Hii ndio list ya wasanii wa bongo flavour wanaojua kujieleza kwenye interview zao

Hii ndio list ya wasanii wa bongo flavour wanaojua kujieleza kwenye interview zao

Kwa Fid hapana. Kuna interview moja Youtube alikuwa busy na smartphone yake tu. Na nikiona msanii anachagua interview, nyingine anakuwa serious na nyingine anapotezea. Msanii kama huyo namtia kwenye trash bin.
Dogo Janja namkubali sana kwenye interview. Huwa anajiachia miamia. Ni kama yuko kijiweni na chawa anapiga story tu. Anafunguka na hana tension kabisa. Aliulizwa ni nini anakimis baada ya kuoa. Dogo akasema anamisi sana kupiga chabo. Hahahahahaaaa!!!
 
HABARI MASIKU WAUNGWANA
kama kichwa kinavyojieleza hapo juu hii ndiyo list ya wasanii wanaojua kujieleza kwenye interview zao kiasi hata ukisikia anahojiwa lazima utamani kusikiliza hyo interview
1:FID Q
2[emoji815] PLATNUMZ
3:YOUNG KILLER MSODOKI
4:NIKI MBISHI
5:NAY WA MITEGO
6:NIKI WA PILI
7:NASH MC(japo anajikuta mjuaji sana
8:ALI KIBA
9😛ROFESA JAY
10:CHIDI BENZ (japo weng mtakataa ila huyu jamaa ana0ngeaga vya maana sana ukitulia na kumsikiliza vizuri)
kamsikilize Ali kiba vzur halafu uje uedit Uzi wako
 
Mhhhh hivi kuna msanii ambaye hawezi kujieleza kwenye Interview? Ebu tupe mfano mmoja wapo maana mie nawaona wasanii wote vichwa vimewaka maneno kama yote wakipewa mic.

kinachoniboa wasanii karibu wote wakihojiwa kila mmoja nasema yeye ndiye mkali hakuna zaidi yake.....hata kama ni chipukizi kabisa hajulikani....kaazi kwelikweli
 
HABARI MASIKU WAUNGWANA
kama kichwa kinavyojieleza hapo juu hii ndiyo list ya wasanii wanaojua kujieleza kwenye interview zao kiasi hata ukisikia anahojiwa lazima utamani kusikiliza hyo interview
1:FID Q
2[emoji815] PLATNUMZ
3:YOUNG KILLER MSODOKI
4:NIKI MBISHI
5:NAY WA MITEGO
6:NIKI WA PILI
7:NASH MC(japo anajikuta mjuaji sana
8:ALI KIBA
9😛ROFESA JAY
10:CHIDI BENZ (japo weng mtakataa ila huyu jamaa ana0ngeaga vya maana sana ukitulia na kumsikiliza vizuri)
Jipe muda kasikilize interview yoyote ya WAKAZI halafu urudi tena hapa
 
Mtoa mada ambacho alitakiwa kusema wasanii ambao wanajua kueleza vitu vya msingi na maana kwenye interview zao na ambao ukisikia au ukiona wana interview uchoshwi kuwasikiliza na unatamani waendelee....

Ni ukweli usiopingika wasanii wengi wa muziki wa kufoka wanao uwezo mkubwa wa kuongea vizuri na vya maana hata kujibu maswali vizuri sana.
Kwangu mimi hadi sasa wasanii ambao wana hivyo vigezo na ambao uwezi kinai interview zao ni

Fid q, Mwana FA na Wakazi hawa ndio wasanii ukiwasikiliza unatoka na kitu kwa upande wangu...

Halafu ni kweli kila msanii anajua kujieleza maana hata pumba nazo ni kujieleza pia....lakini ukweli ni kwamba kuna wasanii wachache sana wana mvuto kuwasikiliza..
Daah upo vizuri sana mkuu, WAKAZI ni hatari
 
Back
Top Bottom