengineMimi nawe tupo kundi moja mkuu
Mbona hamuombi CV ya Mbowe au Kubenea?Si kila kitu kinaweza kufanywa kwa CV za mwonekano vingine vinahitaji taalum. Tunaomba taaluma ya mteule huyu wa rais kama mnayo.
Mzuri kwa kumpiga warioba. Watanzania wepesi wa kusahau.Ingawaje Rais Magufuli ameonesha hadharani kuwa ameridhishwa na utendaji wa DC wa Kinondoni Makonda hakutamka kuwa Makonda atakuwa Mkuu wa Mkoa katika hao atakaowateua bali alisema kuwa ""alijihakikishia nafasi katika serkali yake na hata angepandishwa cheo watu wasijewakaona ajabu".
Tamko la Rais halikusema kwa uhakika [ definetive] kuwa atakuwa mkuu wa mkoa !! Rais kumpamdisha Makonda kuwa mkuu wa mkoa upesi upesi namna hiyo hata bado hajapata uzoefu wa kuongoza wilaya sio kumpendelea bali ni kumpa adhabu kwani ukuu wa mkoa ni kazi inayohitaji ukomavu na utulivu ambao huyu kijana hana na hivyo atapata taabu sana katika kazi yake. Kama ameonesha potential ya kuwa kiongozi mzuri Magufuli amuache kwanza akomae kidogo ili apate uzoefu na hapo baadae akipanda hata yeye mwenyewe atafurahia kazi yake, kwani tumeona wakuu wa mikoa wengi ambao walizawadiwa hizo nafasi wakipata taabu kuongoza mikoa yao ukifananisha na wale wenye experience!! Ni ushauri tu msijekuanza kusema ni wivu la hasha.
Huko katoka juzi alienda kuwatembelea SangomaAtarudi kwao nachingwea kulima ufuta
Huenda akapewa Ubunge na kuwa naibu Waziri wa mambo ya ndani ili aweze kutumika kuwakomoa wapinzani kama wafanyavyo Uganda.Kwasababu ni kazi za kupeana tu ampe cheo chochote hata ukatibu mkuu kiongozi