Ntolonyonyo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,231
- 2,357
Come.to think of it.
Asilimia kubwa ya watu wanao jiingiza katika ujasiriamali WA kukusanya makopo na chupa za plastiki na kisha kwenda kuziuza viwandani huwa wanaishia kuwa wehu kabisa na kuanza kuokota makopo Ile ya kiuwehu wehu kabisa.
Binafsi nimewashuhudia watu wengi Tu ambao walijiingiza kwenye ujasiriamali huu na sasa hivi wamekuwa wendawazimu kabisa.
Mpaka ilifika kipindi nikaanza kuamini kuwa huenda hawa watu wakawa wanarogezewa Uchawi na wanapo Anza KAZI ya kuokota makopo basi Uchawi ndo unakuwa umewaingia na mwisho wa siku huo Uchawi Una graduate na mhusika kuwehuka kabisa.
Sababu za kiroho kwanini watu hawa huishia kuwa wehu?
Kwa sababu wanakanyaga majalalani na kuchukua vitu vya majalalani mara nyingi Sana Kwa siku.
Kwa wastani muokota makopo anaweza kutembelea kwenye majalala 70 mpaka 100 Kwa siku ambako mbali na kukanyaga kwenye majalala hayo huchukua vitu vilivyo tupwa kwenye majalala hayo.
Majalala NI makaazi ya MAJINI WA kisheitwani ambao mbali na kusababishia matatizo mengine kama.vile nuksi nakadhalika lakini Pia ndio MAJINI wanao husika na kuwasababishia watu maradhi ya uwendazimu.
Nadhani ndio maana uchafu huwa unahusishwa na uwendawazimu.
So hawa jamaa hukumbana na MAJINI WA jalalani ambao huwaingia na kuwafanya kuwa wendawazimu.
Katika.ulimwengu WA Wachawi, majalala.ni.madhabahu yenye nguvu kubwa Sana Kwa habari ya kuwasababishia watu maradhi ya uwendazimu au kuwashusha nyota watu maana MTU aliye tiwa maradhi ya uwendazimu huyo.nyota yake.imeshushwa. Hawezi kuheshimika.wala.kuaminiwa na yoyote. Kama NI mfanyabiashara basi.biashara ndio imekufa hivyo.
Kuna mtu ameshajibu kuhusu hiliHamna kitu kama hicho.....hayo makopo yanapopelekwa huko viwandani kwa tani za kutosha...si wafanyakazi na wamiliki wangeishaisha kabisa kwa kugeuka vichaa
..
Tuheshimu kazi za watu....
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujajibu swali langu, na hapo hapo umenitungia maswali zaidi.The same old question. Nikikujibu roho ni nini utaniomba reference Nami nitakwambia nimeitoa kwenye kamusi then utaniuliza " kamusi " nini? So it will be like a child play.
# Ur so predictable
# Ngoja nikae kimya
[emoji1787][emoji1787] Kwenye ubora wako babu yangu Kiranga
Watu wanapenda sana kurukia ghorofa ya kumi wakati hata msingi hawajatueleza ukoje.[emoji1787][emoji1787] Kwenye ubora wako babu yangu Kiranga
Roho ni umbile la pekee lisiloonekana ambalo linasadikiwa kuwemo pamoja na mwili katika binadamuWatu wanapenda sana kurukia ghorofa ya kumi wakati hata msingi hawajatueleza ukoje.
Katika majadiliano ya watu wanaojali mambo kwa kina, kabla ya kujadili kuhusu roho, inabidi kuweka definition.
Kwa sababu, kwa mfano, katika Kiingereza, neno "spirit" linaweza kumaanisha roho, na neno hilo hilo linaweza kumaanisha kinywaji kikali cha pombe.
Sasa, ukiniambia spirit ni kinywaji kikali cha pombe, siwezi kukubishia kipo.
Lakini ukiniambia spirit ni roho, hapo itabidi tuelezane zaidi.
Ndiyo maana nikauliza, kabla ya kwenda zaidi kimepanda kimeshuka...
Roho ni nini? Naweza kuthibitishiwa kwamba roho ipo na si hadithi za uongo za watu tu?
Mpaka sasa sijaona jibu.
Mambo ya kiroho hatuhitaji reasoning - kwahiyo endelea tu kuamini.
Ukinitungia swali nitakalouliza hapo nakuja kama Magu nakwambia "Mimi sipangiwi".Roho ni umbile la pekee lisiloonekana ambalo linasadikiwa kuwemo pamoja na mwili katika binadamu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hapo utaniuliza babu yangu utaniuliza binadamu ni niniii unawea kuthibitisha sio kuambiwa na watu [emoji125][emoji125]
Roho ni nguvu ya uhai ya mwanadamu au kiumbe chochote kilicho na uhai. Ile nguvu ya uhai " force of life " ya mwanadamu au kiumbe hicho ndio inayo itwa roho.Hujajibu swali langu, na hapo hapo umenitungia maswali zaidi.
Roho ni nini?
Unaweza kuthibitisha ipo na si hadithi ya uongo ya kutungwa na watu tu?
Wabeba box hawa hawa ambao wamechanganyikiwa mpaka hawaamini Mungu kama Kiranga?Si Kweli.
Binafsi nadhani sababu kubwa ni:
- Chronic Deppression ( Mtu hana Tumaini tena )
PLUS,
- Kudharauliwa na jamii ikiwemo familia zao.
TANZANIA.
- Hata ukiwa Mlinzi ( Kama mimi ), House Girl, Dancer, Mnenguaji Kwenye Mabendi, Kondakta, Mfanya Usafi Makosoni, Maofisini
Kama huna nguvu ya Self Respect & Psychology ya namna utajiweka sawa. Unapotea mazima
Jambo la msingi ni namna ya kurasmisha hizi kazi ili kila mtu apate heshima.
Ulaya na US wamerasmisha kila kitu mpaka STRIPPING na PORN INDUSTRY na hatuoni mtu anakuwa chizi.
Hizi kazi unazoona ni mbaya ndizo wabeba box ulaya wanafanya tena mpaka za KULEA WAZEE ( Tena vizee vingine vikorofi vinaweza kukutemea mpaka MAKOHOZI ) lakini mpaka immigrants wenye Masters wanafanya ukiachilia mbali kusafisha MAJIJI
Tayari !kweli makopo si mchezo.Mbona unaji quote mwenyewe mkuu au uwendawazimu ndo unaanza kukunyemelea taratibu?
Kwa sababu ni imani.
Kwa sababu ni imani.
Hiyo ilikuwaje?