Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Kilimo peke yake kinaipatia California dola bilioni 50, pesa nyingi kuliko GDP ya nchi yako.Tatizo jamaa uchumi wao kwa sehemu kubwa umejengwa katika misingi ya wizi!! Jamaa wanatuibia sana madini na rasilimali zetu Africa! Kupitia US dollar wanatufanyia figisu kibao! Hakuna kitu hapo kama tukisimamia haki!