Unaposema kibonde unamaanisha Nini? Medeama kapigwa tatu, Simba alikula tano. Basi kumbe ligi yetu dhaifu, kama wewe nafasi ya pili ulichezea za kutosha tu. Halafu hiyo timu imecheza mechi chache, ila kwa sababu ni mbumbumbu huwezi kuona hilo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaposema kibonde unamaanisha Nini? Medeama kapigwa tatu, Simba alikula tano. Basi kumbe ligi yetu dhaifu, kama wewe nafasi ya pili ulichezea za kutosha tu. Halafu hiyo timu imecheza mechi chache, ila kwa sababu ni mbumbumbu huwezi kuona hilo.
Mpaka mimi nimeona aibu aiseee.Hii ndio mara ya kwanza nakutana na kada wa Chadema Mbumbumbu.
5-1Kwani yanga sc ni bingwa wa nini?
Maelezo yako yanajielezaNaomba nioneshe niliposema ni Madeama ni kibonde tafadhali
Kila timu hua ni ngumu kabla ya kukutana na Yanga ikicheza na Yanga inageuka kua dhaifuSi mlikuwa mnasema hii ndio klabu bingwa hakuna timu dhaifu?
Timu dhaifu zote zipo shirikisho
Bora umemfungua macho huyu chura.
Jamaa ana mechi 4 hajacheza na akishinda zote ataongoza
Hawezi shinda zote kwa mwenendo wake wa mechi 11 pointi 16 hapo akijitahidi atashinda mbili ....na kuwa na pointi 22 nafasi ya 8Acha pumba wewe; hao wamecheza mechi 11 tu na wana point 16. Kwa michezo yao minne iliyobaki kufikisha michezo 15 ya timu nyingine wakipata point 12 watafikisha point 28 na kuwa juu ya chati.
Huyo jamaa si siasa si mpira yeye anapuyanga tuSasa wr Bung'o huoni wamecheza mara 11 wakati wenzao mara 15?
Acha uchawi
Jiko la mishkaki halisongewi ugaliHuyo jamaa si siasa si mpira yeye anapuyanga tu
HahahahahaJiko la mishkaki halisongewi ugali
Labda useme hivyo kwamba kuwapo kwa viporo vingi ni hatari kwa afya ya timu huko mbeleni lakini msimamo huo wa sasa hausemi lolote kuhusu ubora wake kwenye ligi.Viporo vinachacha jamani
Sasa wewe unapata faida gani kuandika hivyo?