Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikulu ya bongo au mamtoni?Na wafanyakazi wa tcc wana maisha mazuri kuliko wafanyakazi wa Ikulu, ukiondoa wapiga dili. Maana mpaka Ikulu wapiga dili wamejaa
Ya MagogoniIkulu ya bongo au mamtoni?
On average mvuta sigara wa kawaida anavuta sio chini ya sigara 6 kwa siku. Ambazo kwa hesabu ya embassy ni 1500. So unahitaji wavutaji kumi per hizo bia 10. Wavutaji n wengi kuliko wanywaji. Na ujue kbsa mlevi sio kila siku atakunywa lakn kwenye fegi mvutaji yuko radhi atembee kwa mguu lakn asikose hela ya chiga.Ila bia inaingiza mapato makubwa serikalini kuliko sigara. Per company.
Bia 10 ni 15,000tsh.
Ni ngumu kuvuta sigara za tsh15000
Kwa siku moja.
Mnywaji sio lazima anywe kila siku ila siku akinywa anasawazisha magoli tote halafu anafunga ya ushindi kibaoOn average mvuta sigara wa kawaida anavuta sio chini ya sigara 6 kwa siku. Ambazo kwa hesabu ya embassy ni 1500. So unahitaji wavutaji kumi per hizo bia 10. Wavutaji n wengi kuliko wanywaji. Na ujue kbsa mlevi sio kila siku atakunywa lakn kwenye fegi mvutaji yuko radhi atembee kwa mguu lakn asikose hela ya chiga.
Umeangalia production cost yake na hat gharama za Usafiri?Ila bia inaingiza mapato makubwa serikalini kuliko sigara. Per company.
Bia 10 ni 15,000tsh.
Ni ngumu kuvuta sigara za tsh15000
Kwa siku moja.
My nigga, im talking from experience, gharama anazotumia mvutaji kwa mwaka, znamzidi mlevi mbali sanaaaa..Mnywaji sio lazima anywe kila siku ila siku akinywa anasawazisha magoli tote halafu anafunga ya ushindi kibao
Nimezingatia fedha zinazomtoka mvutaji au mnywa bia.Umeangalia production cost yake na hat gharama za Usafiri?
Haujazingatia idadi ya watumiaji wa bidhaa husika,anyway.Nimezingatia fedha zinazomtoka mvutaji au mnywa bia.
Mvutaji aliyekubuhu na mlevi aliyekubuhu. Maana mvutaji unachukua aliyekubuhu ila mnywaji wa kawaida ila malengo yako ya data yatimie.My nigga, im talking from experience, gharama anazotumia mvutaji kwa mwaka, znamzidi mlevi mbali sanaaaa..
Ntakupa mfano rahisi, mvutaji aliekubuhu anaeza kumaliza pakti moja ndani ya siku 2. Thats an avrg of 3 pkts per week, na hapo hakuna event yoyote kama kulewa au kuchanja miraa.
Hili halina season wala nin, n tareh 1 mpka 31. But mlevi atalewa sana kipindi mshahara umetoka lakn huku katikati unywaji unapungua na unategemea na company n.k.
Wavutaji woote hawana huu kitu, n mwendo mdundo daily
View attachment 2408394
Nani kakudanganya mkuu kua wana maisha mazuri???Na wafanyakazi wa tcc wana maisha mazuri kuliko wafanyakazi wa Ikulu, ukiondoa wapiga dili. Maana mpaka Ikulu wapiga dili wamejaa
Hakuna Sigara inayozalishwa hapa Tanzania na kusafirishwa kwa kutumia ndege.Mara nyingi zinasafirishwa kwa ndege toka production area na kusambazwa kwenye miji midogo. Ili kupunguza risk ya upotevu au ajali
Kwa wastani wengi wana maisha mazuri, ukumbukue kuna watumishi wa Ikulu wanazidiwa mishahara na wale wa serikali za mitaa, ila kwa ujumla Ikulu ni pazuri.Nani kakudanganya mkuu kua wana maisha mazuri???
Wanaishi maisha ya kawaida sana
Says Ex employeee
Kila mtu atailima so serikali watakulaje. Ishu iko ivi Kama kitu wakubwa hawana namna ya kulapo na wao. Wanajipigia Vita. Pia wavutaji wengi watahamia huko biashara ya fegi itadorora so uchumi kuyumba. Umeshawahi ona mitishamba fulani fulani ama chakula fulanifulani like garlic ginger etc zikipigiwa promo kuwa tuzitumie intensively Mana zinatibu magonjwa fulani. Basi ukiona ivyo hawana ulaji kwao sio kuwa wanakulinda afya yako. Penye kuuza utalaamu ,kozi, vitabu na dawa lazima zitapigiwa kelele. I really trust hapa duniani one animal eats another animals directly or indirectly, wengine kwa kuonyesha upendo kumbe ndipo unapigwa .Bangi inajulikana kabisaa ni tiba lakini serikali kupitia vyombo vyake wanaisagia kunguni mwanzo mwisho.
Wewe huwajui ndugu yangu. mjomba wa rafiki yangu ni mtumishi TCC ana maisha sana kuliko watumishi wa Ikulu wengiNani kakudanganya mkuu kua wana maisha mazuri???
Wanaishi maisha ya kawaida sana
Says Ex employeee
Wanapiga nini pale sasaaYa Magogoni
Kiandikiana safari uchwara, mara pesa za garden za Ikulu ndogo za mikoani na wilayani.Wanapiga nini pale sasaa
TBL 400+bil, GGM 300+bil, NMB 250+bilMtu alete taarifa za ulipaji kodi za bia na sigara kwa kampuni