witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
"Its personal, its personal, its personal eyooo Ali K hapa"Nikiona interview ni Kiba huwa nabadilisha station, kila anachoulizwa hajibu mara it’s personal huwa najiuliza sasa kaenda kufanya nini si akae nyumbani tu awapishe wengine.
Diamond platinumz na rommy jons hawa sichoki kuwasikiliza