Hii ndio picha bora ya wiki nchini Tanzania, imepigwa Kigoma

Taarifa
Asante kwa taarifa.

Ila ninatamani sana kama chadema kingekuwa na kitengo imara cha habari kutuhabarisha na kutupa nondo za hiyo mikutano.
Molemo where r u?

Kitengo cha Habari Maelezo ya chama changu Chadema kina mapungufu makubwa sana.

Hakina organization inaonekana kina man power kidogo sana.

Yaani Bila Erythrocyte hatuwezi kupata dondoo za mikutano na habari zingine??

Au we Erythrocytr ndio una monopolize hii kazi Takatifu?
 
Mbowe aweke wazi matumizi ya hiyo operation uchwara!! Mbona kipindi cha Jiwe aliufyata??
 
Jiwe alikuwa ametuharibia saana nchi yetu. Wanasiasa wa upinzani na vyombo vya Usalama walikuwa kama chui na paka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…