Tetesi: Hii ndio sababu halisi iliyowafanya Clouds Media Group waahirishe tamasha la Tigo Fiesta

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mkuu huna lolote usingekuwa unaandika upupu hapa... we mbweha tu hujui hili wala lile... Aliyeelimika hawezi kuwa kama ww..
Kwa hiyo ndio umeandika mashudu kingereza chenyewe hujui eti "are you sane", dogo hizi avatar zisikudanganye, najua nilicho kiandika huwezi kukielewa kama hujui Calculus, sababu kichwa chako chepesi.
 
Mpaka SAA nane (8) mchana Leo tarehe 24-11-2018 nimeenda kukata ticket yangu inasoma ni MTU wa 1469 katika kituo kimoja cha Mtwara municipal bus stand cjui kwingine huko
Kwa hesabu za haraka hapo ni mil 15 kasoro.. lkn ujue Diamond yy huhitaji mil 164 kwa show moja..
 
Kwa hiyo ndio umeandika mashudu kingereza chenyewe hujui eti "are you sane", dogo hizi avatar zisikudanganye, najua nilicho kiandika huwezi kukielewa kama hujui Calculus, sababu kichwa chako chepesi.
Ushapaniki ww boya... ss kuhusu kiingereza hapo hakuna kosa lolote... usikariri dogo..
Are you sane??? Yaan uko na akili timamu?? Sio vile unavyotaka kuwekwa hivyo ndivyo huwekwa..
 
Ushapaniki ww boya... ss kuhusu kiingereza hapo hakuna kosa lolote... usikariri dogo..
Are you sane??? Yaan uko na akili timamu?? Sio vile unavyotaka kuwekwa hivyo ndivyo huwekwa..
Duu futa comment, ili ufiche upumbavu wako. Huna unachokijua eti" are you sane "πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€, Mimi Sane, alafu bado unang'anana kutetea upuuzi wako.
 
Wekaga nukta.
 
Duu futa comment, ili ufiche upumbavu wako. Huna unachokijua eti" are you sane "[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3], Mimi Sane, alafu bado unang'anana kutetea upuuzi wako.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ushaelewa eeeh?? Maana ushajibu tayari sema acha kukariri ww.. mtu akisema are you okay...?? Hutomwelewa sio??
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ushaelewa eeeh?? Maana ushajibu tayari sema acha kukariri ww.. mtu akisema are you okay...?? Hutomwelewa sio??
Alafu unajiita msomi, mpuuzi we hiyo inatakiwa iwe insane, na sio sane kafute comment yako ufiche upumbavu wako. 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
 
Hivi kweli tamasha tanzania hii bila diamond,harmonize,rayvanny,nandy,alikiba na navykenzo?Eti juma nature,TID jamani huu ulikua ni ukosefu wa plan nzuri.
 
yangu macho na masikio ila usilolijua ni sawa na usiku wa giza ipo siku ukweli utajulikana tuombe uzima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…