Hii ndio Urusi, Ulaya na Marekani wanaiogopa (Miundombinu, Utamaduni, Viwanda, Uchumi na Maliasili)

Hii ndio Urusi, Ulaya na Marekani wanaiogopa (Miundombinu, Utamaduni, Viwanda, Uchumi na Maliasili)

Tatizo jamaa uchumi wao kwa sehemu kubwa umejengwa katika misingi ya wizi!! Jamaa wanatuibia sana madini na rasilimali zetu Africa! Kupitia US dollar wanatufanyia figisu kibao! Hakuna kitu hapo kama tukisimamia haki!
Kilimo peke yake kinaipatia California dola bilioni 50, pesa nyingi kuliko GDP ya nchi yako.
 
Kilimo peke yake kinaipatia California dola bilioni 50, pesa nyingi kuliko GDP ya nchi yako.
Kilimo cha mazao gani ndugu yangu? Unaongelea mahidi?

1695361154847.png
 
Kilimo peke yake kinaipatia California dola bilioni 50, pesa nyingi kuliko GDP ya nchi yako.
Kilimo cha mazao gani ndugu yangu?

Barley, a member of the grass family, is a major cereal grain grown in temperate climates globally. It was one of the first cultivated grains, particularly in Eurasia as early as 10,000 years ago.

1695361362898.png
 
Kilimo peke yake kinaipatia California dola bilioni 50, pesa nyingi kuliko GDP ya nchi yako.
Pitia mambo ndugu yangu kisha uje. Watu wanaokula ngano wanaakili sana. Watu wanaokula mahidi asilimia kubwa ni mbumbumbu. Mahindi yapo kwaajili ya kulishia mifugo maana mifugo haifikirii sana.

Angalia nchi zote wanaolima ngano wanaakili sana.

Top 20 Most Produced Foods In Russia​

1695361959207.png
 
Kilimo peke yake kinaipatia California dola bilioni 50, pesa nyingi kuliko GDP ya nchi yako.
Tuambie sasa

A sugar beet is a plant whose root contains a high concentration of sucrose and which is grown commercially for sugar production. In plant breeding, it is known as the Altissima cultivar group of the common beet.

1695362178449.png


1695362314176.png
 
Huuu uzi umefanya niithamini russia (urusi) kuliko hata nilivyokuwa naithamini mwanzo kiufupi imefanya niione urusi ni super power hasa tofauti na propaganda za west. Dude linapigana vita na maisha mengine yanaendelea kama kawaida majiji mazuri miteknolojia kama yote yani. Viva Russia. Wewe ni taifa teule acha west wafanye propaganda.
 
Products izi zinatoka California wewe WhatsApp, Instagram, Twitter, Facebook, Wikipedia, Coca-Cola, Pepsi cola, Android, IOS, iPhone, Window, Google company. Vyote vinapatikana apo California. Kwa iyo akiingia ktk Vita izo products na services upati ndio utaijua California ni Jimbo au zaidi ya hao wakina Russian na hao wengine unao sifia sifia
Alafu unaichukulia poa California
Hivi dunia haiwezi kuishi bila hizo products ?
 

Kamchatka Peninsula​

The Kamchatka Peninsula is a 1,250-kilometre-long peninsula in the Russian Far East, with an area of about 270,000 km². The Pacific Ocean and the Sea of Okhotsk make up the peninsula's eastern and western coastlines, respectively.

1695364101125.png


Tourism

Avacha Bay​

one of the largest and most picturesque bays in the world. It offers opportunities for boat tours, fishing, and wildlife watching.
1695364436589.png


Uzon Caldera
Uzon is a 9 by 12 km volcanic caldera located in the eastern part of Kamchatka Peninsula, Russia. Together with the Geyzernaya caldera it hosts the largest geothermal field in the Kamchatka Peninsula.
1695364555463.png
 
Hii tabia ya kuchukilia kila kitu hasi kisa hukubaliani nacho ni moja wapo ya ufala mkubwa.

Hivi hiyo Urusi unayo idharau si ndo imeutikisa uchumi wa ulimwengu mzima ukiwemo wa huyo Marekani ambaye ndo mmiliki wa hiyo California baada ya kuingia vitani?

Huo uchumi wa kalifonia unao usema ni uchumi wa kinadharia zaidi kuliko uhalisia.
California inaonekana ina uchumi mkubwa kwa sababu ya hisa za makampuni makubwa ya kiteknolojia nchini Marekani yaliyo jikita ndani ya jimbo hilo na uchumi wa hisa siku zote huwa ni uchumi wa makaratasi na sio uchumi wenye uhalisia.
Na ndio maana Aronmusk anaweza kuwa tajiri namba moja duniani lakini anaweza kuporomoka kwenye nafasi hiyo ndani ya dakika 30 tu na kuwa wa kumi hayo yote ni sababu utajiri wake unategemea nguvu ya hisa za makampuni yake.

Mfano hisa za makampuni ya Microsoft,au meta zikiporomoka mwanachi wa kawaida kama ww na mm huwezi kuathirika kwa chochote kile kwenye maisha yako ya kila siku wala huwezi ona babadiliko yeyote kwenye maisha yako ya kila siku , lakini mafuta, ngano na mbolea ya Urusi ikikosekana sokoni mpaka bibi yako alioko ikwiriri huko ambaye hajui hata kama kuna nchi inaitwa Urusi ana ugulia maumivu.

Na hilo limedhihirika sasa baada ya vita ya Ukraine Marekani amepigana vita nyingi lakini dunia haijawahi kuwa na mabadiliko yeyote, lakini kitendo cha Urusi kuingia vitani uchumi wa dunia nzima ulitikisika na paka sasa haujakaa sawa.
Mkuu umempa darsa la kutosha huyo mkalifonia naamini akirudi atakuja na maswali mapya si hilo tena.
 
Products izi zinatoka California wewe WhatsApp, Instagram, Twitter, Facebook, Wikipedia, Coca-Cola, Pepsi cola, Android, IOS, iPhone, Window, Google company. Vyote vinapatikana apo California. Kwa iyo akiingia ktk Vita izo products na services upati ndio utaijua California ni Jimbo au zaidi ya hao wakina Russian na hao wengine unao sifia sifia
Alafu unaichukulia poa California
Kati ya hivyo ulivyo vitaja vikikosekana kwenye maisha ya mwana nchi wa kawaida anapungukiwa na nn au ana athirika kwa kitu gani?
 
Hii tabia ya kuchukilia kila kitu hasi kisa hukubaliani nacho ni moja wapo ya ufala mkubwa.

Hivi hiyo Urusi unayo idharau si ndo imeutikisa uchumi wa ulimwengu mzima ukiwemo wa huyo Marekani ambaye ndo mmiliki wa hiyo California baada ya kuingia vitani?

Huo uchumi wa kalifonia unao usema ni uchumi wa kinadharia zaidi kuliko uhalisia.
California inaonekana ina uchumi mkubwa kwa sababu ya hisa za makampuni makubwa ya kiteknolojia nchini Marekani yaliyo jikita ndani ya jimbo hilo na uchumi wa hisa siku zote huwa ni uchumi wa makaratasi na sio uchumi wenye uhalisia.
Na ndio maana Aronmusk anaweza kuwa tajiri namba moja duniani lakini anaweza kuporomoka kwenye nafasi hiyo ndani ya dakika 30 tu na kuwa wa kumi hayo yote ni sababu utajiri wake unategemea nguvu ya hisa za makampuni yake.

Mfano hisa za makampuni ya Microsoft,au meta zikiporomoka mwanachi wa kawaida kama ww na mm huwezi kuathirika kwa chochote kile kwenye maisha yako ya kila siku wala huwezi ona babadiliko yeyote kwenye maisha yako ya kila siku , lakini mafuta, ngano na mbolea ya Urusi ikikosekana sokoni mpaka bibi yako alioko ikwiriri huko ambaye hajui hata kama kuna nchi inaitwa Urusi ana ugulia maumivu.

Na hilo limedhihirika sasa baada ya vita ya Ukraine Marekani amepigana vita nyingi lakini dunia haijawahi kuwa na mabadiliko yeyote, lakini kitendo cha Urusi kuingia vitani uchumi wa dunia nzima ulitikisika na paka sasa haujakaa sawa.
umenena
 

Prielbrusye National Park​

Prielbrusye National Park is centered on Mount Elbrus, the highest mountain in Europe at 5,642 meters above sea level. The relative isolation of steep gorges has led to high levels of endemism and biodiversity.

1695379927038.png


1695379943618.png


1695380010274.png
 
Back
Top Bottom