Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Habari ndio kama mlivyosikia .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa wr Bung'o huoni wamecheza mara 11 wakati wenzao mara 15?
Inasikitisha sana
Mbona amecheza game chache?
Malizia kacheza michezo mingapi?
Bora ya hao wamekula 3, Nyie mliokula MKONO (5G) Mpo daraja la ngapi?
Weka na msimamo wa ligi tuone wakati Simba anakula 5-0 alikua nafasi ya ngapi ili tulinganishe vizuri?![emoji848]
Umemziba mdomo kiherehere wa mboye.Wewe endelea na mambo yako ya kumsifia Mbowe, hayo ndiyo unayoyaweza zaidi.
Kabla ya kuandika huu utopolo wako ungefanya research kidogo tu kujua huyo ndio bingwa mtetezi ingekusaidia.
Kuna bingwa mtetezi kibonde?
Erythrocyte huwa ni mpuuzi tuWewe endelea na mambo yako ya kumsifia Mbowe, hayo ndiyo unayoyaweza zaidi.
Kabla ya kuandika huu utopolo wako ungefanya research kidogo tu kujua huyo ndio bingwa mtetezi ingekusaidia.
Kuna bingwa mtetezi kibonde?
Acha pumba wewe; hao wamecheza mechi 11 tu na wana point 16. Kwa michezo yao minne iliyobaki kufikisha michezo 15 ya timu nyingine wakipata point 12 watafikisha point 28 na kuwa juu ya chati.
Mambo ya mpira na mbowe wapi na wapi?
Mna mshambulia bure tu jamaa, lengo lake ni kuonesha Medeama ni level ya akina Tabora United na si timu unayopaswa kujisifu ukiifunga.Acha pumba wewe; hao wamecheza mechi 11 tu na wana point 16. Kwa michezo yao minne iliyobaki kufikisha michezo 15 ya timu nyingine wakipata point 12 watafikisha point 28 na kuwa juu ya chati.
Kuna mtu kapiga bomu mochwari halafu anashangilia na kujisifu eti kaja[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mpaka sasa ndiye Bingwa wa Ghana. Amefungwa ngapi kwa sasa inategemea sana na wengine wamefungwaje piaMna mshambulia bure tu jamaa, lengo lake ni kuonesha Medeama ni level ya akina Tabora United na si timu unayopaswa kujisifu ukiifunga.
Acheze mechi 11 au 15, tunaangalia uwezo wake kwa michezo hiyo hiyo 11 aliyocheza.
Kafungwa mechi 5, kshinda mechi 5, kasuluhu mechi 1.
Unaujua mpira, hiyo inamaanisha nini kisoka?
Nimeacha kuangalia mpira 2014, ngoja niulize, Leicester alikuwa bingwa, msimu uliofuata alifanya vizuri?Kuna bingwa mtetezi kibonde?